funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Hakika Uongozi huwekwa na Mungu.
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongea na wazee wa Dar Es Salaam.
Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole, Ukweli na dhamira njema.
Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.
Hotuba hii imetambulisha adui ni nani, akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.
Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.
Hakika ubaya utapeperushwa
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongea na wazee wa Dar Es Salaam.
Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole, Ukweli na dhamira njema.
Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.
Hotuba hii imetambulisha adui ni nani, akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.
Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.
Hakika ubaya utapeperushwa
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!