Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,105
- 1,409
Ila dada sky huo upande wa pili ndio wenye tija ujuwe, sema tujue ili vijana waone nini wanafanyaOn a special delivery![]()

Hongera kwa kuoa mkuuNi m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.
Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.
Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.
Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.
Pia anakutafutia wakunaji pale inapo bidi!!!Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.
Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.
Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.
Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.
binafsi napenda kufua nguo zangui mwenyewe, na hili mwenzangu anajua ni kama kumsaidia,ila in general i like washing my own clothes, ...na daima hii imeungana na kupenda klupangilia vitu...
Mm siwezi kufua mke tupo, aisee huo ni uzungu nisiouwezabinafsi napenda kufua nguo zangui mwenyewe, na hili mwenzangu anajua ni kama kumsaidia,ila in general i like washing my own clothes, ...na daima hii imeungana na kupenda klupangilia vitu...
Yah nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewebinafsi napenda kufua nguo zangui mwenyewe, na hili mwenzangu anajua ni kama kumsaidia,ila in general i like washing my own clothes, ...na daima hii imeungana na kupenda klupangilia vitu...
yani kwenye nguo kufua kupasi na kupangilia vitu we are similar...ila vyombo kwakwel hapana,hapo anisaidie yeyeYah nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe
Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.
Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.
Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.
Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.