Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,939
- 7,930
Wakuu heshima yenu
Sasa ndugu zangu kijana wenu nina mtaji wa M5 nipo nafikiria kuanzisha biashara moja kati hizo 2 hapo ndani ya mji wa Dsm maeneo ya mbezi mwisho au kimara
Kwenye biashara ya vipodozi nisiwafiche nahofia ukweli kuwa mimi sina ule muonekano wa ki hb wa kusimama dukani (sijui ni mawazo yangu tu kuwa lazima muuza vipodozi au hb/cutie) hapa nataka kuuza
Perfumes
Spray
Mafuta
Deodorants
Hereni
Bangili
Saa
Biashara ya electronics hapa nataka kuuza
Switches
Bulbs
Wires
Pipes
Extensions and the likes
Sasa wakubwa zangu mliozoea biashara naomba mnisaidie mawazo yenu ni ipi biashara itakayonifaa zaidi na kwanini ?
Nb
Ndo naanza maisha kwa hio mimi ni mgeni katika biashara
Nafikiria pia kuweka mobile money katika hizo biashara kwa mtaji mwingine wa pembeni kama 1.5M hiv
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa kwa mchango wenu
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Sasa ndugu zangu kijana wenu nina mtaji wa M5 nipo nafikiria kuanzisha biashara moja kati hizo 2 hapo ndani ya mji wa Dsm maeneo ya mbezi mwisho au kimara
Kwenye biashara ya vipodozi nisiwafiche nahofia ukweli kuwa mimi sina ule muonekano wa ki hb wa kusimama dukani (sijui ni mawazo yangu tu kuwa lazima muuza vipodozi au hb/cutie) hapa nataka kuuza
Perfumes
Spray
Mafuta
Deodorants
Hereni
Bangili
Saa
Biashara ya electronics hapa nataka kuuza
Switches
Bulbs
Wires
Pipes
Extensions and the likes
Sasa wakubwa zangu mliozoea biashara naomba mnisaidie mawazo yenu ni ipi biashara itakayonifaa zaidi na kwanini ?
Nb
Ndo naanza maisha kwa hio mimi ni mgeni katika biashara
Nafikiria pia kuweka mobile money katika hizo biashara kwa mtaji mwingine wa pembeni kama 1.5M hiv
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa kwa mchango wenu
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app