I don't call it cheating, I call it having a plan B...

I don't call it cheating, I call it having a plan B...

Kweli kabisa .



Cc Smart911
Haya mambo bana...yaacheni tu kama yalivyo.

Kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwenye ndoa na kila mara wanachepuka.

Cha ajabu, ni wamejiaminisha kabisa kuwa wakifanyacho si kosa.

Yaani wamejishawishi wenyewe kuwa wanachofanya si kuchepuka.

Halafu hapo hapo, kila Jumapili hawakosi kwenda kusali [kwa wale waumini wa Kristu].

Wanajiona waadilifu sana.

Na mara zote, wenye makosa na utovu wa uadilifu huwa ni wengine.

Hapo kwa watu wahalisia kama mimi, ndo tunasema kuwa ‘uaminifu’ wa mtu ni siri yake moyoni mwake tu.

Nje ya hapo, ni usanii kwa kwenda mbele, nyuma, na hata pembeni.

Nawapa pole mliopo kwenye ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu,

Straight to the point. Asilimia kubwa tumeshawahi kuumizwa katika maswala ya relationships, haijalishi jinsia ke au me. Unajikuta umejitoa kimasomaso kwaajili ya MTU ukiamini ndiye the right person for you lakini he/she ends up hurting your feelings.

Nimefanya tafiti yangu isiyo rasmi nimegundua kwamba katika mahusiano shurti uwe na plan B (wanasemaga kidumu). Hii inasaidia incase plan A fails, unahamishia nguvu zako kwenye palm B. Hii hulka nimegundua wenzetu jinsia ke wanayo sana (samahanini jamani) unakuta mwingine ana mpaka plan G. Imagine umetokea kumpenda MTU kwa moyo wako wote then mpaka ndugu umewataarifu kua umempata MTU sahihi and then anakuja kukengeuka ghafla na kuku-dump. It really hurts a lot lakini at least ukiwa na ka plan b kako you won't endup a total loser.

On the record, sichochei watu wacheat kwenye mahusiano yao but according to my personal view Naona ni vyema kua na backup plan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati unafanya hizo plan ukumbuke kuna Mungu, na cheating is a SIN na duniani tunapita tu na kifuatacho ni hukumu. Tusiishe as if kesho yetu tunaijua
 
Wakuu lengo sio kuhalalisha dhambi. Inafikia moment moyo wako unakua daraja la kupitia watu we upo tu na kama unavyoelewa maumivu ya mapenzi yalivyo ndio maana nikasema ni heri kua na ka contingency plan pembeni
Wakati unafanya hizo plan ukumbuke kuna Mungu, na cheating is a SIN na duniani tunapita tu na kifuatacho ni hukumu. Tusiishe as if kesho yetu tunaijua
binadamu tunapenda kuhalalisha dhambi........shetani hana kazi tena....zaidi ya kuvunja madaraja,,,, amehakikisha manager wa tanroad kasimamishwa kazi yeye roho yake kwatuuu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom