In Edward Lowassa, I trust...

In Edward Lowassa, I trust...

Lowassa is a sick story na nazadi tunapoteza muda wetu kumjadilia fisadi, jamambazi lowassa badala ya mambo ya muhimu kwa nchi yetu


Nilimchukia Lowasa kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote na kwa moyo wangu wote

ila jana nimeona umuhimu wa kumrudisha as anauwezo wa kufanya mambo makupwa na hamna anayeweza kumzuia sio Kikwete wala nani anaeweza kumhoji sasa imebidi nirudi kulekuele MCHAWI MPE MWANAO ALEE!

TUMPE NCHI ANGALAO ATAWEZA KUWABANA WAKINA KIKWETE, KAGAMAGI, CHENGE NA ROSTAM, tukimuacha nyuma mtu huyu atatuulia wanetu mimi namkabidhi nchi ALE MWENYEWE TU ILA AWABANE WENGINE, ARUDISHE MIGODI YETU NA MBUGA ZETU, NA AFUKUZE HII MIAFISA ELIMU AMBAYO HAIFANYI KAZI WATOTO WETU WANAFELI OVYO....
NA AHAKIKISHE ANAMUWEKA KIKWETE NDANI NA KUTUMIA HELA ZA UMMA KWA MANUFAA YAKE ULAYA ULAYA SI AOMBE GREEN CARD AKAISHI HUKO.
 
Rev. Hapo nipo pamoja na wewe

Yes,yes lets call a spade a spade,je Rchmond,EPA,TANGOLD,DEEPGREEN,DOWANS;KATIKA HAYO YOTE KUNA WIZI AU HAKUNA? Yote hayo yalitendeka chini ya PM yupi anaeitwa makini? Ukali wake ni wa kulipa visasi tu kwa aliyokuwa na mabifu nao huko kabla, hasa watu wa utawala wa mwalimu. After all "Kanyweni chai nae, kama ni sura yake"]
He is a dreadful dictator,akiwa rais akaanza miradi ya kuwaibia maskini millioni 156 kwa siku utamfanyaje? ana kiburi,na ujasiri kama wa kichawi hivi.
KANYWENI NAE CHAI KWAKE,ANA LOOT KUBWA TU KIBINDONI.
 
mbona hujasema haya mawili
mwizi - tena anawaibia watu maskini
mbinafsi

hatumwitaji - na kama kakutuma umsafishe hapa jamvini - mkuu tafuta ukumbi mwingine.
 
Ukisoma maandishi ya Rev.Utaona kuwa ni mtu anakaribia kukata tamaa maana alikuwa ameona nuru mara ghafla giza linaingia na yupo katikati ya njia ,mwenye tochi alipojitokeza akaamini kuwa yeye ndiye masia......
 
Kweli jamaa n i mchapa kazi, lakini ni mwizi kuliko kawaida...yaaani matunda ya kazi yake anaiba mara 100 ya alichozalisha......tena huyo akiwa presedaa hatutakohoa akituibia, jamaa ni dictactor wa nguvu mjue..ooh...acha tu wewe Rev. Kishoka na hoja zako za utani...atakwiba huyo...oohoo...mimi simo....mchonga alimpa live..wewe dogo mwizi...huna chako hapa...jamaa kimyaaa! Ukitaka kuona EL anamshipa wa kushtuka, taja Mwalimu Nyerere...jamaa anaruka!
 
Record ya utendaji wa Ed ni ya kutukuka.Problem watu wanahisi umasikini wao umesababishwa na Lowasa.Wasichokijua ni kwamba,kilichotokea ni vita ya makundi ndani ya ccm,wala it has got nothing to do with you and me.By the way jamaa bado ni mdau namba mbili wa serikali hii.
 
Record ya utendaji wa Ed ni ya kutukuka.Problem watu wanahisi umasikini wao umesababishwa na Lowasa.Wasichokijua ni kwamba,kilichotokea ni vita ya makundi ndani ya ccm,wala it has got nothing to do with you and me.By the way jamaa bado ni mdau namba mbili wa serikali hii.

ooooh..tayari kakwiba na wewe! Jamaa mwiziiiiiiiiiiii....acha kuseam utendaji umetukuka, wakati hata huwezi kusema kafanya kitu gani bila kuiba?...Ni mwizi wa kutukuka ok? ask Mwalimu.
 
Kweli jamaa n i mchapa kazi, lakini ni mwizi kuliko kawaida...yaaani matunda ya kazi yake anaiba mara 100 ya alichozalisha......tena huyo akiwa presedaa hatutakohoa akituibia, jamaa ni dictactor wa nguvu mjue..ooh...acha tu wewe Rev. Kishoka na hoja zako za utani...atakwiba huyo...oohoo...mimi simo....mchonga alimpa live..wewe dogo mwizi...huna chako hapa...jamaa kimyaaa! Ukitaka kuona EL anamshipa wa kushtuka, taja Mwalimu Nyerere...jamaa anaruka!
kwi kwi kwi
ok kujeni na list ya alivyoiba hapa! cio ooh kaiba ooh kaiba

Tuambieni kaiba nini?🙄
 
.......Nimesikitishwa, nimeonewa..........hamkuniita......siamini kabisa ..........na kwakuwa hapa shida ni U-Waziri Mkuu, nitawapeni mnachokitaka........... By Edward Lowasa wakti anajiuzulu
 
Thanks Rev.Kishoka kwa ujumbe mzuri.
we must learn to appreciate if we don't know, to appreciate is the only way which prove how much you have cilivilized and the inverse of that is completely idiot.Ni nani ambaye hawezi kuona au kusikia vitu ambavyo Lowasa alivifanya kipindi akiwa PM, let us not hypocrite.Frankly speaking Lowasa ni kati wa viongozi walio na uwezo mkubwa sana wa kuongeza na hailo halifichiki.Muungwana ni yule ambaye anasema ukweli.
 
Maneno kama mfuatiliaji na mchapakazi yanategemea sana afya yake na kwa sasa afya si nzuri atachapaje kazi na kufuatilia watu zaidi ya kudelegate kitu ambacho hakiko kwenye dna ya uongozi wake?
 
Back
Top Bottom