In Edward Lowassa, I trust...

In Edward Lowassa, I trust...

mm nashangaa kila siku lowasa kwani anawalipa kumsafisha?tuache hayo watz ni wengi wenye uwezo,kavurunda akae kando
 
Lowassa analiliwaa...


Wanaomlilia ni mafisadi wenzie lakini WAMEFULIA!! Huyu mshenzi alitulia hata mamilioni yetu na mvua hakuileta toka kwa fisadi mwenzie aliyefukuzwa Thailand!
 
Kutokana na malalamiko kuwa nchi hii haiendi, tunahitaji kiongozi mwajibikaji, decision taker and hardworking. Na jibu letu ni Eddy Lowassa in 2015!.
Kwanini anafaa:
1. ni mchapa kazi. yeye ndo amesimamia mpango wa ujenzi wa madarasa na shughli nyingi za maendeleo wakati JK akipasua anga.
2. Ni mtu ambaye anayesimamia kazi kwa karibu na ambaye hachelei kuchukua maamuzi iwapo anaoa watu wanaboronga.
3. Amesoma vizuri and he is still energetic.

Sasa watu watasema eti ni fisadi, amejilimbikizia mali, etc. Lakini kiongozi gani ambaye ni 100% perfect? Tuchukue mfano wa Ge. Paul Kagame ambaye wengi wanamsifia kwenye JF. Huyu raisi anapenda vita na amesababisha maafa Congo, etc. Lakini licha ya upungufu wake wa Human Rights na kupigana vita, anaendesha nchi vizuri na nchi inapiga hatua.
Kwahiyo tumchukulie Lowassa kama Kagame, wote ni watu wanaochapa kazi licha ya kwamba wana mapungufu. Na tukitaka kiongozi wa kutupa new push, we have to look beyond personal weaknesses.
 
Kutokana na malalamiko kuwa nchi hii haiendi, tunahitaji kiongozi mwajibikaji, decision taker and hardworking. Na jibu letu ni Eddy Lowassa in 2015!.
Kwanini anafaa:
1. ni mchapa kazi. yeye ndo amesimamia mpango wa ujenzi wa madarasa na shughli nyingi za maendeleo wakati JK akipasua anga.
2. Ni mtu ambaye anayesimamia kazi kwa karibu na ambaye hachelei kuchukua maamuzi iwapo anaoa watu wanaboronga.
3. Amesoma vizuri and he is still energetic.

Sasa watu watasema eti ni fisadi, amejilimbikizia mali, etc. Lakini kiongozi gani ambaye ni 100% perfect? Tuchukue mfano wa Ge. Paul Kagame ambaye wengi wanamsifia kwenye JF. Huyu raisi anapenda vita na amesababisha maafa Congo, etc. Lakini licha ya upungufu wake wa Human Rights na kupigana vita, anaendesha nchi vizuri na nchi inapiga hatua.
Kwahiyo tumchukulie Lowassa kama Kagame, wote ni watu wanaochapa kazi licha ya kwamba wana mapungufu. Na tukitaka kiongozi wa kutupa new push, we have to look beyond personal weaknesses.

Hebu rudia tena!!! Kiongozi yeyote anayekumbatia wahindi wafanyabiashara muogope utampigia kura peke yako mzee hamna kitu hapo
 
But seriously when you compare the two mimi ningemchukua Lowasa.btn two evils ningemchagua lowasa kama ningezingatia mustakabali wa taifa langu kwa huko baadae.

Wizi wa lowassa hauna tofauti na gharama za nje za Jk but big plus kwa lowasa kwa kufanya kazi angalao.hapo ntakua nimefikiria kiuchumi zaidi,lowassa ni hard working.watu wakitaka kunisulubisha wanisulubishe but that's the fact
 
mkuu uwe unafikiria kabla ya kutoa mada kama hii, hii nchi licha ya kuhitaji mtu mchapakazi lakini kikubwa katika uongozi ni uadilifu, na huwezi kuwa mtendaji mzuri bila kuwa muadilifu na katika hilo EL hatufai watanzania
 
RUTAJUMBUKIRWA, yaani hii senema inayondeea sasa bungeni, sio tunamuhitaji Lowassa 2015, mbona 2015 ni mbali! tunamhitaji sana tangu 2010! kama bunge lile lililokuwa moto na upanga wa makali kuwili, lakini leo ni nyoronyoro kama toilet paper iliyo loa!, afadhali Eddo rudi Eddo, walikuonea tuu!.
 
