Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
kama siwezi kwenda bas anatakiwa awe mpole tu ajaribu kila njia kushnda mihemko ya mwl wake akifanya hvyo itamsaidia kuondokana nj adha anayoipata
tena anatakiwa auelewe ushaur ntaompa maana akijifanya mbishi hapo atakuwa anataka makubwa
Baby umesoma mada vizuri?huyo nae atakuwa anajiendekeza tu...unajua kitu km unajua huwezi kupata hata hamu nacho haiwi juu sn. alikuwaga na mahamu anayoshindwa kuvumilia coz wife alikuwa pembeni, sa kwavile yupo mbali ajityuni tu kukubaliana na halihalisi... au la ajipige mkono mie (if ndo wife wake) namsaidia ajisikie as if em there...miguno sauti za mahaba, nampa mainstructions mwenyewe atascore tuuu na hamu itashuka lol
Nimependa sana hii
Sasa hawa wanaingia kwenye mahusiano?
Sijauliza hilo
Mimi ninauliza kuhusiana na walioko kwenye ndoa!
Wafunge, nimeshakujibu au huelewi Kiswahili?
Nikakuuliza unashangaa hilo, wako masista na mapadre wana kiapo cha kuto-kushughulika na kushughulikiwa lakini na wao yanawashinda, ni nini ambacho hujakielewa?
Hufikirii kama kuna njia nyingine?
Dear kwanini unadhani mimi ni kauzu?
Una matatizo wewe
Endelea na unayofanya!
Baby umesoma mada vizuri?
Nina hakika hujasoma mada wewenimeisoma na kuielewa otherwise ulishajiandalia majibu yako ...umesema mume hawezagi kuvumilia awapo horny na kwasasa yupo mbali na mkewe na amepatwa na hiyo hamu. Afanyeje???) namie ndo nikakujibuu kwmb uwache kujiendekeza kwn usipofny utakufa??!!! or else mastabeshen itakuhusu, na ole wako unichiti huki heheheheeee
Nina hakika hujasoma mada wewe
Kama umeisoma basi hujaielewa kabisa!!