Insane coincidence: Futility and Titanic

Insane coincidence: Futility and Titanic

kinachonisikitisha zaidi ni kanisa langu la kotoliki kuusihwa na kila mambo ya ajabu na kusitikisha haswa yenye ushetani ndani yake, kila habari ngumu ngumu zilizokosa majibu hautakosa kusikia uhusika wa kanisa katoliki. sijajua malengo yao yalikua ninini au ni kipi haswa walichokua wakitaka maana mambo ya kanisa Mungu mwenyewe ndie anaeratibu,kama nikweli nia yao ilikua ni kueneza neno la Mungu sifhani kama walikua wakiongozwa na Roho wa Mungu kama ambavyo Kristo alivyosema kua yote watakayofanya katika kuhubiri Roho Mtakatifu ndie atakae kua msaidizi . ngoja tuone itakavyo kua maadamu hauna siri itakayositirika daima.
 
Kuna jambo sijaliandika kwenye makala hii..

jambo lenyewe ni kwamba kitabu cha Morgan kilikuwa na toleo la pili ambapo kilihusisha Titan II na muda huu ninavyokueleza Titanic II inatengenezwa na itaanza kazi 2018....

kitabu hiki hakipo kabisa mtandaoni siku hizi sijajua ni kwanini lakini iko hivyo....
Duh
 
kinachonisikitisha zaidi ni kanisa langu la kotoliki kuusihwa na kila mambo ya ajabu na kusitikisha haswa yenye ushetani ndani yake, kila habari ngumu ngumu zilizokosa majibu hautakosa kusikia uhusika wa kanisa katoliki. sijajua malengo yao yalikua ninini au ni kipi haswa walichokua wakitaka maana mambo ya kanisa Mungu mwenyewe ndie anaeratibu,kama nikweli nia yao ilikua ni kueneza neno la Mungu sifhani kama walikua wakiongozwa na Roho wa Mungu kama ambavyo Kristo alivyosema kua yote watakayofanya katika kuhubiri Roho Mtakatifu ndie atakae kua msaidizi . ngoja tuone itakavyo kua maadamu hauna siri itakayositirika daima.
Mkuu,kanisa Katoliki ni zaidi ya ulijuavyo....

Kuna mambo mengi sana wengi hawayajui,acha haya mengine ya kawaida ambayo watu wanapigishana makelele tu humu kila siku,yapo mengine zaidi ya hayo na mengine hata huwezi kuyasema....

Haya yapo kwenye madhehebu mengine na dini zingine pia,yaani ni hatari kweli kweli....

Tuendelee kujifunza taratibu mkuu....
 
Ni story,hamna uhalisia
Movie ya Titanic imetengenezwa kutokana na tukio la kweli la ajali ya meli ya Titanic niliyoiongelea hapo juu....

Titanic is a movie based on true story......
 
Movie ya Titanic imetengenezwa kutokana na tukio la kweli la ajali ya meli ya Titanic niliyoiongelea hapo juu....

Titanic is a movie based on true story......
Yeah ni movie based on true story,kulikuwa hamna ile love story ya kina Kate

Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye huu uzi, bado natafakari,au maybe huyu Robertson alikuwa nabii...nawaza
 
Yeah ni movie based on true story,kulikuwa hamna ile love story ya kina Kate

Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye huu uzi, bado natafakari,au maybe huyu Robertson alikuwa nabii...nawaza
Nadhani waliamua waongezee ile love story ili kuvutia mtazamaji....

Robertson na tukio hili ni kitendawili ambacho mteguzi wake naona bado hajapatikana....
 
kinachonisikitisha zaidi ni kanisa langu la kotoliki kuusihwa na kila mambo ya ajabu na kusitikisha haswa yenye ushetani ndani yake, kila habari ngumu ngumu zilizokosa majibu hautakosa kusikia uhusika wa kanisa katoliki. sijajua malengo yao yalikua ninini au ni kipi haswa walichokua wakitaka maana mambo ya kanisa Mungu mwenyewe ndie anaeratibu,kama nikweli nia yao ilikua ni kueneza neno la Mungu sifhani kama walikua wakiongozwa na Roho wa Mungu kama ambavyo Kristo alivyosema kua yote watakayofanya katika kuhubiri Roho Mtakatifu ndie atakae kua msaidizi . ngoja tuone itakavyo kua maadamu hauna siri itakayositirika daima.
Mkuu pole sana, ukweli kanisa la roma lina mambo mengi sana ni ngum sana mtu kuelewa, kwakifupi kanisa la roma ndilo linalo control dunia na madhehebu yote yapo chini ya roma.
 
