Yes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!
Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.
Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.
Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!
Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!
niliwah sema hizi habari zitapoteza fursa ya huyu mzee kuwa rais. Ikulu kuna nini? Hili swal litamtesa sana, pili J. K. Nyerere aliwah sema mtu anaetaka kwenda ikulu mkimbieni kama ukoma. Hapa ndipo ngondo nyingine imekaa.
You have said it allI concur Pastor. That guy was keeping us on our toes. And we were also keeping him in his toes. This dialectical relationship between 'us' and 'him' would have propelled our development much further. Uchumi wetu ungeendelea kupaa badala ya kutua. I say better fight the devil you know - Bring him back on board!
"Tupo Tumejaa Tele" - Edward Lowassa, the then PM
niliwah sema hizi habari zitapoteza fursa ya huyu mzee kuwa rais. Ikulu kuna nini? Hili swal litamtesa sana, pili J. K. Nyerere aliwah sema mtu anaetaka kwenda ikulu mkimbieni kama ukoma. Hapa ndipo ngondo nyingine imekaa.
Yes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!
Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.
Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.
Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!
Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!
You made me laugh big time...
I will give you a call shortly!
Slaa raisi tanganyika lowasa raisi jamhuri ya muungano!!Halafu muone kama nchi haitobadilika ndani ya mwaka
Huyu mshikaji anahonga wazi, sijui watanzania hilo hawalioni.. Inakuaje sasa hivi anajitokeza anamwaga hela..
Nlikua nadhani ni mtu mwenye akili ila jamaa jinga.. Moja kwa moja inaonyesha anachotaka ni urais tu arudishe hela, nothing more. Hii nchi imekaa sana kwenye siasa kuliko vitu vingine vya msingi, sio viongozi sio raia..
Unasahau makusudi sifa zake nyingine
-anahusika na RICHMOND
-aliwahi kupora kiwanja cha kanisa Mbezi Beach
-sakata la utajiri wake usioelezeka
-suala la jengo la UVCCM nalo je?
Nivyema kama unampenda ukanywe naye chai!!
Lunch kwangu ni PM. Lowassa ni mambo yote, mtasema sana ni fisadi, nani asiye fisadi???? anyooshe kidole.