Ilikuwaje siku uliyofumania/ uliyofumaniwa?

Ilikuwaje siku uliyofumania/ uliyofumaniwa?

niliwahi fumania kwa mtu niliyekua nampenda sana siku hio nikasema ngoja nishike ng'ora nione kama nina mshindani nilichokikuta mpaka leo my trust has been shaken sijui kama ntakuja kuamini jinsia ke
😄😄
 
Tulikuwa tunaishi na kaka, siku moja kasafiri nikajua hapa nimepata nafasi nikavusha kumbe kafika huko kaghairi safari karudi. Ile bado mechi inaendelea nikasikia hodii aisee! kilichofuata ni aibu!
 
Tulikuwa tunaishi na kaka, siku moja kasafiri nikajua hapa nimepata nafasi nikavusha kumbe kafika huko kaghairi safari karudi. Ile bado mechi inaendelea nikasikia hodii aisee! kilichofuata ni aibu!
Mlikua mnakaa chumba kimoja?
 
Mwenyekiti acha aitwe mwenyekiti, alitumia akili sana kumnufaisha mwenye mke ingawa wewe uliona kama anakubeba, kwani wadhani haelewi wepesi wa kesi hizo?

Ugoni si kesi ya Polisi ile, yale ni madai yanayotakiwa kupelekwa mahakamani moja kwa moja.

Ungelipelekwa Polisi mambo yangelivurugika, wanufaika wangelikuwa ni Polisi, usingeweza kutozwa kifuta jasho chote hicho bila uthibitisho wowote wa kidaktari na ushahidi wenye mashiko.

Kifupi, kesi ya ugoni ni nyepesi sana mahakamani kuliko watu wengi wanavyodhania.

Maana ungelikuwa umeoa, mkeo katika kukusaidia, naye angeliibuka kiulani kwenye mtego ulionasa na kuja kumshika ugoni huyo mke wa jamaa uliyezini naye kwa madai ya kutembea na mumewe, ngoma draw.

Tena mkeo ushahidi wake ungekuwa ni mrahisi kutokana na uthibitisho usiotia shaka wa wewe mumewe unapokuwa umepatikana na hatia hiyo.

Kama umetozwa mil. 2.5, yeye angelidai hata mil. 5 fidia.

Sema nini, jambo lenyewe ni la fedheha sana, hasa kisaikolojia.

Enhe, tuletee huo mkasa wa pili ili tuconclude pamoja mwishoni halafu tukupe mbinu na maujanja.

Unajua ni kwanini Osama walipata tabu sana kumpata na kumwangamiza?

Halafu nakushangaa eti mpaka leo haujui nini kilisababisha mumewe afahamu, real!
Tunasubir code zako
 
Back
Top Bottom