Hakika yake, Lowana ni mtu mchapa kazi sana, ukilinganisha na viongozi wote, alitoa contribution yake kubwa sana tangu pale alipokuwa waziri hadi alipomwachia pinda, ambaye hakika hafanyi chochote kile. angalia Lowasa alivyo hamasisha mashule yakajengwa, nakwambia kama Lowasa angekuwepo hata hao walimu wangekuwepo, alikuwa anafanya kazi kwa bidii sana. NAMBIENI PINDA KAFANYA NINI HADI SASA HIVI. Jamaa alikuwa anafanya kazi sana akitegemea labda atakuja awe rais baada ya JK. unajuwa kuna watu wengi wanaongea kila mtu la kwake ni kwanini JK alimtosa mwenzie, pamoja na kwamba hatujui kama yeye pia ni malaika au ana yake mengi ameyaficha. wengi walikuwa wanasema (lakini sijui kama kweli), wamisri na waarabu walimwmbia jaa amtose kwasababu Lowasa alikuwa dangerous kwa wamisri na kwa upende mwingine, kunachuku fulani ya kidini ilikuwepo from the jamaa na kikundi fulani cha watu.
Lowasa alitoa maneno makali funali hivi, wakati maji yalianza kutolewa toka victoria kwenda arid area za north tz, kama mnakumbuka. kuna kitu cha siri kimefanyika sana hadi jamaa akapigwa chini, wengine wanasema ni kwasababu ni kafiri..siamini hivyo, ila alikuwa dangerous kwa wamisri hasa kwasababu ya victoria.
Nenda misri kaangalie sasahivi, utakuwa wanalima wanamwagilia jangwa limegeuzwa, maji ya victoria tukisema tuchukue wanasema tutapunguza maji yao ambayo wanamwagilia, kuna mambo mengi sana. this is nonesense..