IGP Sirro au Waziri Gwajima, mmoja lazima aondoke

mkalamo

JF-Expert Member
Sep 7, 2013
323
346
Jana Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto, Dk Dorothy Gwajima,aliagizwa kukamatwa na kuhojiwa kwa Askofu Dk Gwajima, kwa madai ya kutuhumu uongozi wa juu wa nchi kupewa fedha na wafadhili kwa ajili ya kuruhusu chanjo zitakazowadhuru watanzania

Kuna shutuma nyingi amezitaja Waziri Gwajima, haijalishi iwe ni sawa au si sawa dhidi ya Askofu Gwajima.

Baada ya muda IGP Sirro akanukuliwa na vyombo vya habari kwamba hawawezi kutekeleza agizo hilo la waziri,bila ya kupata barua ya malalamiko.

Kwamba Waziri Gwajima aorodheshe vile anavyoona ni makosa kutoka kwa Askofu Kakobe,kisha Polisi wajiridhishe ndiyo watatekeleza agizo lake.

Kwamba kwa mtazamo wa IGP na jeshi lake yanayoendelea sasa si kosa bali ni halisi juu ya tuhuma zilizotolewa na Askofu Gwajima kwenda kwa uongozi wa nchi.

Kwamba kwa kuhitaji barua IGP Sirro anatuambia mbali na kauli za Gwajima hata yeye anaamini chanjo zilizoingizwa zina mushkeli na waliotajwa na Gwajima kuchukua mlungulu ili watuue,tuwe mazombi ni kweli hawaifikirii Tz badala ya matumbo yao.

Kwamba ni kweli viongozi walioonyesha kuchanja hadharani hawakuchanjwa chanjo halisi kama inayosambazwa kwa Watz wanaotakiwa kuuawa kwa chanjo hiyo.

Kama sivyo anavyoamini IGP basi atakuwa amemfanyia kiburi waziri Gwajima na mamlaka iliyomteua waziri huyo

Kwanini niseme hivyo?

Patrobas Katambi,naibu Waziri wa vijana akiwa katika Moja ya mikutano yake jimboni,alitofautiana lugha na mwananchi mmoja,na akaagiza akamatwe pale pale na akakamatwa ila IGP hakutaka barua kutoka kwa Katambi

Nawaza Hawa wakiendelea kuwa pamoja kama watendaji na wateule wa Rais iko siku watakataliana kutekeleza masuala muhimu ya nchi tena hadharani kama hivi na sisi tuendele kushangaaa
 
Sirro eidha ni uzee unamjia vbaya, au ameamua kuwa mwana Cvm wazi wazi, na kuonyesha mapenzi yake bila kificho kwa chama hadi ana kuwa mdhauri, au lasna za maombi ya wapinzani Mungu ameanza kuzijibu rasmi. Sijawahi kuona Igp wa ajabu kama huyu.

Hibi wale wanao watoa kwenye nyumba za ibada wana pewa barua na nani?
 
Kwani Sheria inasemaje au twende Kwa mazoea? Naona umeongeza chumvi nyingi ili kuhalalisha hoja yako.
 
Jana Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto, Dk Dorothy Gwajima,aliagizwa kukamatwa na kuhojiwa kwa Askofu Dk Gwajima, kwa madai ya kutuhumu uongozi wa juu wa nchi kupewa fedha na wafadhili kwa ajili ya kuruhusu chanjo zitakazowadhuru watanzania

Kuna shutuma nyingi amezitaja Waziri Gwajima, haijalishi iwe ni sawa au si sawa dhidi ya Askofu Gwajima.

Baada ya muda IGP Sirro akanukuliwa na vyombo vya habari kwamba hawawezi kutekeleza agizo hilo la waziri,bila ya kupata barua ya malalamiko.

Kwamba Waziri Gwajima aorodheshe vile anavyoona ni makosa kutoka kwa Askofu Kakobe,kisha Polisi wajiridhishe ndiyo watatekeleza agizo lake.

Kwamba kwa mtazamo wa IGP na jeshi lake yanayoendelea sasa si kosa bali ni halisi juu ya tuhuma zilizotolewa na Askofu Gwajima kwenda kwa uongozi wa nchi.

Kwamba kwa kuhitaji barua IGP Sirro anatuambia mbali na kauli za Gwajima hata yeye anaamini chanjo zilizoingizwa zina mushkeli na waliotajwa na Gwajima kuchukua mlungulu ili watuue,tuwe mazombi ni kweli hawaifikirii Tz badala ya matumbo yao.

Kwamba ni kweli viongozi walioonyesha kuchanja hadharani hawakuchanjwa chanjo halisi kama inayosambazwa kwa Watz wanaotakiwa kuuawa kwa chanjo hiyo.

