Hayupo ambaye hajavishuhudia vimbwanga vya askofu Gwajima kuhusiana na Corona na Chanjo zake.
Hadharani tuhuma za Gwajima kumhusu mheshimiwa Rais na wasaidizi wake zimesikika.
Haya yakiendelea ni kweli kuna Watanzania wasio na hatia wanaendelea kuwekwa hatarini kuhusiana na ugonjwa huu.
Sirro anasema hawezi kumkamata Gwajima kwamba yeye hayo anayasikia mitandaoni tu. Kwamba yeye hadi apate makaratasi rasmi na ajiridhishe kama kuna jinai imetendeka.
Hivi ndivyo Sirro anavyofanya kazi kwa makundi yote? Au ndiyo ile sote hatuko sawa mbele ya sheria?
Kwa msimamo wa Sirro na Dkt. Gwajima, mafahali wawili hawa, pana japo mmoja ambaye basi hafai kabisa.
Itapendeza basi mtu akiwajibika au kuwajibishwa japo kwa kadhia hii.
Hadharani tuhuma za Gwajima kumhusu mheshimiwa Rais na wasaidizi wake zimesikika.
Haya yakiendelea ni kweli kuna Watanzania wasio na hatia wanaendelea kuwekwa hatarini kuhusiana na ugonjwa huu.
Sirro anasema hawezi kumkamata Gwajima kwamba yeye hayo anayasikia mitandaoni tu. Kwamba yeye hadi apate makaratasi rasmi na ajiridhishe kama kuna jinai imetendeka.
Hivi ndivyo Sirro anavyofanya kazi kwa makundi yote? Au ndiyo ile sote hatuko sawa mbele ya sheria?
Kwa msimamo wa Sirro na Dkt. Gwajima, mafahali wawili hawa, pana japo mmoja ambaye basi hafai kabisa.
Itapendeza basi mtu akiwajibika au kuwajibishwa japo kwa kadhia hii.