View attachment 1896435

Nakumbuka Makonda amewahi kuwaagiza polisi kumkamata Mbowe baada ya kumtaja kwenye orodha ya madawa ya kulevya. Sirro hakusubiri maandishi. Makonda huyohuyo akaagiza Aabdul Nondo akamatwe kwa tuhuma za kujiteka. Sirro hakusubiri maandishi, licha ya kwamba yalikua maelekezo ya Mkuu wa mkoa tu. Leo Waziri katoa maelekezo anasema anasubiri maandishi?

Anyway ni barua gani Sirro alipewa kuwakamata vijana wa Chadema waliokua ibadani huko Mwanza juzi jumapili? Je Sirro alipewa barua na nani kumkamata Askofu Mwamakula na Prof.Azavel Lwaitama usiku wa manane hotelini kama majambazi na kuwaweka rumande bila hatia? Sirro alipewa barua na nani kuwakamata vijana wanaokwenda mahakamani kufuatilia kesi ya Mwenyekiti Mbowe? Why these double standards?

Credit: Malisa GJ
Kwa ujumla huyo ziro hajitambui, hajielewi, amejawa na unafiki. Hakuna anachosimamia, ziidi ya unafiki
 
RC na DC wanamamlaka ta kuliamuru Jeshi la Polisi kamata fulani weka ndani na sio Waziri. Waziri pekee mwenye mamlaka hiyo ni Waziri wa mambo ya Ndani.

Polisi ni chombo cha dola kilichopo chini ya kundi la majeshi, kinaendeshwa kwa amri kutoka juu. Kitaifa amri ni inatoka kwa rais, ambaye ni CinC na kumuagiza IGP. Mwanasiasa pekee anayeweza kutoa amri ya kitaifa kwa IGP, Jeshi la Polisi likamate yoyote ni Waziri wa Mambo ya Ndani. Wakuu wa mikoa ni wawakilishi wa rais kwenye mikoa husika, na ndio wenyeviti wa kamati za ulinzi za mikoa hivyo nao wana deraitive powers za kutoa amri kwa Polisi wa mkoa husika kumkamata yoyote. Ma DC nao ni kama ma RC, kwa wilaya zao. Viongozi wengine wote wa serikali, hawana mamlaka ya kidola kuamrisha Jeshi la Polisi kumkamata yoyote, bali wana uwezo wa kuripoti jinai yoyote na Jeshi la Polisi linawajibika kufanya uchunguzi wa kijinai, kutegemeana na jinai husika, uamuzi wa kukamata na kuseka ndani ni uamuzi wa kipolisi na sio amri ya Waziri. Alichofanya Waziri Gwajima ni kuripoti tuu kisiasa in public kuliagiza Jeshi la Polisi kumchunguza Askofu Gwajima. Tangazo lile linatakiwa kufuatiwa na barua rasmi kutoka Wizara ya Afya kwenda kwa IGP yenye tuhuma specific na Jeshi la Polisi ndio litaamua kama tuhuma hizo zinamstahili mtuhumiwa kukamatwa au la. Kinga ya mbunge kusema chochote bila kukamatwa ni kauli za wabunge ndani ya Bunge. Mbunge akifanya jinai yoyote nje ya Bunge anakamatwa tuu kama mhalifu mwingine yoyote!. Ila kama uhalifu huo umefanyika kipindi cha vikao vya Bunge vinaendelea na mbunge huyo yuko Bungeni kuhudhuria vikao na anatakiwa kukamatiwa Bungeni, then Spika lazima aarifiwe ndio atoe idhini kwa Jeshi la Polisi kumkamata mbunge akiwa viwanja vya Bunge . Kwa vile mbunge ni mtumishi wa Bunge, akifanya jinai yoyote popote, mwajiri wake pia anaarifiwa. Hivyo kwa vile sasa Bunge liko kwenye vikao vya kamati, kama ni kweli serikali imedhamiria kumshughulia Askofu Gwajima na sio utani wa mtu na shemeji yake, then kauli ile ya kisiasa ya Waziri wa Afya itafuatiwa na barua rasmi ya Wizara ya Afya kwa Jeshi la Polisi yenye tuhuma rasmi itatua mezani kwa IGP cc. Spika wa Bunge, na ndipo Polisi waifanyie kazi. Waziri wa Afya au Waziri mwingine yoyote nje ya Waziri wa mambo ya Ndani, hawezi kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kumkamata yoyote.
P
Ungeweka vifungu vya katiba vinavyo fafanua majukumu ya wote hao ungeeleweka ili usionekane umeandika kutokana na mazoea
 
Ni wazi inahitajika Semina elekezi kwa mawaziri wapya. Huyu Dr Gwajima angefikiria zaidi haikuwa na haja ya kuongea maneni yote yale bali angeandika barua kwa Polisi ili wamchunguze na kudhibiti tuhuma zinazotolewa na askofu Gwajima.

Kuna vielelezo vya wazi vya mkanganyiko kwani kuna watu wanakamatwa bila ya maandishi lakini gwajima kaibuka king mwenyewe kajibu mpaka maaandishi. Tuna safari ndefu na yenye tabu nyingi kwenye haki jinai tanzania
 
RC na DC wanamamlaka ta kuliamuru Jeshi la Polisi kamata fulani weka ndani na sio Waziri. Waziri pekee mwenye mamlaka hiyo ni Waziri wa mambo ya Ndani.

Polisi ni chombo cha dola kilichopo chini ya kundi la majeshi, kinaendeshwa kwa amri kutoka juu. Kitaifa amri ni inatoka kwa rais, ambaye ni CinC na kumuagiza IGP. Mwanasiasa pekee anayeweza kutoa amri ya kitaifa kwa IGP, Jeshi la Polisi likamate yoyote ni Waziri wa Mambo ya Ndani. Wakuu wa mikoa ni wawakilishi wa rais kwenye mikoa husika, na ndio wenyeviti wa kamati za ulinzi za mikoa hivyo nao wana deraitive powers za kutoa amri kwa Polisi wa mkoa husika kumkamata yoyote. Ma DC nao ni kama ma RC, kwa wilaya zao. Viongozi wengine wote wa serikali, hawana mamlaka ya kidola kuamrisha Jeshi la Polisi kumkamata yoyote, bali wana uwezo wa kuripoti jinai yoyote na Jeshi la Polisi linawajibika kufanya uchunguzi wa kijinai, kutegemeana na jinai husika, uamuzi wa kukamata na kuseka ndani ni uamuzi wa kipolisi na sio amri ya Waziri. Alichofanya Waziri Gwajima ni kuripoti tuu kisiasa in public kuliagiza Jeshi la Polisi kumchunguza Askofu Gwajima. Tangazo lile linatakiwa kufuatiwa na barua rasmi kutoka Wizara ya Afya kwenda kwa IGP yenye tuhuma specific na Jeshi la Polisi ndio litaamua kama tuhuma hizo zinamstahili mtuhumiwa kukamatwa au la. Kinga ya mbunge kusema chochote bila kukamatwa ni kauli za wabunge ndani ya Bunge. Mbunge akifanya jinai yoyote nje ya Bunge anakamatwa tuu kama mhalifu mwingine yoyote!. Ila kama uhalifu huo umefanyika kipindi cha vikao vya Bunge vinaendelea na mbunge huyo yuko Bungeni kuhudhuria vikao na anatakiwa kukamatiwa Bungeni, then Spika lazima aarifiwe ndio atoe idhini kwa Jeshi la Polisi kumkamata mbunge akiwa viwanja vya Bunge . Kwa vile mbunge ni mtumishi wa Bunge, akifanya jinai yoyote popote, mwajiri wake pia anaarifiwa. Hivyo kwa vile sasa Bunge liko kwenye vikao vya kamati, kama ni kweli serikali imedhamiria kumshughulia Askofu Gwajima na sio utani wa mtu na shemeji yake, then kauli ile ya kisiasa ya Waziri wa Afya itafuatiwa na barua rasmi ya Wizara ya Afya kwa Jeshi la Polisi yenye tuhuma rasmi itatua mezani kwa IGP cc. Spika wa Bunge, na ndipo Polisi waifanyie kazi. Waziri wa Afya au Waziri mwingine yoyote nje ya Waziri wa mambo ya Ndani, hawezi kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kumkamata yoyote.
P
Uko sawa Pascal Mayalla . Lakini hayo huwa yanafuatwa wakati wa kuwakamata wapinzani ?! .
 
IGP Siro sasa ijulikane wzi kuwa katika utawala huu yuko msimamo gani.
Anahitaji barua toka kwa waziri kumkamata mtu liyetoa matamko tofauti na ya Mama Samia, mtu anayeisumbu Awamu ya Sita juu ya chanjo ya Corona.

