Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,773
- 2,383
TK,
Kwa nini Lowassa asubiri mpaka 2015? kwa minajili gani? yani asubiri tuendelee kudorora kwa miaka mingine mitano? Iwe Lowassa, Mwandosya au Shibuda, kwa nini waendelee kusema tumpe Kikwete Mji upya?
Mkuu Rev Kishoka , wewe ni mtu wa dini au mtu wa dili?
Umefungiwa kizito kipi kupigia chepeo huyu jamaa ambaye hata Kambarage alimstukia?