Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,402
- 320
sina hakika kama ni watanzania ninyi, maana mnaonesha watu wenye matatizo ya kusoma alama za nyakati, haiwezekani nchi yenye idadi zaidi ya watu 37 milion, jumlisha na wasiyojitambua imtegemee mtu mmoja tena mwenye tabia za unyonyaji? mna lenu kama mmetumwa, hamjatukuta, au mmepandwa na pepo????naungana na wewe wakikusulubu wewe na mimi wanisulubu..EL ni kiongozi shupavu sana...ni shupavu .yes i said it