Kongosho hilo mimi nakuunga mkono kabisa! na ndio maana mara nyiingi saana wanawake maurafiki yetu tunagombana saana. Nafikiri wivu unatuendesha saana. Na ile mioyo yetu ya kudondoka haraka kimapenzi... Na nature ya most guys yakupenda changanya mabinti akigundua hilo tayari awachanya... Tena comfy kabisa.... Wakuta rafiki yako analala na mpenzi wako na wameweka siri.. Sijui sasa hio ina maana gani kwa kweli....
... I love the key word ... the hardest to bare ... !!
AWY ... Najua it can look like a joke ..but to me its a fact ..kwa sababu i can bare it and its very rewarding!!
Kama unauwezo wa kutambua all the movement you have mentioned ... Patiently, with all kindness and with passion ... Jiulize umewezaje kufanya yote hayo? That is a special ability ...
.. So the ability to observe and watch it patiently for some times without reacting to it ... will itself dissolve most of the wrong relationship being going on and it is the initial step on the solution ...
BUT the same question comes back ... will you bare ... watching this calmly with no reacting ... before taking any further steps ... maana if you miss this ..Hakika yanayofuata huko mbeleni hesabu ... umeshindwa..! Na Tatizo ni wewe na si yeye!! Lol!!
Alafu Vin mtindo wako wa single lines hizi ... I will get mad sasa hivi....lol...
Naomba niambia una maana gani kua mengine yapo classified?
Cheusie dear take note kua huo utani ambao shemejio alianza awali... Hio ni "mtongozo awali" Mwanaume anajaribu akikutania una respond vipi.. kama sio heshima yako kwa dadako na shemejio nawewe ungekua wafurahia huo utani na kurespond positively radher than neutral or negative amini usiamini shemeji yako angekutongoza na kama vipi ungekua usha lala nae.... Na ndio maana dadako alianza kuchunguza for sasa ni dhahiri kua utani ulizidi mpaka kum alert dadayo awe makini. Na baada ya dadayo kuona kua ulitunza hio heshima hapo ndo mambo yalienda mkondo na kuwafanya muwe karibu na marafiki zaidi. Believe me you wanaume hawajali wewe ni dada ama mdogo wa wife.... It does not matter kabisa to most of them....
We have the same stand in this... Wakiwa pamoja hapo my Man na marafiki iwe kwa sababu za msingi na heshima ya shemeji hapo hapo.... I can not even stand it rafiki yangu am-hug for what ever reasons!
Inaweza kutokea lakini sio mara zote kwa bad intentions. Kwa mfano, unaweza kunitambulisha kwenu halafu nikawa close na dada yako simply because tuna-share some interests ambazo you don't share. Unawezakuta dada yako ni mshabiki mkubwa sana wa mpira, kwa hiyo on Saturdays tunaweza ku-bond in watching footie while you're out shopping for shoes for our next outing.
Hata ukiwahi kurudi utakuta mzuka wa mpira ndio kwanza umepanda na tuongelea lugha amabazo huzielewiki kwako kama offside, kujenga kibanda bila idhini ya halimashauri ya jiji, back to back defeat, screamer, two footed tackle, why always me, 4-4-2, holding midfielder, zone defending, man to man, fantasy football, scoring a ha-trick, nk.
IBut if you mind me becoming a friend of your sister, it may mean you're just insecure and selfish because you wants all my attention. LOL. Alternatively, may mean that you don't trust me. And since a relationship cannot work without trust, then inabidi uni-dump fasta or mimi nikishtuka nitaku-dump fasta x 2. LOL.
Finally, labda ufafanue kidogo neno SHTUKA kwenye sentensi yako ya mwisho. Mtu ashtuke kwa kufanya nini? Achukue hatua gani?
Pamoja Saana... - source AshaDii.
Aisee...Najitetea kabisa: sina uhusiano na mpenzi wa rafiki yangu, namuona kama tu na yeye ni rafiki ila nimegundua mi ni mmoja wa watu wanao fanya hivo bila kujua. Kumbe rafiki yangu anaweza kuja fikiria kua nina uhusiano na mpenzi wake? ngoja nianze kuzingatia hizo limits...
in blue........ uko sawa kbs kongosho, wengi we2 2naoneana wivu na kupenda kukomoana ha2na mapenzi ya kweli ss kwa ss.Ndo maana mie nishageneralise kuwa "wanawake hawathamini urafiki"
Najua siko sawa, lakini kuna vitu vingine unaona anafanyiwa mtu hadi unabaki mdomo wazi.
Niliwahi kuwa na roomate, alikuwa anamtaka partner wa rafiki yake kwa udi na uvumba
Anamtega makusudi, eti kisa yule rafiki yake anajidai
Walimuundia kundi la kumwangusha huyop dada
Bahati yake akahama ndio ikawa pona yake.
Mi ninavyojua ni kuwa unapokuwa mtu wa mtu kwanza uhuru wako unapungua,unapungua coz you belong to someone,kama unajua maana ya mahusiano na unamhesimu mwenzako,unatakiwa uwe na kiasi katika unayoyafanya na ana haki ya kujua ulipo,na uko na nani.Lakini pia unatakiwa ujue kipi natakiwa nifanye na nani na wakati gani!Sio kufanya mambo tu bila kujali.Sio kutoka out husemi,unakaa huko mpaka usiku wa manane,halafu unarudi,mtu wa namna hii HAFAI!
Aisee...Najitetea kabisa: sina uhusiano na mpenzi wa rafiki yangu, namuona kama tu na yeye ni rafiki ila nimegundua mi ni mmoja wa watu wanao fanya hivo bila kujua. Kumbe rafiki yangu anaweza kuja fikiria kua nina uhusiano na mpenzi wake? ngoja nianze kuzingatia hizo limits...
mmh wala hujakurupuka umewaza kama mm yan, mwisho wa siku hata shoga akikuflirt vp uamuz wa mwisho ni wako. so wa kulaumiwa si shoga ni ww.Here I come with my weird take on this issue!
Mimi siwezi kuibwa na mwanamke, awe rafiki wa mwanamke wangu au hata asiwe rafiki.
Ikitokea nime stray katika mahusiaono, moja kwa moja I am accountable. Hakuna cha sijui fulani alinizoea akavuka na mipaka wala yadi yadi yada kama hizo.
Nasema hivyo kwa sababu mwisho wa siku mwenye uamuzi wa kuvua suruali ni mimi (unless nibakwe na huyo baby cutie lol). Vivyo hivyo, kama mke wangu naye ka stray na tuseme rafiki yangu, acquintance, co-worker, stranger, etc., yeye ndiyo wa kubeba lawama na kuwajibishwa, mwanzo mwisho.
Zaidi ya hapo ni longo longo tu za kutafuta scapegoats na kukwepa uwajibikaji. So that's my weird take on it. If I'm way off the mark of what is being discussed here please let me know because I have noticed that sometimes I have the propensity for 'kukurupuka' Lol.