Companero,
Hata kama uchumi wetu utastawi under Edward nakuhakikishia 50% itakuwa mali yake. Ataigeuza Tanzania kuwa Lowassa Inc. Mark my words. Lakini it is very sad kwamba Tanzania tumesink this low hata kumfikiria mwizi aliyekubuhu kutuongoza just because ana uwezo wa kuhakikisha anachotaka kifanyike kinatekelezwa. Don Corleone was also a good Catholic.
Hata kama uchumi wetu utastawi under Edward nakuhakikishia 50% itakuwa mali yake. Ataigeuza Tanzania kuwa Lowassa Inc. Mark my words. Lakini it is very sad kwamba Tanzania tumesink this low hata kumfikiria mwizi aliyekubuhu kutuongoza just because ana uwezo wa kuhakikisha anachotaka kifanyike kinatekelezwa. Don Corleone was also a good Catholic.