I don't call it cheating, I call it having a plan B...

I don't call it cheating, I call it having a plan B...

Wakuu lengo sio kuhalalisha dhambi. Inafikia moment moyo wako unakua daraja la kupitia watu we upo tu na kama unavyoelewa maumivu ya mapenzi yalivyo ndio maana nikasema ni heri kua na ka contingency plan pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
sawa, i hope hiyo excuse itakupa msamaha uione pepo if not, its not worth it
 
FINANCIALLY MADEMU NI LIABILITY KUBWA SANA KWA KIJANA!
Kua na madem wengi kwa wakati mmoja sio ujanja wala urijali kwangu.nadate na mmoja tu,tukiachana si basi natafuta mwingine kwani wanawake wameisha au wanapatikana kwa manati!?
Waambie hao...wanafarijiana ujinga.
Ukimchoka mtu mwambie siyo kumzungukazunguka uje umpe jeraha la moyo.
Wakuu lengo sio kuhalalisha dhambi. Inafikia moment moyo wako unakua daraja la kupitia watu we upo tu na kama unavyoelewa maumivu ya mapenzi yalivyo ndio maana nikasema ni heri kua na ka contingency plan pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usimuache ukatafuta mwingine??
Kama ni kwenye ndoa hata ya kanisani inavunjika kwa sababu ya uzinzi.
 
Looooh
Kwa kawaida mwanaume wa maana akijitahidi sana yaani yule ambae ni muaminifu kabisa na ana heshima zote, basi atakua na wanawake angalau watatu hivi. Anaweza kuwa anakula mmoja, ila hao wawili wako stand by mda wowote akiwahitaji anajua atawala.

Kwa upande wa mwanamke, kama ni mzuri wa sura na ana chura, basi at any time T ana wanaume zaidi ya 100 ambao wako stand by na wanamsumbua wakitaka kuwa nae. Katika hao, kuna wanaokula kimasihara, kuna wanaokula kawaida, kuna wahongaji, kuna wanaojidai washkaji ila nia yao nao ni kula, na kuna mazuzu wapo wapo tuu hawajielewi kazi yao ni kutuma tuma meseji za usumbufu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utaoa lini nyani
Haya mambo bana...yaacheni tu kama yalivyo.

Kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwenye ndoa na kila mara wanachepuka.

Cha ajabu, ni wamejiaminisha kabisa kuwa wakifanyacho si kosa.

Yaani wamejishawishi wenyewe kuwa wanachofanya si kuchepuka.

Halafu hapo hapo, kila Jumapili hawakosi kwenda kusali [kwa wale waumini wa Kristu].

Wanajiona waadilifu sana.

Na mara zote, wenye makosa na utovu wa uadilifu huwa ni wengine.

Hapo kwa watu wahalisia kama mimi, ndo tunasema kuwa ‘uaminifu’ wa mtu ni siri yake moyoni mwake tu.

Nje ya hapo, ni usanii kwa kwenda mbele, nyuma, na hata pembeni.

Nawapa pole mliopo kwenye ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukiwa na 1000, hwezi penda wote. Kuna utakayempenda na atakuacha sababu atakudaka tu ukiangaika na hao 999. Bado hujatatua tatizo.
 
Back
Top Bottom