J.lee
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,672
- 834
Last edited by a moderator:
mwallu kwani nyoka anapojivua gamba huwa anajivua na sumu?asante sana Mndengereko..bandiko limekuja katika muda muafaka
maparoko wangu Kaizer na Eiyer karibuni sana
mwekundu ni nani unamsema?
karibuni sana KakaKiiza Rogie mwekundu Nicas Mtei Vin Diesel Kipaji Halisi Asprin watu8...si lazima mhame chama...mnaweza tu kusitisha kulipia uanachama wa #teamBAZAZI .
Pamoja daima wakuu,pongezi kwenu [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=TEAMRAFIKI]#TEAMRAFIKI [/URL] members wote hasa founders Mndengereko na utafiti,,
mwallu kwani nyoka anapojivua gamba huwa anajivua na sumu?
tatizo ada ya uanachama amelipa jana tu ,so far kadi bado hajairudisha
J.lee kitu tunachokiangalia kwanza ni kuhakikisha huna kadi ya #TEAMBAZAZI , unaweza kutuhakikishia hilo?
hahahah wapi tena kwingine ambako mimi nilikuwepo mkuu??
nafasi ziko wazi #teamRafiki ...vigezo na masharti kuzingatiwa mwekundu...halafu we ndo mwenyekiti wa mabazazi,kuna faida gani kwenye ubazazi kama sio kuharibu na kupindisha maadili tu,badilika basi ee
ha ha ha ha sijawahi ona mwenyekiti ambaye ametunga sera anahama chama !!!NYOKA NI YULE YULE SUMU ILE ILE SEMA KALIVUA TU GAMBA