Mkuu! Ngoja atoe tamko lake Bungeni kuhusu Richmond kama nilivyosikia kwenye vyombo vya habari then from there nitapanda mtumbwi wako,......
Of course. But, seriously,the guy was making everyone busy. He was not sleeping.
Of course. But, seriously,the guy was making everyone busy. He was not sleeping.
Of course. But, seriously,the guy was making everyone busy. He was not sleeping.
Sure, he was busy thinking of making another Richmond....mvua ya kutengeneza,.....be President 2015 etc etc
Yaani Tanzania nzima hakuna mtu mchapakazi hadi Jambazi Fisadi Edward Lowassa aonekane ndie anaefaa, huyu mtu hafai kabisa kwenye uongozi na sehemu pekee anayostahili kuwepo hivi sasa ni jela.
Unasahau makusudi sifa zake nyingineYes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!
Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.
Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.
Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!
Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!
Naomba pia proof kuwa hajaiba au kuhujumu uchumi pale Tanzania. Inabidi atuonyeshe utajiri wake na kwa familia yake umetokea wapi na kwa kipato gani? Atuonyeshe vyanzo vyake vyote vya mapato vilivyomfanya awe tajiri na kuweza kuwekeza hisa katika makampuni mbalimbali huku akimiliki biashara na majumba mbalimbali kutoka Dar mpaka Arusha.Where is the proof kuwa Kaiba au Kahujumu?
Companero,
Unakumbuka wale wakuu wa mikoa au wilaya ambao walianza kutoa utumbo akawapiga stop mbele ya hadhara na kwaambia waache kubabaisha?
Pitia safu za viongozi wote Tanzania utakuwa baada ya Nyerere na Sokoine, next aliyekuwa na ubavu wa kupiga ngwala blah blah za Watendaji ni Lowassa
Naomba pia proof kuwa hajaiba au kuhujumu uchumi pale Tanzania. Inabidi atuonyeshe utajiri wake na kwa familia yake umetokea wapi na kwa kipato gani? Atuonyeshe vyanzo vyake vyote vya mapato vilivyomfanya awe tajiri na kuweza kuwekeza hisa katika makampuni mbalimbali huku akimiliki biashara na majumba mbalimbali kutoka Dar mpaka Arusha.
Unasahau makusudi sifa zake nyingine
-anahusika na RICHMOND
-aliwahi kupora kiwanja cha kanisa Mbezi Beach
-sakata la utajiri wake usioelezeka
-suala la jengo la UVCCM nalo je?
Nivyema kama unampenda ukanywe naye chai!!
Yes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!
Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.
Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.
Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!
Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!
Swali kwenu, je yeye Lowassa ni fanisi au si fanisi?
Je ni mchapa kazi au mbangaizaji?
Je ni mfuatiliaji au ni selule?
Je ni mfanya maamuzi bila kuogopa sura au mtu au ni mwoga akiogopa political fall out?
Kama ni tamaa za mali, au ufisadi, ni Mtanzania gani ambey si mwenye tamaa ya mali au fisadi?