Ingekua Wewe Ungefanyaje?

Ingekua Wewe Ungefanyaje?

Udhaifu is overrated...

Ushauri wangu kwa wanawake, ukiolewa na mwanaume kama huyo jua hiyo ndoa huenda si mpango wa Mungu au mume anateswa kiroho.
Kweli kabisa mkuu huyo atakua mgonjwa si bure. Tena ukiona mtu yuko hivyo yapasa ujiulize ulikutana nae wapi au what went wrong.
 
Swali rahic sn.ki ukweli kama unampenda kwa dhati na hali ya mazingira inaruhusu kwenda lazma uende umpe mchakamchaka kidogo uzito upungue!binafsi siwez kumruhusu kutafiya mwingne maana ctalala!nahic akimaliza tu atapewa taarifa ya MTU kuzirai kwa wivu nilonao!akizidiwa akaaamua kutafuta pa kupumzika kwakwel nicjue hapatatosha!!!
 
expect even twice their mother wanasema mapacha huchangiwa na mama na si baba. ila kwa upendo tu aaah Mkuu Excel ndo umefika

kuuumbe.. so ukioa hii division sifuri mtoto nae anaezaliwa ankuwa kama *****? come on men mi i need ma kid to get a higher learning education.. sasa hapa si ntakuwa nalazimisha punda kunywa maji?
 
Swali rahic sn.ki ukweli kama unampenda kwa dhati na hali ya mazingira inaruhusu kwenda lazma uende umpe mchakamchaka kidogo uzito upungue!binafsi siwez kumruhusu kutafiya mwingne maana ctalala!nahic akimaliza tu atapewa taarifa ya MTU kuzirai kwa wivu nilonao!akizidiwa akaaamua kutafuta pa kupumzika kwakwel nicjue hapatatosha!!!


hapa sis scola hujapewa option ya kumfuata.. imagine uko mtwara na mpenzio kapangiwa mwanza ama tarime... uwezo wa kufika haupo.
 
Last edited by a moderator:
Daaa kumbe huwez kwenda!!!nitamridhisha kwa njia ya kuongea naye kwa CMU!!yaan atakuwa anaongea na mimi as if tuko pamoja uwanjani...lazma damu nzitoo imwagike kwa kasi!its like punyeto hivi lkn ata enjoy vilivyo.
 
Daaa kumbe huwez kwenda!!!nitamridhisha kwa njia ya kuongea naye kwa CMU!!yaan atakuwa anaongea na mimi as if tuko pamoja uwanjani...lazma damu nzitoo imwagike kwa kasi!its like punyeto hivi lkn ata enjoy vilivyo.
hapo ndo mtihani scola... sex phone si inaongeza tu hamu jamani? hii nayo ni solution?


(halafu pliz reply with quote ili niweze kupata notification kwangu.. sawa eenh?)
 
hapo ndo mtihani scola... sex phone si inaongeza tu hamu jamani? hii nayo ni solution?



Acha utan excel inaongeza ndiyo na raha ikizidi matokeo yake nin?lazma baruti ipigwe!halafu mume asiyeweza kuvumilia jaman mim hapana maana maishan kuna mambo mengi ctakuwa na amani naye hata nikimwacha na mama angu mzaz kwann niishi kwa mashaka??
 
hapo ndo mtihani scola... sex phone si inaongeza tu hamu jamani? hii nayo ni solution?



Acha utan excel inaongeza ndiyo na raha ikizidi matokeo yake nin?lazma baruti ipigwe!halafu mume asiyeweza kuvumilia jaman mim hapana maana maishan kuna mambo mengi ctakuwa na amani naye hata nikimwacha na mama angu mzaz kwann niishi kwa mashaka??

sa scola.. hebu niambie sikioni kabisa... kama ni wewe, halafu mimi mumeo excel niko kikazi china.. utanipa ushauri gani ili niondoe migenye kirahisi?
 
mmh
Eiyer,unajaribu kuhalalisha mchepuko?
 
Last edited by a moderator:
sa scola.. hebu niambie sikioni kabisa... kama ni wewe, halafu mimi mumeo excel niko kikazi china.. utanipa ushauri gani ili niondoe migenye kirahisi?

Kaka huo mtihani.ninamwamini mungu juu ya tote.naamin nikikuombea kwa iman mihemjo yote itakmbia Nita 1000!!kila mwanamke utayemwona utaona c lolote but only me so utaishi hvyo mpaka tukutane tena ndo uchanganyikiwe!!upo hapo excel?
 
Kaka huo mtihani.ninamwamini mungu juu ya tote.naamin nikikuombea kwa iman mihemjo yote itakmbia Nita 1000!!kila mwanamke utayemwona utaona c lolote but only me so utaishi hvyo mpaka tukutane tena ndo uchanganyikiwe!!upo hapo excel?

whaaat? mi vyakula yenyewe ya siku hizi ni migenye oriented yooote, unadhani mwanaume rijali atakaa hata mwezi bila kuona shimo la haja?
 
whaaat? mi vyakula yenyewe ya siku hizi ni migenye oriented yooote, unadhani mwanaume rijali atakaa hata mwezi bila kuona shimo la haja?

Hakuna linaloshindikana mbele za mungu km una Iman kaka.tatzo mda mwingi tunawaza Ku do tunatoa nafasi ndogo sn kuwaza mambo ya MSI GI.do u want to tell me ni lazma m/me afanye daily kaka?what if umeoa then mkeo kajifungua anatakiwa Ku stay away from u unafanyaje ikiwa we ni mwaminifu
 
mmmh.. sister.. hakika hufai kuwa na mke wangu!!!! hahahaaa!!

bora umshauri atoke tu na mdada mwingine kuliko kucheza na sabuni! hapo ujue siku akija, mshedede utashindwa kusimama!

Kama ni wewe ungemruhusu mkeo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom