tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,323
Only stupid woman will enjoy this.....Tena Yule anaejifanya digitali, msomi ila hana hata chembe ya maadili.....bullshit....hana hata haya
Mbona povu tena mkuu?
Only stupid woman will enjoy this.....Tena Yule anaejifanya digitali, msomi ila hana hata chembe ya maadili.....bullshit....hana hata haya
Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.
Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.
Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.
Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.
Umeolewa na msukule wewe. Hiyo ni taadhari tu nimekupa.Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.
Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.
Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.
Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.
Bibi mda huu unatakiwa uwe umelala ili jioni ukiamka unakuta babu tayari amesha kupikia chapati.Hubby sisi ni mwili mmoja nipe pasiwedi ya PM
Ileile ya siku zote. Usiwe na hofu niko kwenye ndotoHubby sisi ni mwili mmoja nipe pasiwedi ya PM
Mpishi ni mimi yeye anapika kukiwa na imejensi


Heeeee umeshabadili gia an gani? Hahahahaha kazi gani?Nimeupenda huo mguno. Sasa tuufanyie kazi kwa vitendo
Unataka kila kitu tuweke hadharani? Yaani tumwage kuku kwenye mchele mchana kweupe??Hahahahaha kazi gani?
Usijali kaka Mgugu
lolUnataka kila kitu tuweke hadharani? Yaani tumwage kuku kwenye mchele mchana kweupe??



kwani ni mambo mageni babu?Mageni kwa watoto na wambea...kwani ni mambo mageni babu?
HahahahahaMageni kwa watoto na wambea...
Nakusubiri PM ujue...