In Edward Lowassa, I trust...

In Edward Lowassa, I trust...

FMES,

Namuheshimu sana, lakini lazima niseme "WE NEED LOWASSA"!

Combination ya JK na Pinda - hatuendi popote
Combination ya JK na Lowassa - tutasonga mbele
Combination ya Pinda na Lowassa - tutasonga mbele.

Kwa nini, JK na Pinda ni watu wa huruma, watu wa maelezo mengi, wasiopenda kuonekana wamekosea, lakini kwa sababu hizo hizo wanakosea kweli kweli.

Hivyo kati ya Waziri Mkuu na Rais, lazima mmojawapo awe mwenye kutoogopa Lawama. Ndio maana Mkapa aliweza kaa na Sumaye muda mrefu na kazi zilienda.
 
Your Loss!!!
Kishoka na Wengine,
Mie nasikia meng sana kuhusu Lowasa, na bahati nzuri nimewahi kumwona kwa karibu na kumsikiliza maneno yake ana kwa ana vilevile nimefurahishwa naye sana kwa ule uchangamfu wake na uhamasishaji. Ila nasikia kuwa huyu bwana ni mla rushwa, thief etc etc na amejilimbikizia mali nyingi mno kiasi kuwa hata Mwl Nyerere alimstukia. Haya yote nimewahi kuyasikia. Hata hivyo sijawahi kupata proof ya mali alizonazo. Ofcourse he is a smart guy, from the way he wears, his cars, style etc.

Mara ya Kwanza kumsikia na scandal ilikuwa ile ya Richmond. Katika analsysis yangu binafsi na kurudia rudia ile report ya Mwakyembe naweza kuweka bayana yafuatayo:
1. Kweli Mwakyembe ilibidi amwite Lowassa na kusikiliza mawazo yake.
2. Kwa vyovyote, na kwa uzito ule MKuu wa Kaya alihusika kabisa katika mchachato mzima wa Richmond.
Richmond ilikuwa ni scandal ambayo inaunganisha Srikali nzima from the President to the last Minister.
Besides this scandal; hizo zcandal nyingine ni zipi? Especially za corruption, ownership ya mahoteli, etc etc
JF ingekuwa makini kuorodhesha hasa hasa evidence za huyu jamaa kuwa fisadi. He maybe a good leader, but the rumours are spreading and turning to be true because they are repeated now and then.
Kwetu sisi ambao hatumjui huyu jamaa kwa undani hebu tuambieni.
 
Interesting Obserever,
Madudu ya Lowassa yapo mengi sana Wizara ya kilimo na mifugo!
 
Labda niseme hivi nieleweke.

Tatizo la Tanzania si Ufisadi, bali ni sisi watu wenyewe, tu wavivu, magoigoi na tumeridhika mno na mambo ya ajabu ajabu ambayo Serikali imelala kabisa.

Sasa jiulize kama Dar Es Salaam juzi walidiriki kukaa masaa karibu 14 bila umeme na Serikali nzima na Wananchi wanaona ni jambo la kawaida, hamuoni kuwa tunahitaji mtu fyatu ambaye akihoji ni nini kilichotokea, basi watu wataanza kubadilika?

For now Lowassa stands to be the only ideal choice we have, maana nilichokiona Tanzania hatuhitaji tena eti mtaalamu kama Ndulu au Shivji.

NIlijiuliza kwa nini Watanzania hawana mwamko wa kufanya kazi au kujitutumua? nikajiuliza kwa nini Watanzania wameridhika na shida na dhiki? Naendelea kujiuliza kwa nini Watanzania wanaendelea kunyanyaswa na Serikali na Majuha wachache wanaotaka kujifanyia mambo wanavyotaka (shida ya umeme, maji, takataka na foleni za magari)? Nikajiuliza kwa nini Watanzania hawafuati sheria au kanuni ilhali sheria na kanuni zipo na nyingi? nikajiuliza kwa nini watunga Sheria na enforcers wa sheria si makini katika kuhakikisha Sheria na kanuni zinafuatwa?

Sasa kwa kipmo hicho na wala si mambo ya Uhujumu au Ufisadi, utagundua kuwa Tatizo la Tanzania ni mfumo mbovu wa uongozi na jamii ambao unahitaji mtu fyatu na mkali ili tunyooke.

Give Lowassa 10 years and trust me we will see a big difference na ndipo sasa tuanze kutafuta watu softisofti kama Membe au sijui ni majina gani!

Mnaodai kuwa tutaendelea kuliwa, ni lini tuliacha kuliwa? Tangu enzi za Nyerere tunahujumiwa na hatujabadilika mpaka leo hii.

Si siri kila Mtanzania ni fisadi kwa namna yake moja au nyingine. Leo watu wanatoa rushwa kama ni haki yao kutoa rushwa na ni jambo la kawaida ili wapate leseni au kibali cha gari.

Watu hawafuati taratibu na sheria wti hawataki bugudha, hivyo kiulani wanatoa kitu kidogo bila hata kuombwa au kulazimishwa!

Let Lowassa take the reigns and you will se the change that we can all believe in!

mkuu hii ya kusema kila mtanzania ni fisadi naona haijakaa vizuri.
hapo juu umetaka ushahidi wa uthibitisho wa ufisadi wa lowassa.
sasa na wewe toa ushahidi wa ufisadi wa kila mtanzania.
mkuu sentensi yako imenikwaza saana tu.
 
Interesting Obserever,
Madudu ya Lowassa yapo mengi sana Wizara ya kilimo na mifugo!


Mkandara,

Ni sawa kabisa, kiongozi anayefanya mambo mengi, kiongozi anayefanya maamuzi mengi kwa kasi ile lazima katika hayo maaumuzi akosee... that is expected mkuu.

"A good leader must make decision" and some decision will not be popular etc.

Example... mumesahau issue ya matumizi ya Ziwa Victoria? Hivi mna vichwa vya panzi.... kiongozi yeyote mzuri lazima afanye maamuzi na anavyofanya mengine hayatakuwa sawa na mengine yanaharibika kwa sababu ya watendaji hawayapendi!

Hivi Mwalimu Kambarage si alikuwa na nia nzuri na Azimio la Arusha?.... kwa nini utekelezaji uliharibiwa, aliharibu yeye au viongozi wa chini yake?
 
Mkandara,

Ni sawa kabisa, kiongozi anayefanya mambo mengi, kiongozi anayefanya maamuzi mengi kwa kasi ile lazima katika hayo maaumuzi akosee... that is expected mkuu.

"A good leader must make decision" and some decision will not be popular etc.

Example... mumesahau issue ya matumizi ya Ziwa Victoria? Hivi mna vichwa vya panzi.... kiongozi yeyote mzuri lazima afanye maamuzi na anavyofanya mengine hayatakuwa sawa na mengine yanaharibika kwa sababu ya watendaji hawayapendi!

Hivi Mwalimu Kambarage si alikuwa na nia nzuri na Azimio la Arusha?.... kwa nini utekelezaji uliharibiwa, aliharibu yeye au viongozi wa chini yake?
Kasheshe,
Madudu aliyofanya Lowassa hayakuwa ya kukosea. Yalikuwa ya kudhamiria.
Huyu ni kingfish wa ufisadi. Hata ile mipango yake ya mvua ilikuwa na mshiko ndani yake. Hakuna kitu alichofanya Lowassa kwa nia njema kwa Watanzania, ni kwa nia ya tumbo lake na familia yake.
 
Kasheshe,
Madudu aliyofanya Lowassa hayakuwa ya kukosea. Yalikuwa ya kudhamiria.
Huyu ni kingfish wa ufisadi. Hata ile mipango yake ya mvua ilikuwa na mshiko ndani yake. Hakuna kitu alichofanya Lowassa kwa nia njema kwa Watanzania, ni kwa nia ya tumbo lake na familia yake.

Jasusi, nenda ukatubu dhambi hiyo hapo!

Kama alivyotubu mtoa hoja nawe pia sometime, somewhere utatubu... but we need Lowassa. na kama asiporudi yeye potelea mbali tunamuhitaji Six.

Tusigombania vi hela vidogo na vi-raslimali vidogo tulivyo navyo... bali tuwaenzi watu watakao wafanya watanzania wafanye kazi... ilit tugombanie hela nyingi zaidi na Lowassa ni mmoja wao.

Tunakimbizana na Bil. 200 za BOT, we spend lot of time mpaka tunasahau kwamba hatuna umeme wakutosha... tunahitaji viongozi kama Lowassa watakao wafanya watanzania wafanye kazi.

Mimi sijasema wa Rais hapana... nimesema btn Rais na Waziri Mkuu lazima mmoja awe mkali.
 
Jasusi, nenda ukatubu dhambi hiyo hapo!

Kama alivyotubu mtoa hoja nawe pia sometime, somewhere utatubu... but we need Lowassa. na kama asiporudi yeye potelea mbali tunamuhitaji Six.

Tusigombania vi hela vidogo na vi-raslimali vidogo tulivyo navyo... bali tuwaenzi watu watakao wafanya watanzania wafanye kazi... ilit tugombanie hela nyingi zaidi na Lowassa ni mmoja wao.

Tunakimbizana na Bil. 200 za BOT, we spend lot of time mpaka tunasahau kwamba hatuna umeme wakutosha... tunahitaji viongozi kama Lowassa watakao wafanya watanzania wafanye kazi.

Mimi sijasema wa Rais hapana... nimesema btn Rais na Waziri Mkuu lazima mmoja awe mkali.
Dhambi gani ndugu yangu.
Niliwahi kutembelea Nicaragua enzi za Somoza. Huyu hakuwa na tofauti kubwa na Lowassa. Nusu ya nchi ilikuwa mali yake. Huko ndiko anakotaka kutupeleka Lowassa. Tanzania nzima itakuwa Lowassa Inc. Mungu apishie mbali balaa hilo na tunajua ndugu zetu Nicaragua walijikomboa kutoka makucha ya Somoza. Tanzania hatuhitaji kupitia huko. Kati ya Watanzania milioni 40 usiniambie Lowassa tu ndiye anafaa kushika nafasi yeyote ile ya uongozi. Mungu apishie mbali!
 
Dhambi gani ndugu yangu.
Niliwahi kutembelea Nicaragua enzi za Somoza. Huyu hakuwa na tofauti kubwa na Lowassa. Nusu ya nchi ilikuwa mali yake. Huko ndiko anakotaka kutupeleka Lowassa. Tanzania nzima itakuwa Lowassa Inc. Mungu apishie mbali balaa hilo na tunajua ndugu zetu Nicaragua walijikomboa kutoka makucha ya Somoza. Tanzania hatuhitaji kupitia huko. Kati ya Watanzania milioni 40 usiniambie Lowassa tu ndiye anafaa kushika nafasi yeyote ile ya uongozi. Mungu apishie mbali!


Haya bwana huu umeanza kuwa mchezo kwa wa imani vile... unaamini kwamba always Lowassa ana nia mbaya, nadhani unamkosea Mungu, lakini kwa kuwa ni imani yako basi endelea kuamini hivyo!

Kweli unataka kukataa kwamba Lowassa hakuchaguliwa na wananchi kutoka jimboni mwake? kweli ndivyo unavyotaka tuamini kwamba jamaa ni mbaya kiasi hicho, hapana, kidogo tuandike wakati tukijua kila nafsi itarudi kwa muumba maana tuliumbwa kwa udongo na tutarudi kwenye udongo. Jina la Bwana litukuzwe. Amin
 
....Mara ya Kwanza kumsikia na scandal ilikuwa ile ya Richmond. Katika analsysis yangu binafsi na kurudia rudia ile report ya Mwakyembe naweza kuweka bayana yafuatayo:
1. Kweli Mwakyembe ilibidi amwite Lowassa na kusikiliza mawazo yake.
2. Kwa vyovyote, na kwa uzito ule MKuu wa Kaya alihusika kabisa katika mchachato mzima wa Richmond.
Richmond ilikuwa ni scandal ambayo inaunganisha Srikali nzima from the President to the last Minister.
Besides this scandal; hizo zcandal nyingine ni zipi? Especially za corruption, ownership ya mahoteli, etc etc
JF ingekuwa makini kuorodhesha hasa hasa evidence za huyu jamaa kuwa fisadi. He maybe a good leader, but the rumours are spreading and turning to be true because they are repeated now and then.
Kwetu sisi ambao hatumjui huyu jamaa kwa undani hebu tuambieni.[/QUOTE]

Ndugu yangu sijakuelewa vizuri.
Unamaanisha kwa 'ka'scandal ka Richmond' hakatoshi kuthibitisha kuwa Lowasa hatufai?
Unanikumbusha ule msemo wa 'VIJISENTI'
 
Nakataa kuamini kwamba tumefulia kiasi cha kwenda kwenye RECYCLE BIN.
 
Kasheshe,
Nimehi sema huko nyuma kwamba hata Hitler anaweza sifika kwa maamuzi mazito ambayo yalipelekea genocide..Stalin na Udikteta wake wote hawa walikuwa na mazuri yao ukitazama kwa kipimo chako..Na kweli wapo Wajarumani na hata Warusi wanaosifia Utawala wa watu wale kwa mitazamo yao na wana kila sababu ya kusifia.
Ni swala moja kusifia jitihada za mtu kuwezesha malengo yake lakini ni kitu kingine kabisa kusema Tunamhitaji mtu huyooo kwa sifa ambazo wewe umeziona..Kwa maana kwamba Wajarumani leo waseme wanamhitaji Hitler au Warusi kumhitaji Stalin...Hapa ndipo nashindwa kuelewa kabisa!
na ndipo tunapokosana.

Interesting Observer,
Mkuu wangu, mbali na madudu mengine mengi mimi kama mkazi wa Mwanza siwezi kusahau hali halisi ya wananchi wa mkoa huo kula Mapanki toka uvuvi wa Sangara chini ya uongozi wake. Kama huamini tazama sinema ya Darwins Nightmare utaelewa nachozungumzia... thanks to Hubart Sauper laa sivyo kuna wengi wasinge amini kuwepo hali kwa ile.
 
IO,

NImehoji mwenye ushahidi, imeishia mimi kutuhumiwa eti nimerukwa akili na ni punguani.

La Richmond, Msabaha alisema kweli kuhusu Ubangusilo.

Sasa kwa kuwa FMES anashupalia sana kuwa Mwakyembe alifanya kazi nzuri n kumlazimisha Lowassa ang'oke mimi nitawajibu hivi wote wanaodai kuwa eti Richmond ulikuwa mkono wa Lowassa.

1. Kwa nini Rais alikataa ushauri wa Waziri Mkuu kufuta mkataba wa Richmond?
2. Pale Rais alipobaini Richmond ni wababaishaji, kwa nini aliridhia na kuruhusu wakapewa mkopo pamoja na kuwa alimwambia Msabaha atajinyonga?
3. Ilikuwaje Rostam ambaye inasemekana ana Ushemeji na Rais aendelee na kuhujumu nchi kwa kuwaingiza mjini Richmond na kisha kuuchukua mkataba ule wa Richmond kupitia Dowans?
4. Kwa nini mpaka leo, bado principal mkubwa wa Dowans ambaye ni Rostam bado anashikilia Serikali mateka akishirikiana na Rashid ambaye walishirikiana kuanza ulaji wa BOT 1994?

Hivyo ukweli ni kuwa kina Mwakyembe na wapiganaji walimkimbilia Lowassa wakamuacha principal character!
 
kwa vigezo vya ukali na kufanya maamuzi naona itawekwa kwamba tunahitaji
lowassa na mkapa team.
 
siwezi amini macho yangu kuwa EL anasafishwa na anaonekana mwema kwa baadhi ya watu katika hii threas...HATUFAI HATA MFANYAJE APATI CHA U PRIME WALA U PREZ
 
FMES,

Naomba usome tena nilichoandika. Tea soma vizuri sana na tumia zile hekima na busara zako za Ki-Sauti ya Umeme!

Kama bado hujanielewa, nipigie simu nikueleweshe!

Mkuu Rev Kishoka, hapo awali nilijiuliza kama wewe ni mtu wa dini au dili.
Suala hapa si ku-canvas au ku-convince ili EL apendwe .
Hapendwi fisadi hapa.
Utata wa msimamo wako ni katika kumtetea kwa udi na uvumba EL, mwanasiasa tajiri,anayetuhumiwa kwa ufisadi, mwasisi wa mradi wa kifisadi wa Richmond.
Kakutatia kiasi gani?
No rational thinking will justify ripping off of Tanzanians at a rate of Tshs 152 million per day!Chuki ya watanzania wengi ni kwa nini EL hakuliona hilo na kulisawazisha-kama hahusiki nalo.
Kama wewe ugomvi wako ni utawala wa JK basi thread yako ieleweke hivyo.
Yuo simply cannot subsitute JK for EL, its not that simple brother.
Kumsaidia EL kujisafisha tafadhali mshauri that he should come clean, just spill the beans-if there are any!
 
Mkuu Rev Kishoka, hapo awali nilijiuliza kama wewe ni mtu wa dini au dili.
Suala hapa si ku-canvas au ku-convince ili EL apendwe .
Hapendwi fisadi hapa.
Utata wa msimamo wako ni katika kumtetea kwa udi na uvumba EL, mwanasiasa tajiri,anayetuhumiwa kwa ufisadi, mwasisi wa mradi wa kifisadi wa Richmond.
Kakutatia kiasi gani?
No rational thinking will justify ripping off of Tanzanians at a rate of Tshs 152 million per day!Chuki ya watanzania wengi ni kwa nini EL hakuliona hilo na kulisawazisha-kama hahusiki nalo.
Kama wewe ugomvi wako ni utawala wa JK basi thread yako ieleweke hivyo.
Yuo simply cannot subsitute JK for EL, its not that simple brother.
Kumsaidia EL kujisafisha tafadhali mshauri that he should come clean, just spill the beans-if there are any!

Aisee me nabaki naishangaa screen yangu hapa sikutegemea kuwa Fisadi anaweza kusafishwa....me nashabgaa saba inshort hatukubali...mara 10000 ya JK kuliko EL yes i said it..hata kama mnamchukia, EL atatuibia mpaka account zetu
 
Mkuu Rev Kishoka, hapo awali nilijiuliza kama wewe ni mtu wa dini au dili.
Suala hapa si ku-canvas au ku-convince ili EL apendwe .
Hapendwi fisadi hapa.
Utata wa msimamo wako ni katika kumtetea kwa udi na uvumba EL, mwanasiasa tajiri,anayetuhumiwa kwa ufisadi, mwasisi wa mradi wa kifisadi wa Richmond.
Kakutatia kiasi gani?
No rational thinking will justify ripping off of Tanzanians at a rate of Tshs 152 million per day!Chuki ya watanzania wengi ni kwa nini EL hakuliona hilo na kulisawazisha-kama hahusiki nalo.
Kama wewe ugomvi wako ni utawala wa JK basi thread yako ieleweke hivyo.
Yuo simply cannot subsitute JK for EL, its not that simple brother.
Kumsaidia EL kujisafisha tafadhali mshauri that he should come clean, just spill the beans-if there are any!

Lole Gwakisa,

Ni wapi nimemsafisha Lowassa?

Kusema anafanya kazi kwa bidii ni kumsafisha?
 
Lowasa ni kama pweza(Octopus)...ana mikono mingi na mirefu. Mingine inaweza kufanya kazi hata kama yeye mwenyewe amelala.

Mwanzoni walianza watu tuliowaita "vilaza" kina Serukamba, Komba na Guninita kumpigania kwa nguvu zao zote ili asafishwe.

Sasa hivi mpaka wachambuzi mahiri wa siasa jamii na siasa maendeleo nao wanataka kutuchanganya changanya hapa kwa maneno ya mbele nyuma, ilimradi conclusion iwe ileile ya akina Guninita. Ghafla JF wameanza kutakiwa walete ushahidi wa ufisadi wa Lowasa, akiwa Ardhi, akiwa PMO kitengo cha maafa(El nino), akiwa Maji na Mifugo na akiwa kama Waziri Mkuu....

Waulizeni machief editor kuhusu habari iliyokua iuwe watanzania kwa presha, baada ya kujulikana account ya Chenge ya Jersey. Watu walikuja na account yake mojawapo...ya chenge ilikua kweli ni "vijisenti" kwa hii yake. Lakini nguvu iliyotumika
huko kwenye media houses(TD ni moja wao) kuizima hii habari ya account, utafkiri his whole life depended on the secrecy of this account....ni mzigo mzito kwelikweli kajilimbikia na anajua hauelezeki ndio maana hataki ujulikane.

Pweza huyu kweli mkubwa!
 
Back
Top Bottom