Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Hahahaha...Huu uzi kuna watu wakiusoma wanatamani ufyekelewe mbali!!!!
 
CHADEMA kwa sasa hawapokei "viongozi" toka CCM, hivyo Lowassa hawezi kujaribu kuomba kujiunga CHADEMa.

Ila wanachama wa kawaida wa CCM wanaoguswa na elimu ya uraia pamoja na kuzinduliwa toka usingizi wa ujinga, maradhi, ufisadi na kulindana (hivyo kukosa uzalendo na haki zao za msingi) hao wataendelea kupokelewa kila iitwapo leo.
Eti
 
Hawa waZee wa Parkinsons desease tunaweza kuwapokea kwasababu magonjwa ya Ubongo ni hatari sana, watu huwa wanawatongoza wake zao kwa kuwaahidi kitita cha fedha.

Mtu anamuambia Mkewe "aisee Bibie kuna Sehemu nilishawahi kukuona Wewe....Mtoto Umeumbika hebu Shika Hii Elfu hamsini Kwanza"...halafu chukua Simu yangu niandikie namba yako...

Halafu Baada ya Wrong Numbers 50 akiwa Gesti anarudi Nyumbani akiwa na Hasira za Ajabu.Mkewe akimuuli nini Mzee aah!!!..hii Mitandao ya Simu sio, kesho nahamia Ule wa Wavietnam.Hahahaha
 
Alipokwenda chama cha wachaga kwa ulafi wako nawe ukamfuata hukohuko.

Nyinyi ndio Makamba aliwaita kupe, ng'ombe amekufa lakini bado mmeganda tu mnanyonya damu.
Yeye mbona amestaafu lakini bado anataka kulamba asali
 
Back
Top Bottom