IGP hakuhitaji barua kukamata watu wanaokwenda kuwaombea makanisani wapendwa wao wa kisiasa!
Serious double standards.
RC Chalamila alitoa tu kauli ya wananchi waandie mabango hata ya matusi akija mama Mwanza , na alitumbuliwa asap!
At least tunajua sasa kuwa kundi linalompinga mama linavyojiinua.
 
Hajiamini hata kidogo huyu jamaa anahofu kubwa sana, Waziri kaongea mtandaoni na yeye kawahi kuongea kabla wenzio wenye udhubutu hawajaenda kumkamata
 
IGP Siro sasa ijulikane wzi kuwa katika utawala huu yuko msimamo gani.
Anahitaji barua toka kwa waziri kumkamata mtu liyetoa matamko tofauti na ya Mama Samia, mtu anayeisumbu Awamu ya Sita juu ya chanjo ya Corona.

IGP hakuhitaji barua kukamata watu wanaokwenda kuwaombea makanisani wapendwa wao wa kisiasa!
Serious double standards.
RC Chalamila alitoa tu kauli ya wananchi waandie mabango hata ya matusi akija mama Mwanza , na alitumbuliwa asap!
At least tunajua sasa kuwa kundi linalompinga mama linavyojiinua.
Atumbuliwe na nani? Tuanzie hapa kwanza.
 
IGP Siro sasa ijulikane wzi kuwa katika utawala huu yuko msimamo gani.
Anahitaji barua toka kwa waziri kumkamata mtu liyetoa matamko tofauti na ya Mama Samia, mtu anayeisumbu Awamu ya Sita juu ya chanjo ya Corona.

IGP hakuhitaji barua kukamata watu wanaokwenda kuwaombea makanisani wapendwa wao wa kisiasa!
Serious double standards.
RC Chalamila alitoa tu kauli ya wananchi waandie mabango hata ya matusi akija mama Mwanza , na alitumbuliwa asap!
At least tunajua sasa kuwa kundi linalompinga mama linavyojiinua.
Huwa najiuliza kama Siro ndio jina lake original au kuna wakati lilikuwa Ziro
 
IGP Siro sasa ijulikane wzi kuwa katika utawala huu yuko msimamo gani.
Anahitaji barua toka kwa waziri kumkamata mtu liyetoa matamko tofauti na ya Mama Samia, mtu anayeisumbu Awamu ya Sita juu ya chanjo ya Corona.

IGP hakuhitaji barua kukamata watu wanaokwenda kuwaombea makanisani wapendwa wao wa kisiasa!
Serious double standards.
RC Chalamila alitoa tu kauli ya wananchi waandie mabango hata ya matusi akija mama Mwanza , na alitumbuliwa asap!
At least tunajua sasa kuwa kundi linalompinga mama linavyojiinua.
Chanjo ni maamuzi ya mtu.

Acheni kila mtu aongee.. Wakati serikali inahimiza kuchanjwa wacheni wawepo na wa kupinga. Hadi pale kila mtu atakapo elewa na kuamua kuchanja.
 
Hata kama pangekuwa na upungufu kwenye agizo la Waziri wa Afya..Kitendo cha polisi kugwaya na kutolea hadharani msimamo wa kuonekana anamuunga gwaji boy na si mjumbe au mkuu wa nchi .. Ameonyesha hapaswi kuendelea kuwa kwenye nafasi hiyo... Siro omba upumzike huwezi kufika 2025 mbali mno, siasa zitakumaliza kabla ya wakati.
 
IGP Siro sasa ijulikane wzi kuwa katika utawala huu yuko msimamo gani.
Anahitaji barua toka kwa waziri kumkamata mtu liyetoa matamko tofauti na ya Mama Samia, mtu anayeisumbu Awamu ya Sita juu ya chanjo ya Corona.

IGP hakuhitaji barua kukamata watu wanaokwenda kuwaombea makanisani wapendwa wao wa kisiasa!
Serious double standards.
RC Chalamila alitoa tu kauli ya wananchi waandie mabango hata ya matusi akija mama Mwanza , na alitumbuliwa asap!
At least tunajua sasa kuwa kundi linalompinga mama linavyojiinua.

