Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Hebu fikiria baba yako amekufukuza harafu ukahamia kwetu, tutakufukuza pia au tutakupa hifadhi?? Ukombozi ni njia ngumu sana na falsafa yake ni wachache tu wanaoweza kuielewa, hatutupi kuni wakati bado tunapika hata kama ni kuni ya mnyaa ambayo ukipikia macho yanawasha, fikiria zaidi utajua itakuwaje.
Wewe jamaa ulifikiri kwanza
 
Em pitia koment za watu uone walivokula matapshi yao

Duuuh huuu jamaa alitabiri.kweli kweli

Wapiga dili Chadema hata Lugumi watampokea tu
Wewe jamaa ulifikiri kwanza

Huyu jamaa alieanzisha huu UZI APEWE U EXPERT duuh!!..
Dah aisee hapa JF kila mtu aheshimiwe bil kujali kama ni mwerevu ama mpumbavu.

Kuna watu wanaongea mambo ya ajabu yanayoonekana kama ni upuuzi usiowezekana ila ni ma foreseers....Wanasayansi wa zamani kina Newton, Mendel, Tesla n.k walifanya mambo yaliyowafanya wachekwe na pengine kuzomewa na kizazi chao, kumbe walikuwa foreseer wa karne kibao, na sasa hivi wanatukuzwa na vizazi na wazomeaji wamesahaulika.

Ona huyu mtoa mada, wakati analeta hii post January 2014 hakuna member aliyeamini uwezekano wa hili jambo, ila kwa sasa ndio ukweli wenyewe....kweli idumu JamiiForums.
 
Mbowe alishasema kuwa kama EL akiamua kuja CDM bac lazima arudishe mali zote za umma alizotuibia na kukiri kwa nini alifanya hivyo na kwa sababu zipi. Na hapo hata wananchi watampima na kumruhusu kuwa angalau mwanachama na si kupewa nafasi ya uongozi wala kugombea post yoyote.

:cool2:
Mbowe ni ndumilakuwili.
 
Kwa wale mlikuwa hajui, huyu ndie mgombea wa Chadema 2015 na ndie rais 2015 Chadema itakapochukua nchi na pia litimie lile neno rais wa 2015 lazima atoke Kaskazini haswa kwa kuzingatia, ukimuondoa ZZK, Chadema haina any other candidates wanaoweza kuwapatia ushindi kwenye urais!.
Tena hata mimi nitaingia rasmi kwenye siasa kwa kujiunga rasmi Chadema na kuna jimbo nitalichukua kama nimeliokota!, mgombea wa CCM nitampiga chini kama kumsukuma mlevi!.
Pasco

Pasco sio Mtu wa Mchezo mchezo! Alimjua Mgombea Urais wa Chadema 2015 kabla ya Mwenye Chama Freeman Mbowe!
 
Back
Top Bottom