Inspirational Speakers wazidi kupungua

Inspirational Speakers wazidi kupungua

Kutana na dr didas lunyungu ujifunze ujasiriamali wa kuingiza laki tano kwa wiki kwa kutengeneza sabuni za miche
😂😂😂😂😂😂
 
Huyu Antony hata kuongea hajui..yaan hawez kui-inspire
Mbona jamaa anaongea pweinti tupu? Au ndo hutak tu kwa sababu ya roho mbaya kwasababu ni mbongo mwenzio??
 

Attachments

  • VID-20200504-WA0023.mp4
    8 MB
Wale wanakupa faida tu lakini hasara hata hawagusi utasikia

"Ukifuga kuku 300 utakua na Uwezo wa kupata mayai 150 kwa siku minimum, trey moja ya mayai n elf 12 minimum sasa mayai 150 ni trey 5 kwa hiyo utaweza kuingiza elf 60 kwa siku minimum"


Pumbavu hawaongelei hasara endapo kuku wakifa, au wakapata magonjwa, ukakosa soko la mayai, kuku wakashindwa kutaga
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunian wanaumiza vichwa kuja na Vaccine. Sisi tunahangaika Motivational Speaker feki
 
Mkuu umewahi kusoma kitabu cha "Je Umelogwa?"

Ndani yake kuna hadithi ya "Binadamu Uroho Bin Uhondo"

Kisa hiko kimekaririwa vyema na Dr mtarajiwa Gasper Mollel wa Rangers Safari Arusha. Inahusu mtu kujifanya hayakuhusu wala hayakugusi.
Dr mtarajiwa wa mifugo?
 
Back
Top Bottom