Dua,
kwanza napenda kuwapongeza kwa jitihada zenu kunitoa ktk kiza. Kumbukeni tu kuwa hapa najaribu kutazama upande wa pili wa hii shilingi.. Sina maana namtetea mtu yeyote ila tusifanye makosa kama yale tulofanya kwa Sumaye. Labda niseme hasa mimi kwani nilikubali maovu yake kirahisi bila kufanya uchunguzi kuhakikisha zile lawama zilikuwa na ukweli ndani yake.
Swala la RichMonduli bado tunalifanyia uchunguzi wa vijiweni kwani bado kabisa siamini kuwa JK ana mkono ndani yake na sababu ndio kama nilivyosema. Tanzania kuna hivi Vitengo vilivyopewa madaraka ya kupitisha Tender bila rais, waziri mkuu wala wananchi (bunge maalum) kupitisha...
Labda niseme inabidi toka sasa hivi kuwepo na Bunge maalum kwa ajili ya upitishaji wa
hizi Tender. Hapa ndipo wizi mkubwa umekuwa ukitokea na tumefungiwa kanya boya mara mia kidogo! Inabidi vitengo hivi vitatoa majina matatu hadi matano as finalists kwqa hawa wawakilishi wetu na Uwazi wa Tender hizi utajadiliwa kama vile kortini..Maanake Umaskini ndiye adui wetu mkubwa na umefika wakati tuchunge sana kila senti tunayoitumia ama kuigawa! Ni lazima kuondoa RUSHWA... kwani hawa wabunge watatoka vyama tofauti.
Yet, bado sioni kabisa pungufu la JK, kama kiongozi ktk mikataba hii...
Kama unakumbuka vizuri bunge la Marekani walikataa ile Tender ya bandari ambayo UAE waliichukua na Bush alijaribu sana kutetea lakini alipovutwa na wataalam mwenyewe alinywea...What are the facts though!.. Sii Bush aliyepitisha ile Tender isipokuwa watekelezaji wake...Na wala haiwezi kumfanya aonekane weak ama mwenye mapungufu. Hivyo basi nachoweza kumlaumu mimi JK ni pale policy ya nchi inapokuwa amended kuhifadhi waovu ama policy mpya zinazotufunga.
Jokakuu,
Kuhusu hizi safari za North America, mshikaji hilo tuachane nalo maanake hadi sasa hujanieleza mafanikio ya safari zote hizo mbili au Nne za viongozi hawa! Tunazungumzia matumizi makubwa lakini hatufahamu nini matumizi hayo yametuletea... No one knows!...nataka data kama za Mzee ES anapozungumza mabaya ya kiongozi!... huchambua kama karanga na kinachobaki ni wewe kumeza tu. Haya ya JK hadi sasa naona tuna-judge kila kitu kutokana na hisia zetu...
Well, swala la wizara hizi mbili kuwa na matumizi ktk idara moja ya mambo ya nje bado nahitaji uhakika zaidi.. Mnataka kunambia Ofisi ya waziri mkuu pale nyuma ya Ikulu hawana kitengo cha Uhasibu? Je, ni kweli bageti ya serikali ktk wizara hizi mbili zinashikwa na wizara ya mambo ya nje?...
Ikiwa kuna ukweli fulani, je hii wizara inaweza vipi kuratibu matumizi yake ktk Sikukuu za kitaifa, sera za habari na vyombo vyake, maafa na hata kuratibu matumizi ya uhamiaji makao makuu Dodoma!..Unataka kusema hizi idara zote zote zipo chini ya wizara ya mambo ya nje, kitengo cha Uhasibu?...
Besides, kwa nini waziri wa mambo ya nje awe responsible ktk matumizi ya waziri mkuu?.. Kwani responsibility sii ya kila kiongozi kwa ngazi yake? Yaani wewe unataka kunambia JK alipokuwa waziri wa mambo ya nje aliweza kumwambia ama kumpangia Sumaye matumizi ya ofisi yake?.. Hivi kweli mama yetu Asha Rose anampangia EL matumizi yake ya misafara? if Yes! than why we don't question her kama tulivyotolea mifano ya JK!.. Why this time around tunamkosoa EL mwenyewe hali mpangaji safafri ni Bi. Mkubwa!
Haaa! Haa ! Jokakuu hapa unacheza na wakili mkuu wa ofisi ya Uwanja wa Fisi, Tandale..Kumbuka tu mimi ni wakili sina maslahi zaidi ya kuhakikisha haki ya kijiwe inatumika.