Kukamata mtu bila sababu ya mashiko ni kinyume na utawala bora wa sheria. Lazima awe na mwongozo kwanini anamkamata. Imezoeleka siku hizi mawaziri kuamuru watu wawekwe ndani bila sababu yoyote.
Ni kinyume cha sheria. Kuwekwa ndani lazima kuwe na makosa yanayoeleweka na sio fantansy za mtu
 
RC na DC wanamamlaka ta kuliamuru Jeshi la Polisi kamata fulani weka ndani na sio Waziri. Waziri pekee mwenye mamlaka hiyo ni Waziri wa mambo ya Ndani.

Polisi ni chombo cha dola kilichopo chini ya kundi la majeshi, kinaendeshwa kwa amri kutoka juu. Kitaifa amri ni inatoka kwa rais, ambaye ni CinC na kumuagiza IGP. Mwanasiasa pekee anayeweza kutoa amri ya kitaifa kwa IGP, Jeshi la Polisi likamate yoyote ni Waziri wa Mambo ya Ndani. Wakuu wa mikoa ni wawakilishi wa rais kwenye mikoa husika, na ndio wenyeviti wa kamati za ulinzi za mikoa hivyo nao wana deraitive powers za kutoa amri kwa Polisi wa mkoa husika kumkamata yoyote. Ma DC nao ni kama ma RC, kwa wilaya zao. Viongozi wengine wote wa serikali, hawana mamlaka ya kidola kuamrisha Jeshi la Polisi kumkamata yoyote, bali wana uwezo wa kuripoti jinai yoyote na Jeshi la Polisi linawajibika kufanya uchunguzi wa kijinai, kutegemeana na jinai husika, uamuzi wa kukamata na kuseka ndani ni uamuzi wa kipolisi na sio amri ya Waziri. Alichofanya Waziri Gwajima ni kuripoti tuu kisiasa in public kuliagiza Jeshi la Polisi kumchunguza Askofu Gwajima. Tangazo lile linatakiwa kufuatiwa na barua rasmi kutoka Wizara ya Afya kwenda kwa IGP yenye tuhuma specific na Jeshi la Polisi ndio litaamua kama tuhuma hizo zinamstahili mtuhumiwa kukamatwa au la. Kinga ya mbunge kusema chochote bila kukamatwa ni kauli za wabunge ndani ya Bunge. Mbunge akifanya jinai yoyote nje ya Bunge anakamatwa tuu kama mhalifu mwingine yoyote!. Ila kama uhalifu huo umefanyika kipindi cha vikao vya Bunge vinaendelea na mbunge huyo yuko Bungeni kuhudhuria vikao na anatakiwa kukamatiwa Bungeni, then Spika lazima aarifiwe ndio atoe idhini kwa Jeshi la Polisi kumkamata mbunge akiwa viwanja vya Bunge . Kwa vile mbunge ni mtumishi wa Bunge, akifanya jinai yoyote popote, mwajiri wake pia anaarifiwa. Hivyo kwa vile sasa Bunge liko kwenye vikao vya kamati, kama ni kweli serikali imedhamiria kumshughulia Askofu Gwajima na sio utani wa mtu na shemeji yake, then kauli ile ya kisiasa ya Waziri wa Afya itafuatiwa na barua rasmi ya Wizara ya Afya kwa Jeshi la Polisi yenye tuhuma rasmi itatua mezani kwa IGP cc. Spika wa Bunge, na ndipo Polisi waifanyie kazi. Waziri wa Afya au Waziri mwingine yoyote nje ya Waziri wa mambo ya Ndani, hawezi kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kumkamata yoyote.
P
Kwahiyo hii nchi Waziri si chochote si lolote siku hizi, au tulikuwa tunawapa umuhimu wasiokuwa nao. Tuliona RC Mtaka alisema watu wa Dodoma wasimsikilize Waziri. Leo tunaona IGP akipuuzia wito wa Waziri na kukimbilia mtandaoni kusema Gwajima asikamatwe.
Nani aliyemkubwa nchi hii? Je Rais mwenyewe ana nguvu hizo tunazozisoma kwenye Katiba?? Au ndio mpaka apate watu kama kina Sabaya wakutuma usiku?
 
Sikiliza mpangilio wa kiitifaki wa Rais akiwa mkoa wowote ule anapoanza kutaja kama kuna mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, pamoja na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Hiyo iko wazi sana. RC, DC mamlaka za uma ndio kitu kinachowabeba kuliko wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Hebu fungua hii link usikie mwenyewe!

Duuh nilikuwa sijui, kwahiyo kumbe Mkuu wa majeshi ya Tanzania ni mdogo kimajukumu kwa mkuu wa wilaya?