Ajali ya Titanic yaweza kuwa ualifu wa kuoangwa, inawezekana kati ya abiria ndani ya meli hii walikuwa tishio kwa maslahi ya vyama vya siri na wababe wa dunia. Lakini mnisaidie kitu, je mtunzi wa Kitabu The wreck of TITAN alikufa kifo gani? Je ni cha kawaida, ghafla nk?
 
Ajali ya Titanic yaweza kuwa ualifu wa kuoangwa, inawezekana kati ya abiria ndani ya meli hii walikuwa tishio kwa maslahi ya vyama vya siri na wababe wa dunia. Lakini mnisaidie kitu, je mtunzi wa Kitabu The wreck of TITAN alikufa kifo gani? Je ni cha kawaida, ghafla nk?
Alikutwa akiwa amepoteza uhai chumbani kwenye hoteli....

Sikuwahi kuona kama kifo hiki kilitiliwa mashaka na kusababisha upelelezi kukihusu japokuwa inawezekana alimalizwa vile vile....
 
Alikutwa akiwa amepoteza uhai chumbani kwenye hoteli....

Sikuwahi kuona kama kifo hiki kilitiliwa mashaka na kusababisha upelelezi kukihusu japokuwa inawezekana alimalizwa vile vile....
Hapo kuna kitu, akili yangu inanituma alinyamazishwa. Huo ni ualifu wa kupangwa na kuna tetesi kwamba karibu matajri wengi wa wakati huo huko Wingereza walikuwa katika meli hii wakati inapata masahibu
Nadhani waliamua waongezee ile love story ili kuvutia mtazamaji....

Robertson na tukio hili ni kitendawili ambacho mteguzi wake naona bado hajapatikana....
 
Hapo kuna kitu, akili yangu inanituma alinyamazishwa. Huo ni ualifu wa kupangwa na kuna tetesi kwamba karibu matajri wengi wa wakati huo huko Wingereza walikuwa katika meli hii wakati inapata masahibu
Sasa kuna uhusiano gani kati ya hadithi ya Morgan Robertson na matajiri waliokuwepo kwenye meli?

Inawezekana kulikuwa na mpango wa kuwaondoa hao matajiri,lakini ndiyo wauwaji waamue kufananisha mauwaji hayo na hadithi ya miaka 14 nyuma?

Ili iweje haswa?
 
Inaaminika mwaka 1910 wanaume Nelson Aldrich na Frank Vanderlip kutoka Rockefeller financial empire, Benjamin Strong, Henry Davison na Charles Norton kutoka makampuni ya J.P Morgan na Paul Warburg kutoka familia ya Rothschid walikutana kwenye kisiwa cha Jeckyll wakiwa na lengo la kuanzisha taasisi itakayoweza kutumika kutoa pesa ya kutosha kugharamia kazi zao za kuifanya dunia kuwa chini ya order moja, kugharamia vita visivyokoma kuwanyosha wote watakaopingana na ramani zao. Hapa ndipo inaaminika kwa Mara ya kwanza wazo la kuanzishwa fideral reserve bank liliibuliwa. Hizi familia tatu Rockefeller, Morgan na Rothschild walitaka watamalaki kwenye uchumi wa dunia. Kwa wakati US haikuawa na banki kuu toka 1830s.

Wachora ramani waligundua US ilikuwa na mabwanyenye pia ambao wangepinga na uanzishwaji wa federal reserve bank kama ingejulikana kuwa sio taasisi ya wamarekani bali mabwanyenye wa ulaya. Hawa walikuwa Benjamin Guggenheim, Isador Strauss na John Jacob. Kwa wakati huo wanakadiriwa kuwa labda ndo walikuwa watu matajiri zaidi duniani wakiwa na utajiri wa zaidi ya us $500mil. Sasa ili kuwaondoa hawa ndo wakaandalia kaburi lenye hadhi yao Titanic. J.P ndo walikuwa owner wa kampuni ya white star line na ndo alipewa order ya kutengeneza Titanic, a floating palace. Morgan hakuwa amewekeza kwenye mabenki tu walikuwa na kampuni nyingine za meli ujerumani ukiacha white star line .

Titanic ilipokamilika 1912 hao mabwanyenye wa US walialikwa kuifanya uzinduzi wa Titanic hawakujua tayari cap. Edward Smith alikuwa ameshapewa order ya kwenda kuwazika kwenye bahari ya Atlantic. Kufikia April 1912 wapinzani wote wa federal reserve bank hawakuwepo dunia. Dec 1913 fideral reserve bank ikaanzishwa, miezi 8 baadae 1914 walikuwa na pesa ya kutosha kuanzisha vita ya kwanza ya dunia.
 
Titanic ilipokamilika 1912 hao mabwanyenye wa US walialikwa kuifanya uzinduzi wa Titanic hawakujua tayari cap. Edward Smith alikuwa ameshapewa order ya kwenda kuwazika kwenye bahari ya Atlantic. Kufikia April 1912 wapinzani wote wa federal reserve bank hawakuwepo dunia. Dec 1913 fideral reserve bank ikaanzishwa, miezi 8 baadae 1914 walikuwa na pesa ya kutosha kuanzisha vita ya kwanza ya dunia.
Vipi kuhusu suala la hadithi iliyoandikwa na Morgan Robertson?

Ingekuwa tu ajali ilitokea katika mazingira ya kutatanisha hizi sababu zako zingekuwa na mashiko sana tu,lakini hadithi ya Futility sasa....

Morgan Robertson anahusikaje kwenye hili sakata ulilolisema hapa mkuu?
 
Haps
Vipi kuhusu suala la hadithi iliyoandikwa na Morgan Robertson?

Ingekuwa tu ajali ilitokea katika mazingira ya kutatanisha hizi sababu zako zingekuwa na mashiko sana tu,lakini hadithi ya Futility sasa....

Morgan Robertson anahusikaje kwenye hili sakata ulilolisema hapa mkuu?
Hapa namzungumzia John Pierpont Morgan alizaliwa april 17,1837, alikuwa finencier na banker mkibwa US. Alikufa mjini Rome Italy march 31,1913 wakiwa na miaka 75. Aliacha utajiri unaokadiriwa kuwa US $80mil kwa mwanae John Pierpont Morgan Jr. Inaaminika kuwa biashara yake ilikuwa haraka kwa sababu ya mwingiliano wake na familia ya Rockefeller na Rothschild.
 
Ta
Sasa kuna uhusiano gani kati ya hadithi ya Morgan Robertson na matajiri waliokuwepo kwenye meli?

Inawezekana kulikuwa na mpango wa kuwaondoa hao matajiri,lakini ndiyo wauwaji waamue kufananisha mauwaji hayo na hadithi ya miaka 14 nyuma?

Ili iweje haswa?
Tafuta kitabu creature from Jekyll island utapata wazo la changamoto kidogo kuhusu titanic
 
Haps
Hapa namzungumzia John Pierpont Morgan alizaliwa april 17,1837, alikuwa finencier na banker mkibwa US. Alikufa mjini Rome Italy march 31,1913 wakiwa na miaka 75. Aliacha utajiri unaokadiriwa kuwa US $80mil kwa mwanae John Pierpont Morgan Jr. Inaaminika kuwa biashara yake ilikuwa haraka kwa sababu ya mwingiliano wake na familia ya Rockefeller na Rothschild.
Mimi simzungumzii huyo bali namzungumzia Morgan Robertson mtunzi wa hadithi ya Futility ambayo imesababisha maswali mengi sana kama nilivyoeleza kwenye mada hii...
 
Back
Top Bottom