Jokakuu, Kupanga safari za waziri mkuu na watu atakaokutana nao ni mambo ambayo yanaweza kabisa yasiingiliane na Security ya kiongozi ama wapi atakula na kulala. Hizi zinaweza kuwa idara mbili tofauti kabisa! ndio maana Bush anapotaka kusafiri, vichwa zaidi ya 12 hukaa kitako kujadili na kupanga safari nzima wakati kila kitengo kina majukumu yake. Na fedha za msafara mzima hazitoki idara wala wizara moja..But kila wizara hukamilisha hesabu zake wakijumuisha matumizi ya safari hizo. Meaning wewe ukisafiri safari moja na mimi hata kama tunafanya kazi moja, idara ama wizara moja lazima kila mmoja wetu awasilishe hesabu zake ktk idara yake ya Uhasibu na sio jumla yetu kuwasilisha matumizi ya msafara mzima. Hakuna wizara inayoweza kunipa fedha mimi hali sipo ktk Payroll yao! It doesnt make sense!
Katika kujibu maswala la waziri mkuu mara nyingi hujibiwa na wizara zake, kumbuka kuwa majukumu ya waziri mkuu ni kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa shughuli za wizara zote. Wao wamezungumzia safari nzima na Abdoul Shareef hakutoa data za msafara mzima bali kutetea safari nzima kisiasa na sio Kiuhasibu....
Mimi nataka mnipe mchunga wa huyu JK!...Hizi safari kusema kweli ktk nchi yetu hatuhitaji mume mkaa ndani kabisa.. Njaa kali sana!
Wenzetu Kenya tayari mzee wa nyumba kesha weka biashara zake sawa! Kenya inajulikana kila kona na wawekeshaji hawaulizi mara mbili tofauti na sisi...Kwa hiyo ukimwona mzee wa nyumba hatoki ndani kisha hakikisha kuna chakula cha kutosha na vijana wake wanafanya kazi kuzalisha. Sisi Bongo bado tunaenda shule, tunalishwa kwa kila kitu, mzee lazima akazisake na zaidi kama karithi mradi wa Umalaya...(progressive). Pimp mzuri ni yule anayejua wapi wenye kulipa wanakojichimbia!...Mama tanzania sasa hivi anaweza kuhimili vishindo.. sii malaya?
kwanza napenda kuwapongeza kwa jitihada zenu kunitoa ktk kiza. Kumbukeni tu kuwa hapa najaribu kutazama upande wa pili wa hii shilingi.. Sina maana namtetea mtu yeyote ila tusifanye makosa kama yale tulofanya kwa Sumaye. Labda niseme hasa mimi kwani nilikubali maovu yake kirahisi bila kufanya uchunguzi kuhakikisha zile lawama zilikuwa na ukweli ndani yake.
Swala la RichMonduli bado tunalifanyia uchunguzi wa vijiweni kwani bado kabisa siamini kuwa JK ana mkono ndani yake na sababu ndio kama nilivyosema. Tanzania kuna hivi Vitengo vilivyopewa madaraka ya kupitisha Tender bila rais, waziri mkuu wala wananchi (bunge maalum) kupitisha...
Labda niseme inabidi toka sasa hivi kuwepo na Bunge maalum kwa ajili ya upitishaji wa
hizi Tender. Hapa ndipo wizi mkubwa umekuwa ukitokea na tumefungiwa kanya boya mara mia kidogo! Inabidi vitengo hivi vitatoa majina matatu hadi matano as finalists kwqa hawa wawakilishi wetu na Uwazi wa Tender hizi utajadiliwa kama vile kortini..Maanake Umaskini ndiye adui wetu mkubwa na umefika wakati tuchunge sana kila senti tunayoitumia ama kuigawa! Ni lazima kuondoa RUSHWA... kwani hawa wabunge watatoka vyama tofauti.
Yet, bado sioni kabisa pungufu la JK, kama kiongozi ktk mikataba hii...
Kama unakumbuka vizuri bunge la Marekani walikataa ile Tender ya bandari ambayo UAE waliichukua na Bush alijaribu sana kutetea lakini alipovutwa na wataalam mwenyewe alinywea...What are the facts though!.. Sii Bush aliyepitisha ile Tender isipokuwa watekelezaji wake...Na wala haiwezi kumfanya aonekane weak ama mwenye mapungufu. Hivyo basi nachoweza kumlaumu mimi JK ni pale policy ya nchi inapokuwa amended kuhifadhi waovu ama policy mpya zinazotufunga.
