Hata Mafia hutoa michango ya kusaidia jamii kule Sicily. But that does not negate the fact that they are mafia and their business is illegal. Lowassa ni Mafia wa Tanzania na hata kama ni mchapa kazi, makini, etc.etc. the fact that he has made his illegal money on the backs of Tanzanians inamfanya awe mtu asiyefaa kabisa kusogelea kiti cha uongozi. Mwalimu was right na jinamizi la Mwalimu linamwandama Lowassa..
Lowassa is a true servant of Tanzanians, he has delivered at very level, with a passion. His style is unique, he calls a spade, a spade, thats why he has those enemies. Unajua kubadilisha tabia na mfumo wa kufanya kazi wa civil servants, seriously we miss the guy, that thing was changing, nyie wenzetu mnaoishi huko nje hamuwezi kujua.
Tumuombe Mungu uzima, upendo na amani nchini kwetu, kwasababu saa nyingine siku izi inaanza kutia hofu.
kama ukiwa mchapakazi makini lakini watu wana mashaka na integrity yako nayo ni kazi bure. Nafikiri mkubwa umetueleza vizuri sana hapa maana kama ni wema hata mafia ambao wanaua na kuuza mihadarati nao wanatoa michango na sadaka. Hiyo haitoi hoja ya msingi kwamba wanayoyafanya sio sahihiHata Mafia hutoa michango ya kusaidia jamii kule Sicily. But that does not negate the fact that they are mafia and their business is illegal. Lowassa ni Mafia wa Tanzania na hata kama ni mchapa kazi, makini, etc.etc. the fact that he has made his illegal money on the backs of Tanzanians inamfanya awe mtu asiyefaa kabisa kusogelea kiti cha uongozi. Mwalimu was right na jinamizi la Mwalimu linamwandama Lowassa.
Yes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!
Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.
Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.
Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!
Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!
Mchungaji salam,Hvi, mnaonituhumu kuwa nimemegewa au ni msaliti, je mmesona na kuelewa ni sifa zipi nilizompa Lowassa mpaka nikasema anafaa kutuongoza?
Je hamjaona niliposema kuwa nilichosema kwenye Deconstructing Lowassa kinabakia?
Hapa nimemzungumzia Lowassa mchapa kazi na mfuatiliaji ambazo ni baadhi ya wasifu chanya kuhusu yeye.
Kama ningetaka kuongelea sifa hasi, ningefanya hivyo lakini nimelenga kwenye sifa chanya.
Lakini upofu wetu hauoni mbali wala kufikiri, tunaishia kuwa na mihasira mingi tuu na kudai hatufai. Je hafai kama mchapa kazi na mfuatiliaji?
Yes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!
Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.
Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.
Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!
Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!
Sina uhakika na Watanzania wenzangu imani yenu kwenu binafsi ikoje? Hivi ikiwa tutasema maneno haya kuwa no one like somebody kweli tutafika hapo tulipotarajia kufika siku zote. Sasa hivi naanza kupata shaka kuwa tuna matatizo sana kwenye utendaji wetu hata kwenye maofisi yetu kama tuna haya maneno ya 'I trust in somebody' "No one like somebody". This is nonsense kabisa, kama mtu ameshaondoka na aondoke kwa sababu zama zake zimekwisha. Tuna nafasi ya kumshauri mtu abadilike tu na siyo kuona kuwa nchi kama nchi haiwezi kuendelea kama fulani hayupo. Hebu pata picha mtu kama Rev. Kishoka ni waziri kwenye wizara nyeti halafu mtu anayemuona kuwa kama everything kwenye maisha yake na nchi yake anaondoka mnategemea nini tena hapo zaidi ya kurudi nyuma na kuweka mikono nyumaHakika Rev.Kishoka umenena no one like EDWARD N. Lowassa,bado watanzania tunamuhutaji ni mfuatiliaji mzuri sana.hakika mie niliumia sana pale alipojiuzulu na kuzuliwa mambo kibao,ndio ni binadamu hakosi kasoro,lakini kufuatilia mambo ni makini sana angalia mfano shule za kata,na mambo mengi tu.Kweli wakweli huwa awadumu katika utawala.
lakini bado tunamitaji ENL.Hope bado anayo nafasi.
Kwa wakazi wa dar es salaam wanakumbuka mh. Lowassa alivyopiga marufuku uchimbaji wa kokoto kule Kunduchi, jamaa walianza taratibu sasa hivi biashara ya kokoto Kunduchi imerudi kama kawaida.
Na lile la barabara tatu kupunguza msongamano ameondoka nalo.
who is Lowassa by the way????????????