Kwanini wewe unataka ushauriwe ubanjue nje?
Umenionesha matokeo ya form 4 na sio data ya nilichokuuliza!
Unayahusishaje hayo?
Sasa nahitaji kujua elimu yako maana naona tunazungumza watu tulio tofauti kabisa namna ya kufikiri
Naomba uniambie elimu yako tafadhali!
Ndio nini hiki?
Ah wapi bwana......unasimama kama kawa....yani nilivyo na wivu na mali yangu afu nijue kuna mwanamke mwingine alipata ninachokipata kutoka kwake....ah bora sabuni aisee...
Sijaelewa ulichonijibu
BTW mimi ni STD 7!
mimi karucee namruhusu atafute mtu afanye nae mapenzi kwa masharti matatu.
1. Atumie kinga
2. Iwe no strings attached
3. Anihadisie tukio zima.
Unauhakika na hilo?
Sahihi kiaje?
I like this type of thinkingKama binadamu mwenye utashi bila shaka unajua what's right or wrong,
Ninachokizungumzia hapa ni kuwa ndivyo alivyo yaani hawezi kuhimili pindi apatapo ham hiyo na sio kuendekezaSasa ni yeye kuamua kuendekeza hiyo mihemuko au kitumia akili