Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

El hawezi kuhamia cdm ba hafikirii hilo na cdm hawafikirii kumpokea mtu km huyo hata cku moja ila hapa ni kujaribu kukimbiza masaa na mada hii.

EL hawezi fukuzwa CCM na hawezi kuhama CCM hata jina lake likikatwa kwani yeye atakua king maker come 2015 na atatoa raisi si mwingine.....Nape na Mangula ndo watakao kimbia
Jamani Jamani Jamani....hii ndio Tanzania. Wengi mnaishi lakini hamuijui. Yanapokuja masuala serious hauangaliwi umaarufu wa mtu bali nani wa kutuvusha...
 
Kwanza ni msahishe mleta mada,lowasa hakustaafu bali alilazimishwa kujiuzulu,Na kingine ni kwamba lowasa ni mtu Wa kulipiza visasi hivyo kikwete atashinikiza lowasa kutoswa na chama chake ili asije kunyanyaswa akimaliza muda Wake.
Kwa manti hiyo Ridhiwani alitia ujumbe huo kwa niaba ya baba yake.
Kikwete anapendekeza Mtoto Wa mwinyi au asha rose mmoja Wao awe rais na atakuwa tayari kuficha mapungufu yake.
Lowasa hakubaliki hâta kidogo chadema,asifikirie kabisa kuhamia chadema na kupewa fursa ya kugombea hâta ya uenyekiti Wa kitongoji.[SUB][/SUB]
hatimaye mlimpa kugombea uraisi tena bila kupingwa
 
Mbowe alishasema kuwa kama EL akiamua kuja CDM bac lazima arudishe mali zote za umma alizotuibia na kukiri kwa nini alifanya hivyo na kwa sababu zipi. Na hapo hata wananchi watampima na kumruhusu kuwa angalau mwanachama na si kupewa nafasi ya uongozi wala kugombea post yoyote.

:cool2:
hakufanya hata moja, na Leo mnampigia vigelegele usiku kucha
 
Hahaa kumbe hizi ndizo akili za chadema 2015 na sasa tupo 2016 je hayo mnaongea sasa?
 
Acha kupotosha umma, Lowasa sio waziri mkuu mstaafu, ni waziri aliyejihudhuru kwa matumizi mabaya ofisi ya umma, huyo ndiye mzee wa richmundi, kuhusu kwenda Chadema, unaota ndoto za alinacha, hiki ni chama cha watu makini.
Sometimes unatamani JF wangekua na button ya delete..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
CDM yeye mwenyewe anajua hawezi kupewa hata kazi ya ufagizi wa ofisi.
je huko ccm kuna mwenye ubavu wa kumfukuza?
Hivi ulijiskiaje baadae walivyokugeuka wenzio??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom