Inspirational Speakers wazidi kupungua

Inspirational Speakers wazidi kupungua

Haya mambo tuwaachie huko nchi za wenzetu watu kama Wesley Virgin au Jay shetty wanaajiriwa kwenye team za Basketball au Golf msimu mzima kutoa motisha kwa wachezaji sio sisi jamani.

Naona toka Boss Ruge atutoke hawa jamaa wanapotea kama Nikki wa pili uyo.

Dogo janja naye alikua motivational speaker kwa nafasi yake
 
Ana wivu wa kike! Ni utoto unamsumbua
Maisha lazima yawe inspired, wengi wetu tunaishi kwa mazoea hivyo inspirational speakers ni muhimu kwa nafasi zao ndio maana kwa wenzetu kuna mtu kama Brian Tracy ambazo kazi zake zipo nyingi tu za ku inspire, sijui nini mwandishi alikusudia hadhira yake ipate.
 
👇👇👇
 

Attachments

  • 20190506_130448.png
    20190506_130448.png
    107.4 KB · Views: 34
Katika kuonyesha kuwa awamu hii hamna janja-janja wale ndugu zetu watia rangi kwenye maisha (Inspirational Speakers) wamezidi kupungua na kutafuta shughuli halisi na kuachana na mambo ya kupiga domo tupu. Asante sana Mheshimiwa. Tuendapo hata Ma-MC watatoweka kwenye ramani.
BAKI NA MASTERS ZAKO NA DEGREE ZAKO

MC LABDA UTOWEKE WEWE
MWENZIO ANALAMBA LAKI NANE KWA WIKI MARA NNE BAKI NA LAPTOPYAKOO BADL YAKUOMBA UONGEZWE MSHAHARA UNAOMBEA WENZIO MABAYA NDIO UNAWABARIKI
 
Katika kuonyesha kuwa awamu hii hamna janja-janja wale ndugu zetu watia rangi kwenye maisha (Inspirational Speakers) wamezidi kupungua na kutafuta shughuli halisi na kuachana na mambo ya kupiga domo tupu. Asante sana Mheshimiwa. Tuendapo hata Ma-MC watatoweka kwenye ramani.
Wale matapeli umotivational speakers wawachie wakina warren buffet,Jack ma,sir Richard branson,peter thiel ,wafanikiwe kwanza ndio waje kutumotivate sio kisa mtu kasoma business books kadhaa tu sijui rich dad,poor daddy kisha hanataka kupiga watu hela kwa kumotivate kama mtu aliyefanikiwa kumbe ndo kwanza yupo kwenye hustle hata startup business hana
 
Wale matapeli umotivational speakers wawachie wakina warren buffet,Jack ma,sir Richard branson,peter thiel ,wafanikiwe kwanza ndio waje kutumotivate sio kisa mtu kasoma business books kadhaa tu sijui rich dad,poor daddy kisha hanataka kupiga watu hela kwa kumotivate kama mtu aliyefanikiwa kumbe ndo kwanza yupo kwenye hustle hata startup business hana
seminar za empowerment kila uchao ila ukichunguza Huyo motivational speaker anaishi kwa huruma ya sponsor
 
Nimefuatilia historia ya Marekani pamoja na maendeleo yake lakini ufisadi na uwizi haukua nyuma na bado lile taifa lilipiga hatua kubwa sana hivi vitu huwa vikiwemo huwa ni dalili tosha kuwa uchumi upo tena kwa wananchi wenyewe kwahiyo tunaomba tusiwabeze kwakua hizo inspiration speaker kwao kama fursa kama zingine za kawaida je nime msikia Makonda na waziri Mkuu wakituhamasisha tuchangamkie fursa mpaka sasa hakuna mwanga wowote kwenye hizo fursa za SADC imebaki kuwa ni neno la kisiasa
Mungu Tusaidiane tuondokane na tabu za awamu hii ya tano
 
Katika kuonyesha kuwa awamu hii hamna janja-janja wale ndugu zetu watia rangi kwenye maisha (Inspirational Speakers) wamezidi kupungua na kutafuta shughuli halisi na kuachana na mambo ya kupiga domo tupu. Asante sana Mheshimiwa. Tuendapo hata Ma-MC watatoweka kwenye ramani.

Wanamezwa na Moos iba na Mark on Dar
 
Poor you. Huwezi ku-understimate role ya inspirational speakers. Jamii ina matatizo mengi mengine yakiwa ni Uvivu, Ugonjwa wa akili na Sonona etc. Hawa watu wanastahili kupewa message ya kuwakumbusha kuwa hawajachelewa to be what they wanna be. Inspirational speak wengi huja ku-share skills zao na perception kuhusu maendelo or Jinsi ya Kujikwamua. Lakini kwa Akili yako ndefu na Pana, Umewaona ni wapiga dili!! Hahaha...

As a parent, nakushauri ufanye kazi kwa bidii, usome or usomeshe saana na timiza wajibu wako kama mwafrika. Adui yako naona yuko ndani yako...
Tena wanahitajika sasa kuliko wakati mwingine wowote
 
Back
Top Bottom