Kama sivyo anavyoamini IGP basi atakuwa amemfanyia kiburi waziri Gwajima na mamlaka iliyomteua waziri huyo

Kwanini niseme hivyo?

Patrobas Katambi,naibu Waziri wa vijana akiwa katika Moja ya mikutano yake jimboni,alitofautiana lugha na mwananchi mmoja,na akaagiza akamatwe pale pale na akakamatwa ila IGP hakutaka barua kutoka kwa Katambi

Nawaza Hawa wakiendelea kuwa pamoja kama watendaji na wateule wa Rais iko siku watakataliana kutekeleza masuala muhimu ya nchi tena hadharani kama hivi na sisi tuendele kushangaaa
Wote hao ni hovyo kabisa.
 
Sirro huwa anatuaminsisha kwamba Jeshi lake ninanusa - likiona dalili ya uvunjifu wa amani ama uchochezi linakamata, linahoji kisha likijilisha linawapeleka watuhumiwa mahakamani.

Sasa hayo matamshi ya GwajiBoy bado linanusa?
 
Jana Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto, Dk Dorothy Gwajima,aliagizwa kukamatwa na kuhojiwa kwa Askofu Dk Gwajima, kwa madai ya kutuhumu uongozi wa juu wa nchi kupewa fedha na wafadhili kwa ajili ya kuruhusu chanjo zitakazowadhuru watanzania

Kuna shutuma nyingi amezitaja Waziri Gwajima, haijalishi iwe ni sawa au si sawa dhidi ya Askofu Gwajima.

Baada ya muda IGP Sirro akanukuliwa na vyombo vya habari kwamba hawawezi kutekeleza agizo hilo la waziri,bila ya kupata barua ya malalamiko.

Kwamba Waziri Gwajima aorodheshe vile anavyoona ni makosa kutoka kwa Askofu Kakobe,kisha Polisi wajiridhishe ndiyo watatekeleza agizo lake.

Kwamba kwa mtazamo wa IGP na jeshi lake yanayoendelea sasa si kosa bali ni halisi juu ya tuhuma zilizotolewa na Askofu Gwajima kwenda kwa uongozi wa nchi.

Kwamba kwa kuhitaji barua IGP Sirro anatuambia mbali na kauli za Gwajima hata yeye anaamini chanjo zilizoingizwa zina mushkeli na waliotajwa na Gwajima kuchukua mlungulu ili watuue,tuwe mazombi ni kweli hawaifikirii Tz badala ya matumbo yao.

Kwamba ni kweli viongozi walioonyesha kuchanja hadharani hawakuchanjwa chanjo halisi kama inayosambazwa kwa Watz wanaotakiwa kuuawa kwa chanjo hiyo.

Kama sivyo anavyoamini IGP basi atakuwa amemfanyia kiburi waziri Gwajima na mamlaka iliyomteua waziri huyo

Kwanini niseme hivyo?

Patrobas Katambi,naibu Waziri wa vijana akiwa katika Moja ya mikutano yake jimboni,alitofautiana lugha na mwananchi mmoja,na akaagiza akamatwe pale pale na akakamatwa ila IGP hakutaka barua kutoka kwa Katambi

Nawaza Hawa wakiendelea kuwa pamoja kama watendaji na wateule wa Rais iko siku watakataliana kutekeleza masuala muhimu ya nchi tena hadharani kama hivi na sisi tuendele kushangaaa
Umechagua upande ila una uhakika na maamuzi ya mamlaka ya uteuzi. Sirro anaongoza Jeshi la polisi na ndani yake kuna kitengo cha upepelezi jiulize kwanini atoe kauli kama hiyo hadharani bila woga.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Sirro eidha ni uzee unamjia vbaya, au ameamua kuwa mwana Cvm wazi wazi, na kuonyesha mapenzi yake bila kificho kwa chama hadi ana kuwa mdhauri, au lasna za maombi ya wapinzani Mungu ameanza kuzijibu rasmi. Sijawahi kuona Igp wa ajabu kama huyu.

Hibi wale wanao watoa kwenye nyumba za ibada wana pewa barua na nani?
Ndy umeandika nini mkuu??
 
Mch. Gwajima anaongea wewe, bila kuwa na uthibitisho atakwambia umekula maharage ya wapi ndio maana Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi hataki shida.
 
Sirro eidha ni uzee unamjia vbaya, au ameamua kuwa mwana Cvm wazi wazi, na kuonyesha mapenzi yake bila kificho kwa chama hadi ana kuwa mdhauri, au lasna za maombi ya wapinzani Mungu ameanza kuzijibu rasmi. Sijawahi kuona Igp wa ajabu kama huyu.

Hibi wale wanao watoa kwenye nyumba za ibada wana pewa barua na nani?
Muda mwingine unachokiandika utafakari mkuu
 
Back
Top Bottom