Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
- Thread starter
- #141
Like like...ni kweli kabisa kuna kitu hakitakua sawa katika ulimwengu wa kiroho. ..
Kuna mambo tunaweza kuchagua kujidanganya
Ni kweli hawa watu wapo na ni wa jinsia zote
Kujaribu kuukana ukweli ni kujidanganya
Nimeshaona wengi sana hawa
Na hawa wana wake/waume
Sijui kama hili lina uhusiano na matatizo ya kiroho!