Mana mechi za nje siyo zote anazoweza kukumbuka ndomu....na uko anaweza kukutana na mwanamke ambaye ndo anaharibu kila kitu mpaka kumrudisha mmeo inakuwa shida.......binafsi aamue moja atumie sabuni au afanye mazoezi ya kuuchosha mwili wake mpaka pale tutakapokutana....No....sijakuambiaa umruhusu apige mechi za nje; la hasha!Mechi za nje zinaweza kuwa na athari kama ilivyo punyeto.La maana ni kumwambia acontrol tamaa zake. Mbona wewe unaweza kujiconrol?!Binadamu, tofauti na wanyama tumepewa uwezo wa ku contol miili yetu na siyo miili yetu itucontrol!Kama yeye hawezi kuthibiti tamaa za mwili wake......anahitaji maombi kufuatana na imani yake!
Nini maana ya kumuwekea ndom kwenye bag?
Nini maana ya kumuwekea ndom kwenye bag?
...ni kweli kabisa mkuu...kuna genetics involvement kwenye akili ya mtoto kutoka kwa wazazi...japokuwa watalamu wanasema asilia nyingi...inategemea na jinsi anavyo zaliwa(km hakupata shida wakati anazaliwa), physical inviroment wakati wa kukua ukiweka na vitu kama nutrition)....kwenye genetics kuna mpaka study ya Watson and crick...zinaonesha DNA ina influence hata kwenye race za watu(black vs white)...ni study zinazopigwa vita hata kuchapishwaDr.Mo anajua, MziziMkavu nae nahisi anaweza kusaidia.. the involvement of genetics katika kumfanya mtoto awe na akili darasani au awe kilaza..
baba ana division one ya point 7.
mama ana division zero ya point 48.
assuming other things remaining constant, tusiangalie mababu wala mabibi wa pande za watoto .. just division one vs 0.48
Tatizo huwezi kwenda huko!
Duh sijamaanisha hivyo bana....wewe kweli extraordinary.
Huwezi kwenda!!
...ni kweli kabisa mkuu...kuna genetics involvement kwenye akili ya mtoto kutoka kwa wazazi...japokuwa watalamu wanasema asilia nyingi...inategemea na jinsi anavyo zaliwa(km hakupata shida wakati anazaliwa), physical inviroment wakati wa kukua ukiweka na vitu kama nutrition)....kwenye genetics kuna mpaka study ya Watson and crick...zinaonesha DNA ina influence hata kwenye race za watu(black vs white)...ni study zinazopigwa vita hata kuchapishwa
Natumai hamjambo na mnajiandaa na w/end
Kuweni makini sana maana w/end ina mengi
Leo jioni nina ka swali kwenu
Hebu fikiria tu kuwa uko kwenye uhusiano ambao ni serious au uko kwenye ndoa
Unajua kabisa kuwa mupenzi wako akipata ham ya kubanjuka huwa hawezi kabisa kujizuia,yaani hawezi hata kupata ka usingizi usiku
Ikatokea akapata kazi ambayo itamfanya asiwepo mkoani mlipo kwa miezi kama 10 hivi,akaenda huko kuchapa kazi na baada ya miezi mitano anakuambia amezidiwa na ham kiasi kwamba zimepita siku nne hapati hata lepe la usingizi
Je,utamshauri nini?
Zingatia hali yake na udhaifu alionao kwenye suala hilo!
Haiwezekani ikashindikana kuwa mie siwezi au yeye hawezi.
lazma iwepo namna...........unless pawe pana vpingamizi
kwa wewe paroko......unaweza ukaomba niwe nakuweka kwenye mkoba wangu!
baki hukohuko mbali............
Nimependa sana hiiKiislaam tuna solution kwa hilo, anatakiwa afunge (swaum). Hiyo ni hali inayomtokea si mwanamme tu hata wanawake, nayo solution yake ni hiyo hiyo. Kujiingiza kwenye funga ya dhati.
Sasa hawa wanaingia kwenye mahusiano?Ikiwa wale mapadre na masista wa kanisa katoliki wanaweza kuishi bila tendo la kujamiiana, au ni geresha tu? vipi uje na swali kama hili?