AJ katika mahusiano yangu ya kimapenzi I am always careful.... maybe too careful. Napenda mahusiano yangu ya Mapenzi hata yakivunjika, yasivunjike kwa uzembe wangu ama from my careless ness.... Hio hali ikinikuta (i believe nitai notice mara moja) kuna mawili:-
If I still Love the guy na he is worth it...
Taratibu naanza kuwaachanisha kwa kuwaweka mbali. Namfuata rafiki/ndugu yangu na kumuambia mimi na Mpenzi wangu we are on the rough kuna kitu tunaweka sawa hivo we need some "US" time na kumuomba kua sasa akae mbali kwa mda. Nitahakikisha naweka stand kwa Mpenzi wangu kua kuna mambo huyo ndugu/rafiki yamekaa vibaya hivo nitakua nae mbali na I expect him as my Man to support me kwa kuhakikisha kua ukaribu ule wa kua pamoja ama kutoka pamoja uishe. Both sides sitawapa sababu za msingi for hiii hali ni hatarishi kui disclose kwa wahusika.... If ilikua wanablend na they have feelings bila wao kunotice unakua umewaha moto OR ile kitendo cha kuwambia hutaki wawe pamoja because you don't trust them.... Pia utakua umewasha moto maana itawafanya wawe karibu for they will have one thing in common against me.... Which would be more dangerous....
Kama he is not worth it....
I wouldn't care..... Nitaangalia upepo unavoenda....
Take note AJ kua hiii kazi saana kutokea kwangu for mimi nishajiwekea kuna mipaka ya mazoea ya Mpenzi na rafiki yangu.
Honestly you technically empress me! Lol
.. I never knew you have that
RIGHT STRENGTH ... si unajua sio kutumia manguvu na makelele saaana? .. which I call Wrong Strength! Maana kama ulivyo onyesha hapo if you go with wrong strength reactively, hovyohovyo ... you end up ..empowering them ...that is to say you empower the wrong in them, you empower the wrong relation .. tena kwa mikono yako mwenyewe!!lol
Hah hah .. ndio maana in my post I said ... the initial first step was crucial ... ukikosea ... umepoteza the partner!
And I think you have gone to the next final step ... TAKING THE RIGHT ACTION!!
Loh ... have seen how you calmly, patiently, with stillness, firmness and kindly (Tough Love lol)... how you separated them ... hahh hah .. I agree this was not Reaction it was ACTION ... which I believe it always works to your advantages and to their disadvantages!!
... anyway have never seen this in you ... its so clear lovely black and what!!
... One thing as you said even if it was me ... sirahisi kujikuta tunakimbizana na kuwindana ... maana nitakuwa nimejua tatizo mapema saaana ...have observed it ...in my privet time ...and done the needfull..nikichelewa sana ..then ndio ..kama hivyo ..the first two steps ...
Yes will treat it with sweet romantic toughness and firmness not the destructive toughness etc ...and its because she is mine!!
Can you call all of this ... Win the wrong in others with LOVE! ... Confront the opponent with power of LOVE ... You know where I got this eh Lol