Sasa nimeelewa😂.
 
Kukamata mtu bila sababu ya mashiko ni kinyume na utawala bora wa sheria. Lazima awe na mwongozo kwanini anamkamata. Imezoeleka siku hizi mawaziri kuamuru watu wawekwe ndani bila sababu yoyote.
Ni kinyume cha sheria. Kuwekwa ndani lazima kuwe na makosa yanayoeleweka na sio fantansy za mtu
hili jitu sijui vipi, mama ssh mchinjie baharini hili jamaa
 
RC na DC wanamamlaka ta kuliamuru Jeshi la Polisi kamata fulani weka ndani na sio Waziri. Waziri pekee mwenye mamlaka hiyo ni Waziri wa mambo ya Ndani.

Polisi ni chombo cha dola kilichopo chini ya kundi la majeshi, kinaendeshwa kwa amri kutoka juu. Kitaifa amri ni inatoka kwa rais, ambaye ni CinC na kumuagiza IGP. Mwanasiasa pekee anayeweza kutoa amri ya kitaifa kwa IGP, Jeshi la Polisi likamate yoyote ni Waziri wa Mambo ya Ndani. Wakuu wa mikoa ni wawakilishi wa rais kwenye mikoa husika, na ndio wenyeviti wa kamati za ulinzi za mikoa hivyo nao wana deraitive powers za kutoa amri kwa Polisi wa mkoa husika kumkamata yoyote. Ma DC nao ni kama ma RC, kwa wilaya zao. Viongozi wengine wote wa serikali, hawana mamlaka ya kidola kuamrisha Jeshi la Polisi kumkamata yoyote, bali wana uwezo wa kuripoti jinai yoyote na Jeshi la Polisi linawajibika kufanya uchunguzi wa kijinai, kutegemeana na jinai husika, uamuzi wa kukamata na kuseka ndani ni uamuzi wa kipolisi na sio amri ya Waziri. Alichofanya Waziri Gwajima ni kuripoti tuu kisiasa in public kuliagiza Jeshi la Polisi kumchunguza Askofu Gwajima. Tangazo lile linatakiwa kufuatiwa na barua rasmi kutoka Wizara ya Afya kwenda kwa IGP yenye tuhuma specific na Jeshi la Polisi ndio litaamua kama tuhuma hizo zinamstahili mtuhumiwa kukamatwa au la. Kinga ya mbunge kusema chochote bila kukamatwa ni kauli za wabunge ndani ya Bunge. Mbunge akifanya jinai yoyote nje ya Bunge anakamatwa tuu kama mhalifu mwingine yoyote!. Ila kama uhalifu huo umefanyika kipindi cha vikao vya Bunge vinaendelea na mbunge huyo yuko Bungeni kuhudhuria vikao na anatakiwa kukamatiwa Bungeni, then Spika lazima aarifiwe ndio atoe idhini kwa Jeshi la Polisi kumkamata mbunge akiwa viwanja vya Bunge . Kwa vile mbunge ni mtumishi wa Bunge, akifanya jinai yoyote popote, mwajiri wake pia anaarifiwa. Hivyo kwa vile sasa Bunge liko kwenye vikao vya kamati, kama ni kweli serikali imedhamiria kumshughulia Askofu Gwajima na sio utani wa mtu na shemeji yake, then kauli ile ya kisiasa ya Waziri wa Afya itafuatiwa na barua rasmi ya Wizara ya Afya kwa Jeshi la Polisi yenye tuhuma rasmi itatua mezani kwa IGP cc. Spika wa Bunge, na ndipo Polisi waifanyie kazi. Waziri wa Afya au Waziri mwingine yoyote nje ya Waziri wa mambo ya Ndani, hawezi kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kumkamata yoyote.
P
P
Tumekuona tukiona Mawaziri Wanatoa amri Watu wakamatwe, For Reference Wakati Ummy Mwalimu akiwa Huko Ukerewe alitoa amri wakamatwe na wawekwe ndani M/ndaji wa Kijiji+M/kiti pia, Je Wanatumia Hizi Amri Vibaya?
 
Kwa wapinzani haulizagi wala kufata hixo formality
Hili jamaa nchi zenye skili lingekuwa jela kitambo.
Kwa vile manchi yenyewe ni shithole tuvumilie hadi natural checks zifanye yake tuchinje mbuzi tusherehekee
 
Back
Top Bottom