Mjadala: Ipi ni Sexual Fantasy yako?

Mjadala: Ipi ni Sexual Fantasy yako?

Mimi binafsi kujihusisha na mahusiano na mwanaume haijalishi ni gay au straight ndio hua sipo comfortable ila kama ni transwoman fresh napiga kama kawaida, lol

Gays wanaotaka kua slave wa mtu sio kama hawajitambui, wana maisha yao mazuri tu ila ni fetish yao hakuna namna
😂😂😂😂😂😂 nimecheka mahi, ila mie nina fantasy imenijia hivi karibuni, na bahati nzuri imenikuta niko tayari kwenye serious relationship,
Vinginevyo sijui ingekuajee, Lol
😂😂😂😂😂😂
 
Mapenzi uchizi ndo huo sasa, huyo yeye anapenda kumilikiwa afinyangwe sawasawa akitoka hapo hoi kabaki na pumzi tu

Ni kama wale ambao tukiona kitu kizuri kinachovutia unatamani kingekuwa kinalika ukile ufaidi, mfano nina ujenzi kidogo sasa fundi alitengeneza kona nzuri sana ya ukuta, nilitamani ingekuwa keki niile walau niufaidi utamu wake
😂😂😂😂😂😂😂
 
Kukifariji mkuu; kuki-peti peti, kukikatikia nk... mautundu yote unayoweza
We are busy!🌚
17236152-6462-4DA0-854F-976A3CF2FB5C.jpeg
 
😂😂😂😂😂😂😂 mahi nimechekaaa hatariiii.
Sijui labda nina hulka ya tofauti, sipendi mwanaume wangu nim mudu, nitaona km mwenzangu tyuu,
Napenda niwe na jamaa anaye nimudu, sio kwamba niwe slaver wake hapanaa.

Kuna hulka na silka nataka awe nayoo.
Nakuelewa sana kipenzi, kiufupi haupo kwenye mindset ya BDSM, just a normal lady who likes to please her man,

Haya mambo tuachie sie makonkodi tuloshindikana na mitume😂😂😂

Hivi mbona sijamuona babe wangu Lamomy aje atoe shuhuda zake hapa
 
😂😂😂😂😂😂 nimecheka mahi, ila mie nina fantasy imenijia hivi karibuni, na bahati nzuri imenikuta niko tayari kwenye serious relationship,
Vinginevyo sijui ingekuajee, Lol
😂😂😂😂😂😂
Eenh ninong'oneze hiyo fantasy mpya niisikie na mie😂
 
Nakuelewa sana kipenzi, kiufupi haupo kwenye mindset ya BDSM, just a normal lady who likes to please her man,

Haya mambo tuachie sie makonkodi tuloshindikana na mitume😂😂😂

Hivi mbona sijamuona babe wangu Lamomy aje atoe shuhuda zake hapa
😂😂😂😂😂 huyu uduguu sijui km ana fantasy, yeye buzzy kusaka maokoto
 
This turns me on vibaya sana 🤣🤣😂 awe mtu anaheshimika ila akija kwangu anakua nothing, namdegrade to the lowest level possible.
Ngoja nikitajie vijana wanaoheshimika🤦🏽‍♀️
mshamba_hachekwi Harmful dosho12

🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
 
Nakuelewa sana kipenzi, kiufupi haupo kwenye mindset ya BDSM, just a normal lady who likes to please her man,

Haya mambo tuachie sie makonkodi tuloshindikana na mitume😂😂😂

Hivi mbona sijamuona babe wangu Lamomy aje atoe shuhuda zake hapa
😹😹😹
Fantasy yangu wewe tujifungie ndani peke yetu tutoane cheche..!!
Tugusanishe viharage vya moto halafu tukate mauno turushane water 💦

Dr bhana mi fantasy zangu huwa zinakuja automatically nikiwa na pesa, yani hiyo siku nipige na shots zangu glass 2.. maji lazima aite mma..!!

Halafu mimi napenda wale wanaojifanya wajuaji na wabishi wanaojitapa “Oohh nitakupelekea moto” basi moto wanaukuta huku huku wajiandae kuungua 😹😹😹
 
Mapenzi uchizi ndo huo sasa, huyo yeye anapenda kumilikiwa afinyangwe sawasawa akitoka hapo hoi kabaki na pumzi tu

Ni kama wale ambao tukiona kitu kizuri kinachovutia unatamani kingekuwa kinalika ukile ufaidi, mfano nina ujenzi kidogo sasa fundi alitengeneza kona nzuri sana ya ukuta, nilitamani ingekuwa keki niile walau niufaidi utamu wake
Ungemla fundi aliyetengeneza mahi 😹😹😹
 
Back
Top Bottom