Huyu ndiye mume wangu

Huyu ndiye mume wangu

Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.

Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.

Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.

Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.
Hapo unaishi na mwanamke mwenzio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera bibi, siku zote nlikua sijui kama babu Asprin ni mpemba mpaka leo ulivyosema jumamosi anachukua kikapu chake anaweka kwapani anaenda zake markiti na hasahau hata pilipili.

Maendeleo hayana chama
Baada ya hapo.... ndio hapo tunasemaga kila ua sio waridi. Kwenye kitanda wema wote hupotea...

Maandamano hayana mahaba
 
Babu Asprin hongera kwa kuunga mkono juhudi za bibi Sky Eclat za kubwia limbwata kwa hiari yako.
Bibi malizia hapo chini awe anakufulia nguo zako, kupiga deki pamoja na kuosha vyombo.

Maendeleo hayana chama
Unaanza kutoka nje ya mstari sasa. Mimi huyuhuyu?
 
Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.

Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.

Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.

Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.
Huyu sio mwanaume. Huwezi mpata zaidi ya kwenye ndoto.
 
Upande wa pili anapenda vya uvunguni a.k.a kutatua lindas
Umesema
IMG_20190115_123845_478~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom