Inspirational Speakers wazidi kupungua

Inspirational Speakers wazidi kupungua

Mkuu umewahi kusoma kitabu cha "Je Umelogwa?"

Ndani yake kuna hadithi ya "Binadamu Uroho Bin Uhondo"

Kisa hiko kimekaririwa vyema na Dr mtarajiwa Gasper Mollel wa Rangers Safari Arusha. Inahusu mtu kujifanya hayakuhusu wala hayakugusi.

Wabongo tuna tabia ya kujifariji na matatizo ya watu wengine... yaani kama sisi tunaumia au kuteseka... inapotokea kuna mwingine anaumia pia, basi huwa tunafurahi na kuanza kumcheka. yumkini jamaa anateseka sanaaa. anasahau kwamba saivi kwa kuwa watu hawana hela wanaamua kuweka kipaumbele mambo muhimu tu(kula, kulipa bili na mavazi).
 
Hao inspirational speaker awamu zilizopita walikua wakisema "Nilianza na mtaji wa shilingi 7,000/ saivi nina utajiri wa milion 200 ".. ila awamu ya wazalendo wanashinda kutudanganya maana wakisema wameanza na 7,000/- tunajua kuna 20,000/- kodi ya kichwa.

Hivyo bora wale kona.
 
Hao inspirational speaker awamu zilizopita walikua wakisema "Nilianza na mtaji wa shilingi 7,000/ saivi nina utajiri wa milion 200 ".. ila awamu ya wazalendo wanashinda kutudanganya maana wakisema wameanza na 7,000/- tunajua kuna 20,000/- kodi ya kichwa.

Hivyo bora wale kona.
Mpaka 2020 watafutika wooote. Watabaki wale ma-MC wa corporates tu.
 
Haya mambo tuwaachie huko nchi za wenzetu watu kama Wesley Virgin au Jay shetty wanaajiriwa kwenye team za Basketball au Golf msimu mzima kutoa motisha kwa wachezaji sio sisi jamani.

Naona toka Boss Ruge atutoke hawa jamaa wanapotea kama Nikki wa pili uyo.

Dogo janja naye alikua motivational speaker kwa nafasi yake 😂
 
Back
Top Bottom