Ingekua Wewe Ungefanyaje?

Ingekua Wewe Ungefanyaje?

Like like...ni kweli kabisa kuna kitu hakitakua sawa katika ulimwengu wa kiroho. ..

Kuna mambo tunaweza kuchagua kujidanganya

Ni kweli hawa watu wapo na ni wa jinsia zote
Kujaribu kuukana ukweli ni kujidanganya

Nimeshaona wengi sana hawa

Na hawa wana wake/waume
Sijui kama hili lina uhusiano na matatizo ya kiroho!
 
Unadhani huo ni msaada?

hiyo ni kumwambia tu ukizidiwa tumia kinga, pia utaratibu wa kupima utamjengea hofu ya mechi za nje, ujue watu wanaojijua health status zao ndio mara nyingi huwa makini.itasaidia kwa namna moja au nyingine.
 
Natumai hamjambo na mnajiandaa na w/end
Kuweni makini sana maana w/end ina mengi


Leo jioni nina ka swali kwenu

Hebu fikiria tu kuwa uko kwenye uhusiano ambao ni serious au uko kwenye ndoa

Unajua kabisa kuwa mupenzi wako akipata ham ya kubanjuka huwa hawezi kabisa kujizuia,yaani hawezi hata kupata ka usingizi usiku

Ikatokea akapata kazi ambayo itamfanya asiwepo mkoani mlipo kwa miezi kama 10 hivi,akaenda huko kuchapa kazi na baada ya miezi mitano anakuambia amezidiwa na ham kiasi kwamba zimepita siku nne hapati hata lepe la usingizi

Je,utamshauri nini?

Zingatia hali yake na udhaifu alionao kwenye suala hilo!
Ntamshauri apige nyeto...asinipe strec mim
 
hee eeee baba paroko umenishtua sana
nilivyoona title inasema kusanyikeni hapa
nikazani kuwa ni mambo ya siasa mbadala
kumbe ....................


Natumai hamjambo na mnajiandaa na w/end
Kuweni makini sana maana w/end ina mengi


Leo jioni nina ka swali kwenu

Hebu fikiria tu kuwa uko kwenye uhusiano ambao ni serious au uko kwenye ndoa

Unajua kabisa kuwa mupenzi wako akipata ham ya kubanjuka huwa hawezi kabisa kujizuia,yaani hawezi hata kupata ka usingizi usiku

Ikatokea akapata kazi ambayo itamfanya asiwepo mkoani mlipo kwa miezi kama 10 hivi,akaenda huko kuchapa kazi na baada ya miezi mitano anakuambia amezidiwa na ham kiasi kwamba zimepita siku nne hapati hata lepe la usingizi

Je,utamshauri nini?

Zingatia hali yake na udhaifu alionao kwenye suala hilo!
 
hiyo ni kumwambia tu ukizidiwa tumia kinga, pia utaratibu wa kupima utamjengea hofu ya mechi za nje, ujue watu wanaojijua health status zao ndio mara nyingi huwa makini.itasaidia kwa namna moja au nyingine.

Una hakika utamruhusu kudungua nje na kumhimiza atumie kondom au unaongea tu?
 
hee eeee baba paroko umenishtua sana
nilivyoona title inasema kusanyikeni hapa
nikazani kuwa ni mambo ya siasa mbadala
kumbe ....................

Ok sasa umejua hebu nipe jibu la swali langu!!
 
Una hakika utamruhusu kudungua nje na kumhimiza atumie kondom au unaongea tu?
Eiyer siwezi kumruhusu lakini ni vizuri tu kumkumbushia swala zima la kujilinda. kama huo udhaifu wake hawezi kujizuia ni vizuri tu nikusanyie hata maboksi mawili ila swala la kucheki afya mara kwa mara litahusu sana especially kama unadate na mwanaume wa hivo.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer siwezi kumruhusu lakini ni vizuri tu kumkumbushia swala zima la kujilinda. kama huo udhaifu wake hawezi kujizuia ni vizuri tu nikusanyie hata maboksi mawili ila swala la kucheki afya mara kwa mara litahusu sana especially kama unadate na mwanaume wa hivo.

Huwezi kumruhusu halafu umkusanyie mabox ili nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom