TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Inamaana EL ana nguvu sana ndani ya CCM?
ana nguvu kuliko ccm.
Inamaana EL ana nguvu sana ndani ya CCM?
Tujadiliane hapa!
Waziri mkuu mtaafu Edward Lowasa akitakuwa kutoka CCM..
Chadema wanaweza kumkataa?
Mkuu haya ya Lowassa na JK tumeyasikia sana na hatujui ukweli hasa ni Upi lakini hakuna kisichowezekana. Lowassa akihamia CDM ina maana wamempokea, na ZZK akihamia CCM ina maana wamempokea! Mbaya wa upande mmoja hauwezi kuwa mbaya wa upande zote ktk siasa hizi za majitaka. Tunaongozwa na sera sio watu.Kwanza ni msahishe mleta mada,lowasa hakustaafu bali alilazimishwa kujiuzulu,Na kingine ni kwamba lowasa ni mtu Wa kulipiza visasi hivyo kikwete atashinikiza lowasa kutoswa na chama chake ili asije kunyanyaswa akimaliza muda Wake.
Kwa manti hiyo Ridhiwani alitia ujumbe huo kwa niaba ya baba yake.
Kikwete anapendekeza Mtoto Wa mwinyi au asha rose mmoja Wao awe rais na atakuwa tayari kuficha mapungufu yake.
Lowasa hakubaliki hâta kidogo chadema,asifikirie kabisa kuhamia chadema na kupewa fursa ya kugombea hâta ya uenyekiti Wa kitongoji.
Mkuu haya ya Lowassa na JK tumeyasikia sana na hatujui ukweli hasa ni Upi lakini hakuna kisichowezekana. Lowassa akihamia CDM ina maana wamempokea, na ZZK akihamia CCM ina maana wamempokea! Mbaya wa upande mmoja hauwezi kuwa mbaya wa upande zote ktk siasa hizi za majitaka. Tunaongozwa na sera sio watu.
Tujadiliane hapa!
Waziri mkuu mtaafu Edward Lowasa akitakuwa kutoka CCM..
Chadema wanaweza kumkataa?
chadema hawawezi kumpokea Lowasa.
Mosi, EL ni zaidi ya CDM sasa EL atahamiaje CDM? CDM ndio inaweza ikahamia kwa EL na sio EL kuhamia CDM.
Pili hakuna mtu mwenye akili timamu anayehama kutoka kwenye taasisi kubwa kwenda kwenye kigenge cha wahuni.
Hatuwezi kumpokea CHADEMA kamwe.
Huku CDM hapana
Mbowe
alishasema kuwa kama EL akiamua kuja CDM bac lazima arudishe mali zote
za umma alizotuibia na kukiri kwa nini alifanya hivyo na kwa sababu
zipi. Na hapo hata wananchi watampima na kumruhusu kuwa angalau
mwanachama na si kupewa nafasi ya uongozi wala kugombea post
yoyote.
:cool2:
Matatizo ya kuwa na akili
nusu nusu. Ni lini EL amelipa huduma za jamii kama elimu, afya na
mengine mengi kama maji na huduma nyingine kwa masikini wa nchi hii? EL
ni mbunge na kiongozi kama walivyo watanzania wengine wenye cabre yake!
It is only Late Nyerere na Sokoine in Tanzania tunaoweza kupigia mfano
kama viongozi bora walioweza kutokea hapa nchi kwa uzalendo wao wa
kupenda nchi na wananchi wake. Waliobaki kama ni ranking tunaweza sema
ni "Satisfactory".