Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,355
Mtafute tuu Mndengereko na utafiti watakupa mwongozo
Mr Rocky inakuwaje #teambazazi afu awemo ktk #tearafiki ?
...
Cc: Mndengereko!
Last edited by a moderator:
Mtafute tuu Mndengereko na utafiti watakupa mwongozo
Aisee Mndengereko nimejiingiza kichwa kichwa, kadi itanikuta ndani because I know I belong here.
ndo ukome siku nyingine nikikwambia hela uwe unatoa acha ubahili
Mr Rocky inakuwaje [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teambazazi]#teambazazi [/URL] afu awemo ktk #tearafiki ?
...
Cc: Mndengereko!
umepata usajiri mkuu ingia kwenye chama tafadhali kwa miguu miwili huku nikiendelea kukutengenezea kadi yako ya uanachama.
hapa unawapa mtihani. But safi sanaaaaa.ukishakuwa #teambazazi yaani hauwezi tena kabisa kuwa #teamrafiki hata kwa bahati mbaya katika timu yetu tunakemea kwa nguvu zote tabia za ubazazi so ukiwa uwe #teamrafiki ni lazima ujitoe katika #teambazazi tena kwa hiari yako
makini haswaaa!!! siwezi oa mwanamke asiyejitambua mwallu.. nina mambo mengi ya kufanya..
remember... silence = death..
R.I.P #Team Bazazi, Long Live #Team Rafiki!!you belong here watu kama nyinyi hamuhitaji hata kukaribishwa ni direct member wa [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Team]#Team rafiki[/URL] coz tupo tunafahamiana kabla hata ya [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Team]#Team rafiki[/URL] haijaanzishwa rasmi by the way sasa tunakazi ngumu ya kuwaelimisha [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Team]#Team bazazi[/URL] wafuate njia sahihi na kuhamia [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Team]#Team rafiki[/URL]
hapa unawapa mtihani. But safi sanaaaaa.
Excel..nakufahamu kabla hujamchumbia mdogo wangu miss neddy
kwa hiyo kama ni kujitambua....dogo wangu anajitambua kuliko unavojitambua...karibu #teamRafiki ..ni kiasi tu cha kuamua na kubadilika
yep yep.deuces mkuu.
Haya kaolewe na bank basi
Ngoja upate wenzio na ww untie adabu
ukishakuwa [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teambazazi]#teambazazi [/URL] yaani hauwezi tena kabisa kuwa [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamrafiki]#teamrafiki [/URL] hata kwa bahati mbaya katika timu yetu tunakemea kwa nguvu zote tabia za ubazazi so ukiwa uwe [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamrafiki]#teamrafiki [/URL] ni lazima ujitoe katika [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teambazazi]#teambazazi [/URL] tena kwa hiari yako
Hizi kauli zako zantia Mashaka!
duh ndugu mwanachama itabidi wajumbe wengine utusaidie kuwapokea maana maombi yamekuwa mengi sana tunashindwa kuyamudu yote kwa wakati mmoja.