Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Akitubu Madhambi yake ya ufisadi na rushwa atapokelewa na kuwa mwanachama wa kawaida ambaye hataruhusiwa kugombea cheo chochote!
Inaelekea hakuishia na kutubu peke yake .. alitoa na zaka ya bilioni 10 kwa DJ Mwenyekiti, ndio maana mkamkabidhi bendera ya chama awapeperushie..
 
Kwa wale mlikuwa hajui, huyu ndie mgombea wa Chadema 2015 na ndie rais 2015 Chadema itakapochukua nchi na pia litimie lile neno rais wa 2015 lazima atoke Kaskazini haswa kwa kuzingatia, ukimuondoa ZZK, Chadema haina any other candidates wanaoweza kuwapatia ushindi kwenye urais!.
Tena hata mimi nitaingia rasmi kwenye siasa kwa kujiunga rasmi Chadema na kuna jimbo nitalichukua kama nimeliokota!, mgombea wa CCM nitampiga chini kama kumsukuma mlevi!.
Pasco
Utabiri wa kua mgombea wa chadema ulitimia.. Mengine hayakutimia
 
Dah aisee hapa JF kila mtu aheshimiwe bil kujali kama ni mwerevu ama ********.

Kuna watu wanaongea mambo ya ajabu yanayoonekana kama ni upuuzi usiowezekana ila ni ma foreseers....Wanasayansi wa zamani kina Newton, Mendel, Tesla n.k walifanya mambo yaliyowafanya wachekwe na pengine kuzomewa na kizazi chao, kumbe walikuwa foreseer wa karne kibao, na sasa hivi wanatukuzwa na vizazi na wazomeaji wamesahaulika.

Ona huyu mtoa mada, wakati analeta hii post January 2014 hakuna member aliyeamini uwezekano wa hili jambo, ila kwa sasa ndio ukweli wenyewe....kweli idumu JamiiForums.
Ingekua kwa Wenzetu wanaoheshimu tafiti huyu jamaa mleta mada angekua mbali sana...
Ila soon nasi tutafikia huko... i can see the light at the end of the tunnel..
 
Unatakiwa kutushawishi ni sifa zipi za kuonekana anastahili kuwa the next president au kuwa mtu au kiongozi wa kupigiwa mfano ktk nchi hii. Naomba unitajie sifa 10 muhimu za raisi wa tanzania ajae na ni kwa namna gani matatizo yanayolikumba taifa hili kwa sasa yanaweza kutatuliwa . Kwa kifupi nchi hii kwa mtazamo wangu inakabiliwa na mambo yafuatayo;
1. Mpenda nchi yetu Tanzania zaidi ya chama na sehemu anakotoka.

Tanzania inahitaji raisi anayeweza kuondosha mapungufu haya.
3. Rushwa na ufisadi miongoni mwa viongozi na serikali na kisiasa. Tunataka kiongozi atakae kuja kupambana na rushwa na ufisadi kwa dhati bila woga wowote. QUOTE]

Uliona mbali mkuu
 
Mbowe sio Mtu wa kumuamini ona sasa Leo unaadhirika, Ndugu Ngoyai ndio Bosi wa Bosi wenu
Mbowe is a pro business opportunist, ananifurahisha jinsi anavyowatumia Nyumbu for his own gains and the Nyumbu's still obey and follow him...
 
Akitubu Madhambi yake ya ufisadi na rushwa atapokelewa na kuwa mwanachama wa kawaida ambaye hataruhusiwa kugombea cheo chochote!
Hakutubu chochote lakini mlimkubali na kumpa nafasi ya kugombea urais
 
Password ya ile Tovuti kapewa Lowassa ndio sababu siku ya Ufunguzi wa Kampeni walikusanya watu Jangwani ili awatajie Website aliyoweka Hotuba yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huu uzi mtamu sana mkuu...
Yaani unatonesha vidonda tartiibu...
Wanatamani kuinunua JF waufute..
 
Back
Top Bottom