Ilikuwaje siku uliyofumania/ uliyofumaniwa?

Ilikuwaje siku uliyofumania/ uliyofumaniwa?

Unayajua madirisha ya vioo ya kizamani grill zake zinakua zimegawanya dirisha pande nne?
IMG_3613.jpeg

Kama hili ?
 
Yeah now nimeelwa. Inakua kupita
Kuna jamaa mmoja katika mahusiano hiyo siku nikaenda kwake, akapigiwa simu akasepa akaniacha.
Mimi nina tabia moja hata nikiwa kwangu nikiwa ndani lazima nifunge mlango na funguo.

Nikawa nakaanga chips jikoni, nikasikia mlango unagongwa, nikampigia simu kumuuliza kama asharudi, akanambia bado yupo alikokwenda.

Nikasogea dirishani kuchungulia nikamuona mdada mweupee halafu mwembamba tall kavaa dera😂 nikajua hapa kishaumana.
Nikamute sikufungua mlango.
Yule dada akanambia "Please funguo mlango najua ndani upo peke yako"

Nikamuuliza unataka nini? Akanambia we fungua!
Nikanyanyuka nikaenda zangu jikoni kuendelea kugeuza chips.

Nilichosahau ni kua dirisha nimefungua kioo.
Nikasikia kama mtu anahangaika nikakimbilia kuangalia Lahaula! Yule chizi anapenya dirishani🤣
Nilipigwa na butwaa! Nikiangalia ndani nipo mwenyewe.
 
Kuna jamaa mmoja katika mahusiano hiyo siku nikaenda kwake, akapigiwa simu akasepa akaniacha.
Mimi nina tabia moja hata nikiwa kwangu nikiwa ndani lazima nifunge mlango na funguo.

Nikawa nakaanga chips jikoni, nikasikia mlango unagongwa, nikampigia simu kumuuliza kama asharudi, akanambia bado yupo alikokwenda.

Nikasogea dirishani kuchungulia nikamuona mdada mweupee halafu mwembamba tall kavaa dera😂 nikajua hapa kishaumana.
Nikamute sikufungua mlango.
Yule dada akanambia "Please funguo mlango najua ndani upo peke yako"

Nikamuuliza unataka nini? Akanambia we fungua!
Nikanyanyuka nikaenda zangu jikoni kuendelea kugeuza chips.

Nilichosahau ni kua dirisha nimefungua kioo.
Nikasikia kama mtu anahangaika nikakimbilia kuangalia Lahaula! Yule chizi anapenya dirishani🤣
Nilipigwa na butwaa! Nikiangalia ndani nipo mwenyewe.
Malizia story sasa 😂🍿
 
Back
Top Bottom