Lowassa alikuwa anaweza kuonyesha uimara wake katika utendaji wa kazi. Madili yake ya pembeni yalikuwepo lakini aliweza kuwafukuza city water, mradi wa maji kwa shinyanga kutoka ziwa victoria bila kuja li misri wanasemaje, aliweza kuwaamuru wahandisi wanyoosha vidole waingie mtaroni kukabiliana na tatizo la mapitisho ya maji kukauka, alikweza kuwawajibisha viongozi wasio timiza malengo katika huduma za maji mijini na vujijini. Lowasa ni msikivu wa matatizo ya wananchi. Kila mtu ana maisha ya gizani ndio sehemu ya maisha. Sasa hizi siasa za kuviziana utakosea wapi tukutimue tutatimuana wote haponi mtu
 
mkuu uwe unafikiria kabla ya kutoa mada kama hii, hii nchi licha ya kuhitaji mtu mchapakazi lakini kikubwa katika uongozi ni uadilifu, na huwezi kuwa mtendaji mzuri bila kuwa muadilifu na katika hilo EL hatufai watanzania


hivi huyu mkulu wa kaya tuliye nae ni muadilifu ktk nini labda.ukimcopare na lowasa then EL at least ni hard working
 
But seriously when you compare the two mimi ningemchukua Lowasa.btn two evils ningemchagua lowasa kama ningezingatia mustakabali wa taifa langu kwa huko baadae.

Wizi wa lowassa hauna tofauti na gharama za nje za Jk but big plus kwa lowasa kwa kufanya kazi angalao.hapo ntakua nimefikiria kiuchumi zaidi,lowassa ni hard working.watu wakitaka kunisulubisha wanisulubishe but that's the fact

Inawezekana uko right kimtazamo wako na comparison yako but ukweli unabakia pale pale kuwa jamaa ni mwizi. Anaweza kuleta maendeleo yakawa kwa watu wachache kama alivyofanya shemeji yake Mkapa. Kwangu mie sijauona utafauti hapo kwani umaskini na utajiri gap litaongezeka na matokeo yake nchi itakuwa ni ya watu wachache tu.

Likewise, labda humfahamu vizuri Lowassa ni mtu ambaye anakurupuka na hufanya vitu kama mchezo wa sinema. Hii ni sifa mbaya kwa kiongozi kwani anaweza kufanya maamuzi mengine yakalitia taifa katika janga hivyo kimsingi huyu mmasai hatufai akaliimbie jimbo lake but kwa wengine samahani sana
 
hivi huyu mkulu wa kaya tuliye nae ni muadilifu ktk nini labda.ukimcopare na lowasa then EL at least ni hard working

ni sawa mkuu ila tusifanye kosa kwa kurudia kosa, tulishakosea sasa kwanini turudie makosa??????????!!!!!!!
 
Nadhani sijaeleweka wakuu...sisemi Lowasa ni bora ukilinganisha na tulio nao Tanzania bali ukilinganisha nna Jk

At leat lowassa anaweza kufanya kazi,ukilinganisha ela alizoiba na hizo ambazo Jk ametumia nje na kuwealinda mafisadi kweli mnasema Lowasas ni mbaya kiasi hicho?hebu tuwe serious sasa
 
Nadhani sijaeleweka wakuu...sisemi Lowasa ni bora ukilinganisha na tulio nao Tanzania bali ukilinganisha nna Jk

At leat lowassa anaweza kufanya kazi,ukilinganisha ela alizoiba na hizo ambazo Jk ametumia nje na kuwealinda mafisadi kweli mnasema Lowasas ni mbaya kiasi hicho?hebu tuwe serious sasa

Lowassa kwa JK I agree with u 100% kwani JK hata ofisini kwake Ikulu hajui kinachoendelea. Lowassa huwa anafatilia kila kitu but here is the big no!!!. Lowassa anapoyafitilia mambo hafatilii kwa manufaa ya jamii huwa anafatilia kujua yeye atakulaje (Mmasai halisi na wenzake wa kaskazini). Sasa hilo ndio tatizo na watu wanamjua kwakuwa tushafanya nae kazi. Anapenda sana Dili sasa kiongozi wa namna hiyo hatufai ni afadhali tubakie na Christopher Columbus wetu JK na safari zake za nje but zenye manufaa kwa jamii.

Ni hilo tu mkubwa!!!
 
Tz tunahtaj mtu ambaye hana masihara wala kumwogopa pia ambaye anaweza kuchukua maamuz magumu EL alweza nadhan anatufaa. Hakuna mtu asiye na mapungufu,mi pia nlpendelea kama ingewezekana katiba ingemruhusu Ben aendelee
 
My take,
JK na Edo, wote hawafai. Hakuna cha uafadhali wote ni wagonjwa mahtuti.
Edo ni mzee wa dili (eti atatengeneza mvua), kuchapakazi kwake kuna malengo ya kumpeleka kwenye dili fulani. Kwa sasa tunataka new faces tena they should come from out of CCM. JK sijui tumsifu kwa lipi, kala hela alizokusanya BEN sasa zimemuishia anashindwa kutengeneza za kwake hivyo hatufai.
 
Back
Top Bottom