Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,876
- 86,737
Sijawahi tumia hilo neno kokote kule umenichangya mkuu ka-search upya!sio wew unaandikaga "mabwaku" geuza na iy
Sijawahi tumia hilo neno kokote kule umenichangya mkuu ka-search upya!sio wew unaandikaga "mabwaku" geuza na iy
Ndio maisha yetu wabongo.Mlikua mnakaa chumba kimoja?
kwani ww ni yule uliomba ushaur umeng'atwa na nyuki 200 +Kila nikikumbuka kukimbizwa na kadudu kananing'inia na sijavaa chochote naishiwa nguvu kabisa aisee .
okk Ms Seran nimejimixx by yaaas !Sijawahi tumia hilo neno kokote kule umenichangya mkuu ka-search upya!
Kila nikikumbuka kukimbizwa na kadudu kananing'inia na sijavaa chochote naishiwa nguvu kabisa aisee .
Na wewe leta ule wako na mchaggaMkasa wa pili jee?
Unachanganya sana watu..kwani ww ni yule uliomba ushaur umeng'atwa na nyuki 200 +
hakika !Unachanganya sana watu..
Hunioni nipo nyuma yako nimekukamatia hilo tako lako haya geuka
Basi mkuu umeeleweka sasa umevusha unaogapaje kufuniwa na brother wakati manzi ni wa kwako?Soma kwa kuelewa, nilivusha demu wangu wote kipindi tulikuwa hatujaoa.
Nae alikuwa anamtaka.Basi mkuu umeeleweka sasa umevusha unaogapaje kufuniwa na brother wakati manzi ni wa kwako?
Umeona hapo kebo?Hunioni nipo nyuma yako nimekukamatia hilo tako lako haya geuka
Makebo umeyaficha huko nyuma, ebu tuache huu ujinga let talk about other thingsUmeona hapo kebo?
Upunguze kundika upuuziMakebo umeyaficha huko nyuma, ebu tuache huu ujinga let talk about other things
Sawa upuuzi unapunguzwa kuandikwa sasa tuongelee mengine haya nimeshayaona hayana maana yoyote we're wasting our valuable time for nothingUpunguze kundika upuuzi
Sawa umeeleweka hivi samaki huwa anakula nyama? Na fisi huwa anacheka cheka nini?Sawa upuuzi unapunguzwa kuandikwa sasa tuongelee mengine haya nimeshayaona hayana maana yoyote we're wasting our valuable time for nothing
Samaki yupi maana wapo wengi unazungumzia Papa na huyo fisi yupi fisi maji au fisi yule mla mifupa, kandambili ni za chooni ukivaa ofisini wewe utaenda kupimwa akili kule hospital ya vichaaSawa umeeleweka hivi samaki huwa anakula nyama? Na fisi huwa anacheka cheka nini?
Kandambili zimeingiaje hapa sasa? 🤷🏽♀️Samaki yupi maana wapo wengi unazungumzia Papa na huyo fisi yupi fisi maji au fisi yule mla mifupa, kandambili ni za chooni ukivaa ofisini wewe utaenda kupimwa akili kule hospital ya vichaa
Unajua Papa ni samaki au ni nini au wewe Papa unajua ni mdudu gani? Sasa unaniulizaje fisi hua anacheka nini ushawahi kupiga nae story akakueleza anachocheka? Labda uniambie wewe fisi hua unachekaga nini?Kandambili zimeingiaje hapa sasa? 🤷🏽♀️