Jokakuu,
Kuhusu hizi safari za North America, mshikaji hilo tuachane nalo maanake hadi sasa hujanieleza mafanikio ya safari zote hizo mbili au Nne za viongozi hawa! Tunazungumzia matumizi makubwa lakini hatufahamu nini matumizi hayo yametuletea... No one knows!...nataka data kama za Mzee ES anapozungumza mabaya ya kiongozi!... huchambua kama karanga na kinachobaki ni wewe kumeza tu. Haya ya JK hadi sasa naona tuna-judge kila kitu kutokana na hisia zetu...
Well, swala la wizara hizi mbili kuwa na matumizi ktk idara moja ya mambo ya nje bado nahitaji uhakika zaidi.. Mnataka kunambia Ofisi ya waziri mkuu pale nyuma ya Ikulu hawana kitengo cha Uhasibu? Je, ni kweli bageti ya serikali ktk wizara hizi mbili zinashikwa na wizara ya mambo ya nje?...
Ikiwa kuna ukweli fulani, je hii wizara inaweza vipi kuratibu matumizi yake ktk Sikukuu za kitaifa, sera za habari na vyombo vyake, maafa na hata kuratibu matumizi ya uhamiaji makao makuu Dodoma!..Unataka kusema hizi idara zote zote zipo chini ya wizara ya mambo ya nje, kitengo cha Uhasibu?...
Besides, kwa nini waziri wa mambo ya nje awe responsible ktk matumizi ya waziri mkuu?.. Kwani responsibility sii ya kila kiongozi kwa ngazi yake? Yaani wewe unataka kunambia JK alipokuwa waziri wa mambo ya nje aliweza kumwambia ama kumpangia Sumaye matumizi ya ofisi yake?.. Hivi kweli mama yetu Asha Rose anampangia EL matumizi yake ya misafara? if Yes! than why we don't question her kama tulivyotolea mifano ya JK!.. Why this time around tunamkosoa EL mwenyewe hali mpangaji safafri ni Bi. Mkubwa!
Haaa! Haa ! Jokakuu hapa unacheza na wakili mkuu wa ofisi ya Uwanja wa Fisi, Tandale..Kumbuka tu mimi ni wakili sina maslahi zaidi ya kuhakikisha haki ya kijiwe inatumika.
Jokakuu, Kupanga safari za waziri mkuu na watu atakaokutana nao ni mambo ambayo yanaweza kabisa yasiingiliane na Security ya kiongozi ama wapi atakula na kulala. Hizi zinaweza kuwa idara mbili tofauti kabisa! ndio maana Bush anapotaka kusafiri, vichwa zaidi ya 12 hukaa kitako kujadili na kupanga safari nzima wakati kila kitengo kina majukumu yake. Na fedha za msafara mzima hazitoki idara wala wizara moja..But kila wizara hukamilisha hesabu zake wakijumuisha matumizi ya safari hizo. Meaning wewe ukisafiri safari moja na mimi hata kama tunafanya kazi moja, idara ama wizara moja lazima kila mmoja wetu awasilishe hesabu zake ktk idara yake ya Uhasibu na sio jumla yetu kuwasilisha matumizi ya msafara mzima. Hakuna wizara inayoweza kunipa fedha mimi hali sipo ktk Payroll yao! It doesnt make sense!
Katika kujibu maswala la waziri mkuu mara nyingi hujibiwa na wizara zake, kumbuka kuwa majukumu ya waziri mkuu ni kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa shughuli za wizara zote. Wao wamezungumzia safari nzima na Abdoul Shareef hakutoa data za msafara mzima bali kutetea safari nzima kisiasa na sio Kiuhasibu....
Mimi nataka mnipe mchunga wa huyu JK!...Hizi safari kusema kweli ktk nchi yetu hatuhitaji mume mkaa ndani kabisa.. Njaa kali sana!
Wenzetu Kenya tayari mzee wa nyumba kesha weka biashara zake sawa! Kenya inajulikana kila kona na wawekeshaji hawaulizi mara mbili tofauti na sisi...Kwa hiyo ukimwona mzee wa nyumba hatoki ndani kisha hakikisha kuna chakula cha kutosha na vijana wake wanafanya kazi kuzalisha. Sisi Bongo bado tunaenda shule, tunalishwa kwa kila kitu, mzee lazima akazisake na zaidi kama karithi mradi wa Umalaya...(progressive). Pimp mzuri ni yule anayejua wapi wenye kulipa wanakojichimbia!...Mama tanzania sasa hivi anaweza kuhimili vishindo.. sii malaya?