I don't call it cheating, I call it having a plan B...

I don't call it cheating, I call it having a plan B...

Poleni..hamna tofauti na mama alielea mtoto wake vbaya alafu akawa anamsema vbaya na kumlalamikia..mngejielewa nyie msingepangwa folen.
 
Kwa kawaida mwanaume wa maana akijitahidi sana yaani yule ambae ni muaminifu kabisa na ana heshima zote, basi atakua na wanawake angalau watatu hivi. Anaweza kuwa anakula mmoja, ila hao wawili wako stand by mda wowote akiwahitaji anajua atawala.

Kwa upande wa mwanamke, kama ni mzuri wa sura na ana chura, basi at any time T ana wanaume zaidi ya 100 ambao wako stand by na wanamsumbua wakitaka kuwa nae. Katika hao, kuna wanaokula kimasihara, kuna wanaokula kawaida, kuna wahongaji, kuna wanaojidai washkaji ila nia yao nao ni kula, na kuna mazuzu wapo wapo tuu hawajielewi kazi yao ni kutuma tuma meseji za usumbufu.
Dah hii para ya kwanza sijui ni kweli, kuna dada nimegombana nae alikua analazimisha kwamba lazima nna wanawake wengine. Hii mentality ni ya ovyo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu,

Straight to the point. Asilimia kubwa tumeshawahi kuumizwa katika maswala ya relationships, haijalishi jinsia ke au me. Unajikuta umejitoa kimasomaso kwaajili ya MTU ukiamini ndiye the right person for you lakini he/she ends up hurting your feelings.

Nimefanya tafiti yangu isiyo rasmi nimegundua kwamba katika mahusiano shurti uwe na plan B (wanasemaga kidumu). Hii inasaidia incase plan A fails, unahamishia nguvu zako kwenye palm B. Hii hulka nimegundua wenzetu jinsia ke wanayo sana (samahanini jamani) unakuta mwingine ana mpaka plan G.

Imagine umetokea kumpenda MTU kwa moyo wako wote then mpaka ndugu umewataarifu kua umempata MTU sahihi and then anakuja kukengeuka ghafla na kuku-dump. It really hurts a lot lakini at least ukiwa na ka plan b kako you won't endup a total loser.

On the record, sichochei watu wacheat kwenye mahusiano yao but according to my personal view Naona ni vyema kua na backup plan.

Sent using Jamii Forums mobile app

NAKAZIA
 
Shida ni kuacha hii tabia ikishakua sehemu ya maisha yako
 
Haya mambo bana...yaacheni tu kama yalivyo.

Kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwenye ndoa na kila mara wanachepuka.

Cha ajabu, ni wamejiaminisha kabisa kuwa wakifanyacho si kosa.

Yaani wamejishawishi wenyewe kuwa wanachofanya si kuchepuka.

Halafu hapo hapo, kila Jumapili hawakosi kwenda kusali [kwa wale waumini wa Kristu].

Wanajiona waadilifu sana.

Na mara zote, wenye makosa na utovu wa uadilifu huwa ni wengine.

Hapo kwa watu wahalisia kama mimi, ndo tunasema kuwa ‘uaminifu’ wa mtu ni siri yake moyoni mwake tu.

Nje ya hapo, ni usanii kwa kwenda mbele, nyuma, na hata pembeni.

Nawapa pole mliopo kwenye ndoa
Salaam wakuu,

Straight to the point. Asilimia kubwa tumeshawahi kuumizwa katika maswala ya relationships, haijalishi jinsia ke au me. Unajikuta umejitoa kimasomaso kwaajili ya MTU ukiamini ndiye the right person for you lakini he/she ends up hurting your feelings.

Nimefanya tafiti yangu isiyo rasmi nimegundua kwamba katika mahusiano shurti uwe na plan B (wanasemaga kidumu). Hii inasaidia incase plan A fails, unahamishia nguvu zako kwenye palm B. Hii hulka nimegundua wenzetu jinsia ke wanayo sana (samahanini jamani) unakuta mwingine ana mpaka plan G.

Imagine umetokea kumpenda MTU kwa moyo wako wote then mpaka ndugu umewataarifu kua umempata MTU sahihi and then anakuja kukengeuka ghafla na kuku-dump. It really hurts a lot lakini at least ukiwa na ka plan b kako you won't endup a total loser.

On the record, sichochei watu wacheat kwenye mahusiano yao but according to my personal view Naona ni vyema kua na backup plan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nashindwa kuwa na plan zaid ya A... huwa inaniumiza sana kuna mbuz moja imeniacha juz kati hapa nmeumia ksnge....

Kwanza dem mwenyew mfupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom