Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,091


Huwa nashindwa kuwa na plan zaid ya A... huwa inaniumiza sana kuna mbuz moja imeniacha juz kati hapa nmeumia ksnge....
Kwanza dem mwenyew mfupi
Sent using Jamii Forums mobile app
tupo pamoja mkuu...FINANCIALLY MADEMU NI LIABILITY KUBWA SANA KWA KIJANA!
Kua na madem wengi kwa wakati mmoja sio ujanja wala urijali kwangu.nadate na mmoja tu,tukiachana si basi natafuta mwingine kwani wanawake wameisha au wanapatikana kwa manati!?