In Edward Lowassa, I trust...

In Edward Lowassa, I trust...

amekuhonga wewe ushaid unao? Kama ccm ikipita 2015 bac bora huyo kuliko type ya akina cta, kinene, na wengine wabovbov kama wa zamani ya sasa.
Kwa hiyo anachofanya sasa hivi unaona kama anatoa msaada?? Si angeanza zamani sasa
Mimi nimeshabikia CCM muda mrefu ila i think ni muda wa kuachia nchi kwa mpinzani tujaribu kitu tofauti tuone, kusipokua na competition kwenye nchi hii maendeleo hayatokuwepo. Tuko nyuma vibaya mno, kiuchumi, hata kifikra,
 
Hii inanikumbusha Lord of the rings, the dark Lord Sauron and the deception of Naguls, about the eye it watches everything.
In short we are doomed and i do not see any Frodo
 
Yepi ni maamuzi sahihi? Kumchagua Lowasa fisadi na mchapakazi AU kumchagua Mtu kama Pinda eti co Fisadi lakin mburula kwnye kusimamia maendeleo?
Worry not bretheren 2nawezapata mtu Clean and hardworking ikiwa 2takuwa makini.
 
NAUNGA MKONO HOJA YA KUMREJESHA MADARAKANI MHE LOWASA!THE GUY WAS VERY CREATIVE!mradi wa maji Dar,kapigana na mkataba wa mkoloni kuchukua maji ya ziwa victoria sasa maji mpaka KAHAMA AKIWA WAZIRI WA MAJI,alifukuza city water kitu ambacho KAWAMBWA KASHINDWA KWA TRL,alianzisha njia TATU wakati wa foleni DAR.Ulinza shule za sekondari zilizojengwa kila kata mpaka makongoro mahanga anamshukuru kwani alijenga shule 38 za sekondari ukonga.LOWASA NA MAGUFULI NDIO VIONGOZI TUNAOWAHITAJI
unafikiri hawajui au hawakuona ndio hao wanataka kuwasha vigari vyao asubuhi waingie kwenye ofisi za umma waibe na wasiulizwe,Huyu atauliza
 
Almost 5 years since I wrote this and now Mzee Popcorn is kubalika...
 
wa kwangu ni

1 samwel sitta
2 january amakamba
3 fedrick sumaye
4 dk wilbrod slaa

wewe je???????????????????????????
 
nguli,

namnadi ninayemuamini, nyie mnadai eti mtumbwi wangu unavuja, ndo maana nasema, sihitaji mpagazi.

kinachofurahisha hapa ni jinsi anavonadiwa huyu mjamaa (fisadi). Kiukweli mi binafsi nafurahi sana sababu kwa kelele hizi ndio inasaidia kuamsha mihasira ya wanaccm wasiomtaka hata kumsikia akiongea. Maana tayari kundi moja la wana ccm liko vitani kuhakikisha lowasa(fisadi) hapewi nafasi.
Jamani tuombe uhai tu tufike hiyo siku ya kuchaguana nnaimani kubwa hiyo ndio itakuwa siku ya kumalizana wana ccm na kuizika ccm. Amini msiamini hivi ndivo itakavokuwa siku hiyo.
 
Yes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!

Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.

Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.

Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!

Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!



Siku zote system ni kubwa kuliko mtu!! hebu niambie, Lowassa ataweza kuinyamazisha na kuidiscipline system mbovu ya ccm ambayo imekomaa kiasi hikii?? Hili ndio swali gumu la Edward Lowassa!!
 
Lowassa is the coming president,the only solution iloyobaki
 
Mhe: Lowasa asipo teuliwa kugombea nafasi ya Raisi sinto piga kura!
 
siku zote system ni kubwa kuliko mtu!! Hebu niambie, lowassa ataweza kuinyamazisha na kuidiscipline system mbovu ya ccm ambayo imekomaa kiasi hikii?? Hili ndio swali gumu la edward lowassa!!

unachekesha kweli weyeee.. Kwani hiyo sistiim ni kina naniii?? Kwa taarifa tu huyu nae ni mwana sistiim kwahiyo wala si tatizo kwake,
 
Ukweli nina imani sana na Edward Lowassa, Mwenyezi Mungu akitujalia Lowassa ataifikisha nchi yetu mahala ambapo tunafikiri ni ndoto kufika japokuwa kila mmoja wetu anatamani sana tufike. Mwenyezi Mungu akulinde na uwe na maisha marefu, tuibadili ndoto kuwa kwetu, naipenda nchi yangi.
 
Ukweli nina imani sana na Edward Lowassa, Mwenyezi Mungu akitujalia Lowassa ataifikisha nchi yetu mahala ambapo tunafikiri ni ndoto kufika japokuwa kila mmoja wetu anatamani sana tufike. Mwenyezi Mungu akulinde na uwe na maisha marefu, tuibadili ndoto kuwa kwetu, naipenda nchi yangi.

NADHANI WENYE IMANI NA UYO FISADI PIA MWIZI NI WEWE ZAIDI NA UKOO WA MZAZI WAKO WA KIKE WALOOZOEA KUISHI KWA MSAADA WA PESA ALIZOWAIBIA WATANZANIA AKIWA MADARAKANI. NA YEYOTE ANAYEMSHABIKIA FISADI UYU AMELAANIWA YEYE NA UKOO WAKE WOTE. Alamsiki na nina signoff
 
NADHANI WENYE IMANI NA UYO FISADI PIA MWIZI NI WEWE ZAIDI NA UKOO WA MZAZI WAKO WA KIKE WALOOZOEA KUISHI KWA MSAADA WA PESA ALIZOWAIBIA WATANZANIA AKIWA MADARAKANI. NA YEYOTE ANAYEMSHABIKIA FISADI UYU AMELAANIWA YEYE NA UKOO WAKE WOTE. Alamsiki na nina signoff

Hii ni ile damu ya bleed uliyokunywa inakusumbuwa!!
 
i think this is personal view avoid personal attack because anampenda Lowassa kama yeye na anafikili no one than Lowasa let the man talk,,,kikubwa hajasema anafaa kwa lipi? na huyo Lowasa ni kiongozi hadi sasa na alikuwa pm wa jmt kipi kizuri alikifanya? weka vizuri hoja yako but you are right because is your feeling
 
Back
Top Bottom