Mwanagenzi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2006
- 741
- 281
Shukrani JeiKei aka JK mwenyewe?!
Binafsi naona hotuba hizi zinaridhisha kwa ujumla, hasa hiyo kuhusu Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Hiyo ya meza duara na wafanyabiashara nayo si mbaya. Kwa kila moja nimeona kosa moja moja la kiuchapaji au kiuandishi; yaani "recourses" badala ya "resources" (Chattam) na "wetted" badala ya "whetted" (Merryl). Recourses na resources ni vitu viwili tofauti. Sasa hii ya wetted badala ya whetted inaweza kuleta tafsiri mbaya (nadhani nimeeleweka), hivyo waandishi wake wawe makini sana na kupitia na kuhakiki na kurudia!
Akiendelea hivyo atatutia ujasiri!
Binafsi naona hotuba hizi zinaridhisha kwa ujumla, hasa hiyo kuhusu Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Hiyo ya meza duara na wafanyabiashara nayo si mbaya. Kwa kila moja nimeona kosa moja moja la kiuchapaji au kiuandishi; yaani "recourses" badala ya "resources" (Chattam) na "wetted" badala ya "whetted" (Merryl). Recourses na resources ni vitu viwili tofauti. Sasa hii ya wetted badala ya whetted inaweza kuleta tafsiri mbaya (nadhani nimeeleweka), hivyo waandishi wake wawe makini sana na kupitia na kuhakiki na kurudia!
Akiendelea hivyo atatutia ujasiri!