Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,236
- 675
Mkandara
Nimekusikia mkuu lakini sikupingi hebu tuangalie some facts ambazo mimi naona valid:
Sasa hili limefanyika kwa Barrick peke yake, na muda unaotumika ni mrefu mno Kwa sababu mikataba mingi imeingizwa kwa rushwa hivyo kipengele cha unfair contract kinaweza kutumika ukilinganisha na nchi zingine kwenye mikataba yao. Vile vile mbona hata kile walichokuwa wamekubali kutoa walikuwa hawatoi mpaka walipokumbushwa?
Ukumbuke biashara ya madini ni ngumu hivyo faida wakati wa majadiliano ilikuwa ya kubuni sana lakini sasa madini yanatoka sana, mambo ya kubuni yawekwe karibu na matarajio yenyewe. Sikatai hizi kampuni vile vile lazima zianze kuajiri watanzania na kuwalipa vizuri kama wanavyolipwa wageni- ndio hilo tunaloligombea kwani wenzetu wanakula keki kubwa mno kuliko wenye mali. Kitu kingine hapa wataalamu wa Kitanzania wananyanyaswa sana na haya makampuni why? Kwa sababu serikali ni bubu sana hawajali maslahi ya wananchi wake.
Sasa kuna faida gani kwa watanzania kuendelea na mikataba hii ikiwa faida yote inakwenda nje? Tunarudi pale pale wakati mwalimu alipotaifisha mashamba ya katani na kadhalika, ambapo wakati ule ndio tulikuwa bado kabisa kimaendeleo.
Ipigwe hesabu tuone nini tutapata na nini tutapoteza kama mikataba hii ikivunjwa. Usiri mkubwa unaotawala hii mikataba ndio chanzo cha matatizo yote haya kwanini Kamati ya bunge isihusishwe kufuatilia hili na wananchi tuelezwe kuliko kufichaficha.
Kweli kuna mikataba ambayo kuivunja ni vigumu lakini siyo yote, ile ambayo rushwa imetumika kuiweka haya makampuni watuambie ukweli nani wamempa pesa na kwa kitu gani? Hawa watu wakibanwa kisheria watawasema walikotoa pesa. Mbona huku majuu watu mambo yakichacha wanatajwa Tanzania tusijifanye kama tunaishe kwenye sayari nyingine Mikataba inavunjwa kwa interest ya nchi sio mtu au kikundi kilichokula rushwa.
Hapo juu mwenyewe kasema not put any unfair restrictions upon them (kwa nini walitoa rushwa katika mikataba mibovu?) it must be fair on both parties.
Hilo la Zimbabwe naona huna fact nalo kwa sababu Ule mkataba wa Lancaster uliisha baada ya miaka 10yrs i.e 1990. Mugabe alikataa kuchukua ardhi wakati ule lakini ilipofika fujo ya Congo kwa Kabila yeye ndiye alishinikiza Congo waingie SADC ambapo Tanzania walikuwa hawataki kutokana na Historia ya nchi hiyo na USA, na vile vile wakati ule TZ walishaamua kutoingilia mambo ya vita kwa maslahi ya watu wengine i.e. Tujenge nchi yetu ukombozi umekwisha ndio maana wakati Mugabe anapeleka majeshi kule TZ iliwarudisha wataalamu wa jeshi 1000 waliokuwa kule maana sasa ilikuwa ni vita, hata Zambia walikataa kupeleka majeshi kule na tangu pale uhusiano wa TZ na Zimbabwe kuzorota. Zimbabwe walitegemea ku-recover pesa yao kwa dhahabu n.k. lakini mambo yalikuwa magumu hivyo uchumi wa Zimbabwe ukaanza kuzorota na popularity ya Mugabe. Mugabe kuona vile ndio akaanza kutaka Kujisafisha kuchukua mashamba kutoka kwa wazungu bila compensation (ukitazama ya Zimbabwe huyo jamaa ni dictator tangu aingie kwani aliuwa watu wengi sana kule matebeleland na wale wote waliokuwa wanampinga. Suala lake ni tofauti sana na Tanzania.
Ongea na Zimbabweans ambao wako neutral watakwambia kinachoendelea kule huyu jamaa anauwa waafrika wenzie its a pity.
Nimekusikia mkuu lakini sikupingi hebu tuangalie some facts ambazo mimi naona valid:
MIKATABA:- Umezungumzia Arbitration...nadhani JK kesha fanya hiyo na hao Barricks! jambo ambalo wengi hatuweza kulikubali ni kile tulichopewa!.. ongezeko la dau kidogo hali hakuna mahesabu!..
Tumetaka zaidi lakini haikuwezekana kwa sababu tulisha jifunga na hiyo 3%. Swala la hisa ni nje ya mjadala kabisa labda JK akubali kupindua mikataba!
Sasa hili limefanyika kwa Barrick peke yake, na muda unaotumika ni mrefu mno Kwa sababu mikataba mingi imeingizwa kwa rushwa hivyo kipengele cha unfair contract kinaweza kutumika ukilinganisha na nchi zingine kwenye mikataba yao. Vile vile mbona hata kile walichokuwa wamekubali kutoa walikuwa hawatoi mpaka walipokumbushwa?
Ukumbuke biashara ya madini ni ngumu hivyo faida wakati wa majadiliano ilikuwa ya kubuni sana lakini sasa madini yanatoka sana, mambo ya kubuni yawekwe karibu na matarajio yenyewe. Sikatai hizi kampuni vile vile lazima zianze kuajiri watanzania na kuwalipa vizuri kama wanavyolipwa wageni- ndio hilo tunaloligombea kwani wenzetu wanakula keki kubwa mno kuliko wenye mali. Kitu kingine hapa wataalamu wa Kitanzania wananyanyaswa sana na haya makampuni why? Kwa sababu serikali ni bubu sana hawajali maslahi ya wananchi wake.
BENJAMIN MKAPA: we have assured [potential foreign investors] that we will not put any unfair restrictions upon them at all. It's all legislated for, and in some sectors there's even special legislation. For instance, we had a particular legislative and tax regime for the mining sector, and they've been able to come in quite confident that they are secure for the life of their mines, which is anything between 15 and 20 years.
Sasa kuna faida gani kwa watanzania kuendelea na mikataba hii ikiwa faida yote inakwenda nje? Tunarudi pale pale wakati mwalimu alipotaifisha mashamba ya katani na kadhalika, ambapo wakati ule ndio tulikuwa bado kabisa kimaendeleo.
Ipigwe hesabu tuone nini tutapata na nini tutapoteza kama mikataba hii ikivunjwa. Usiri mkubwa unaotawala hii mikataba ndio chanzo cha matatizo yote haya kwanini Kamati ya bunge isihusishwe kufuatilia hili na wananchi tuelezwe kuliko kufichaficha.
Kweli kuna mikataba ambayo kuivunja ni vigumu lakini siyo yote, ile ambayo rushwa imetumika kuiweka haya makampuni watuambie ukweli nani wamempa pesa na kwa kitu gani? Hawa watu wakibanwa kisheria watawasema walikotoa pesa. Mbona huku majuu watu mambo yakichacha wanatajwa Tanzania tusijifanye kama tunaishe kwenye sayari nyingine Mikataba inavunjwa kwa interest ya nchi sio mtu au kikundi kilichokula rushwa.
Hapo juu mwenyewe kasema not put any unfair restrictions upon them (kwa nini walitoa rushwa katika mikataba mibovu?) it must be fair on both parties.
sidhani kama kuna Mtanzania ambaye yupo tayari kumtetea JK pindi ikitokea hali ya Zimbabwe!.. .. That is a Fact na tumeyaona kwa Wazimbabwe wenyewe ambao walipiga makelele kwa mikaa zaidi ya ishirini. Mugabe akawaambia tusubiri hadi mwisho wa ahadi ya Waingereza kisha tutaidai ardhi yetu kwa nguvu kwani kisheria hawawezi kutufunga. Well, Mugabe kayafanya aliyowaahidi leo hii wanamlaumu kwa kila kitu. Sheria ile ile aliyoiogopa kwa miaka ishirini pia imepindishwa aonekane yeye mkosa!
Hilo la Zimbabwe naona huna fact nalo kwa sababu Ule mkataba wa Lancaster uliisha baada ya miaka 10yrs i.e 1990. Mugabe alikataa kuchukua ardhi wakati ule lakini ilipofika fujo ya Congo kwa Kabila yeye ndiye alishinikiza Congo waingie SADC ambapo Tanzania walikuwa hawataki kutokana na Historia ya nchi hiyo na USA, na vile vile wakati ule TZ walishaamua kutoingilia mambo ya vita kwa maslahi ya watu wengine i.e. Tujenge nchi yetu ukombozi umekwisha ndio maana wakati Mugabe anapeleka majeshi kule TZ iliwarudisha wataalamu wa jeshi 1000 waliokuwa kule maana sasa ilikuwa ni vita, hata Zambia walikataa kupeleka majeshi kule na tangu pale uhusiano wa TZ na Zimbabwe kuzorota. Zimbabwe walitegemea ku-recover pesa yao kwa dhahabu n.k. lakini mambo yalikuwa magumu hivyo uchumi wa Zimbabwe ukaanza kuzorota na popularity ya Mugabe. Mugabe kuona vile ndio akaanza kutaka Kujisafisha kuchukua mashamba kutoka kwa wazungu bila compensation (ukitazama ya Zimbabwe huyo jamaa ni dictator tangu aingie kwani aliuwa watu wengi sana kule matebeleland na wale wote waliokuwa wanampinga. Suala lake ni tofauti sana na Tanzania.
Ongea na Zimbabweans ambao wako neutral watakwambia kinachoendelea kule huyu jamaa anauwa waafrika wenzie its a pity.