Ingekua Wewe Ungefanyaje?

Ingekua Wewe Ungefanyaje?

Kwanini umuwekee kondom halafu mpime?
Huamini kama kondom zinasaidia?
Kwanini usimuache tu bila kumuwekea kondom?

Namwekea condom sababu nampenda.
Naamini zinasaidia bt smtime wanaendaga peku hata kama anayo mfukoni hasa kama anatumia kilevi so kupima muhimu.
Siwezi kumwacha aende bika condom labda akatae au akatupe akitaka.
 
Namwekea condom sababu nampenda.
Naamini zinasaidia bt smtime wanaendaga peku hata kama anayo mfukoni hasa kama anatumia kilevi so kupima muhimu.
Siwezi kumwacha aende bika condom labda akatae au akatupe akitaka.

Sasa hii maana yake unamruhusu akadungue nje au?
 
Kama hawezi kuja?

kama hawezi kuja amefeli, hakuna kishindikanacho kati ya wachumba wawiliau wanandoa..unajua ukishafika stage hii ya uhusiano ni maana ake miili yenu biologically and technically imekua kitu kimoja, sasa ukianza kumpuuzia mapema vitu vidogo kama hivi, am certainly sure atajengeka hivyo hivyo adi ndani ya ndoa,atakua na vinyumba vidogo vya kupoozea rungu kwasababu anajua partner wake ngumu kumkidhi although wanapendana ndiyo

curiousity >> uyo mwanamke ni mchagga??wa kishmundu machame :suspicious:au wapi if so
 
Sijasema kuwa naamini kila lisemwalo...bila kutafakari! Hebu nieleze unavyoelewa neno " masturbation addiction"?

Sijakuambia kuwa unaamini bila kutafakari

Pia hiyo addiction ya masturbation sijui hata kama ina exist!
 
kama hawezi kuja amefeli, hakuna kishindikanacho kati ya wachumba wawiliau wanandoa..unajua ukishafika stage hii ya uhusiano ni maana ake miili yenu biologically and technically imekua kitu kimoja, sasa ukianza kumpuuzia mapema vitu vidogo kama hivi, am certainly sure atajengeka hivyo hivyo adi ndani ya ndoa,atakua na vinyumba vidogo vya kupoozea rungu kwasababu anajua partner wake ngumu kumkidhi although wanapendana ndiyo

curiousity >> uyo mwanamke ni mchagga??wa kishmundu machame :suspicious:au wapi if so

Kafeli kivipi wakati kuna sababu zaidi ya 4 zinazoweza kumfanya asije na sababu hizo ni za msingi?
 
Kafeli kivipi wakati kuna sababu zaidi ya 4 zinazoweza kumfanya asije na sababu hizo ni za msingi?

hakuna sababu ambazo zinazidi majukumu yako kwa mchumba wako/mwanandoa mwenzako...ila kama ni wapenzi tuu wakudumu kwa mda ndo mnaoa mnakaribia uchumba well i got bad news for you...bado hamjakaribia au kufikia stage ya commitment..
back to my curiousity...is the female chagga??and wawapi if so😕
 
hakuna sababu ambazo zinazidi majukumu yako kwa mchumba wako/mwanandoa mwenzako...ila kama ni wapenzi tuu wakudumu kwa mda ndo mnaoa mnakaribia uchumba well i got bad news for you...bado hamjakaribia au kufikia stage ya commitment..
back to my curiousity...is the female chagga??and wawapi if so😕

Kama hakuna nauli ya kuja huko uliko?
 
Kama hakuna nauli ya kuja huko uliko?
nauli sio kisingizio, si bwana yupo kikazi..ana minyege yake anataka nani amsafirishie mbunye ajihudumie??????

oNE MORE LAST TIME>>>wa kike ni mchagga??if so wawapi...nina maana yangu kwanini nauliza
 
Lakini akitumia sana sabuni inaweza kumwathiri kisaikolojia...ujue!! Akirudi na dropped performance utamlaumu nani?!
Kwahiyo una mruhusu acheze show za nje ili performance isishuke? Na hata ikishuka itapandishwa tu kwa juhudi zetu wote...
 
Kama hakuna nauli ya kuja huko uliko?
nauli sio kisingizio, si bwana yupo kikazi..ana minyege yake anataka nani amsafirishie mbunye ajihudumie??????

oNE MORE LAST TIME>>>wa kike ni mchagga??if so wawapi...nina maana yangu kwanini nauliza
 
Eiyer well mkuu kwa ku divert from myquestion nimepata picha tayari..nadhani haina budi kuendelea
 
Last edited by a moderator:
Hili ndilo tatizo

Hebu fikiria tu huwezi kwenda,utafanyaje?

Najaribu tu kufikiria namna ulivyo mbali nami

Sijui nitafanyaje!!

Haiwezekani ikashindikana kuwa mie siwezi au yeye hawezi.
lazma iwepo namna...........unless pawe pana vpingamizi

kwa wewe paroko......unaweza ukaomba niwe nakuweka kwenye mkoba wangu!
baki hukohuko mbali............
 
namfuata nikampe haki yake mbona rahis sana hyo baba paroko

Lol bidada alipie tu nauli... maana wengine hiyo kumtafuta kumpa haki ni kwa gharama yako wakati usingizi alikuwa halali yeye
 
Kwahiyo una mruhusu acheze show za nje ili performance isishuke? Na hata ikishuka itapandishwa tu kwa juhudi zetu wote...

No....sijakuambiaa umruhusu apige mechi za nje; la hasha!

Mechi za nje zinaweza kuwa na athari kama ilivyo punyeto.

La maana ni kumwambia acontrol tamaa zake. Mbona wewe unaweza kujiconrol?!

Binadamu, tofauti na wanyama tumepewa uwezo wa ku contol miili yetu na siyo miili yetu itucontrol!

Kama yeye hawezi kuthibiti tamaa za mwili wake......anahitaji maombi kufuatana na imani yake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom