Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Tujadiliane hapa!
Waziri mkuu mtaafu Edward Lowasa akitakuwa kutoka CCM..

Chadema wanaweza kumkataa?

Kwani wamesema wanataka kumfukuza? Kumbuka huyu siyo mwepesi kufukuzwa alikuwa PM kama ilivyo kwa Zito. Usidhani mpira wa miguu kuwa sasa ni muda wa usajili
 
Umesahahu kuwa akina komba na mdhihili ni watunga mipasho na wako ccm. wale nao majukwaani huwa wanavua.h
Chadema ni zoa zoa wanabeba kila mwanachama hata kama ni mchafu kiasi gani ndani ya jamii mwangalie mtu kama sugu na afande sele mpaka anavua nguomjukwaani lakini ndiyo wanaopendwa na wenye chama.
 
CHADEMA kwa sasa hawapokei "viongozi" toka CCM, hivyo Lowassa hawezi kujaribu kuomba kujiunga CHADEMa.

Ila wanachama wa kawaida wa CCM wanaoguswa na elimu ya uraia pamoja na kuzinduliwa toka usingizi wa ujinga, maradhi, ufisadi na kulindana (hivyo kukosa uzalendo na haki zao za msingi) hao wataendelea kupokelewa kila iitwapo leo.
hii siyo sahihi, walisema hawatapokea maccm watakaotemwa katika kura za maoni, wanaotaka wajoin mapema; lakini siyo type ya Lowassa
 
Ndugu yangu unajionesha jinsi ulivyo mjinga maana kila mara danhanywa lakini bado unarudia tena bus za meanza dar zenye huduma nzuri ziko nyingi na zinatafuta abiria tena bei ya 40000 tu nikusaidie siku nyinggine nenda zuberi .ma
 
Kwa uroho wa madaraka alinao hasa nafasi ya urais ataanzisha chama chake haraka na kukisajili haraka hata kama ni wanachama wake ni masai wa zanzibar na atatoa rushwa kwa msajili atagembea urais na kama akishindwa ataenda mahakamani kudai atangazwe rais halali wa nchi
 
Kwa wale mlikuwa hajui, huyu ndie mgombea wa Chadema 2015 na ndie rais 2015 Chadema itakapochukua nchi na pia litimie lile neno rais wa 2015 lazima atoke Kaskazini haswa kwa kuzingatia, ukimuondoa ZZK, Chadema haina any other candidates wanaoweza kuwapatia ushindi kwenye urais!.
Tena hata mimi nitaingia rasmi kwenye siasa kwa kujiunga rasmi Chadema na kuna jimbo nitalichukua kama nimeliokota!, mgombea wa CCM nitampiga chini kama kumsukuma mlevi!.
Pasco
 
EL hawezi fukuzwa CCM na hawezi kuhama CCM hata jina lake likikatwa kwani yeye atakua king maker come 2015 na atatoa raisi si mwingine.....Nape na Mangula ndo watakao kimbia
 
Nani wa kumfukuza EL ccm?Uwaziri mkuu wenyewe kaujiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe!
 
Kwa wale mlikuwa hajui, huyu ndie mgombea wa Chadema 2015 na ndie rais 2015 Chadema itakapochukua nchi na pia litimie lile neno rais wa 2015 lazima atoke Kaskazini haswa kwa kuzingatia, ukimuondoa ZZK, Chadema haina any other candidates wanaoweza kuwapatia ushindi kwenye urais!.
Tena hata mimi nitaingia rasmi kwenye siasa kwa kujiunga rasmi Chadema na kuna jimbo nitalichukua kama nimeliokota!, mgombea wa CCM nitampiga chini kama kumsukuma mlevi!.
Pasco
EL aende chadema ili iweje na mwalimu Nyerere keshakufa?Nani wa kumzuia?
 
Kuchangia maendeleo sio ufisadi.
Mafisadi papa waliofilisi mabenki, vyama vya ushirika,miradi ya kuchapisha na kubadili fedha,ufisadi wa mabilioni ya fedha kule bandarini,wizi wa madawa na vifaa vya maabara,wizi wa fedha za pembejeo,uchashaji wa vitabu feki vya shule,kukwamisha miradi ya maendeleo kama reli n.k. Ununuzi wa rada na vifaa vya kijeshi vya chini ya kiwango,misamaha ya kodi,tanesco kufanya hujuma za wazi kwa utetezi wa richmond,tanesco kununua umeme kwa mawakala na kuwauzia wananchi kwa bei ya juu. Haya matatizo yote yana mafisadi wanaolinda hizi hujuma endelevu na hawagusu kwa sababu wengi wao sio wanasiasa ! Hatuwaoni wakichangia maendeleo popote zaidi ya kuongeza nyumba ndogo na kujenga majumba ya kifahari ! Waige mfano kwa nimrodi mkono ,ndesamburo . Wameshafisidi nchi sasa wajenge mashule watoto wetu wasome kwn hawawezi kurudisha walikoiba. Vinginevyo ccm ni kama mzoga wale wanaojifanya ni watakatifu ni kama mifupa isiyoweza kunyanyuka kwa sababu tu haijaoza kama nyama.
 
Back
Top Bottom